Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
Kutokana na utaratibu wa kutoonesha Bunge live, kipindi kinachoonekana huwa ni kile cha maswali na majibu kisha mijadala inapoanza vituo hutakiwa kutika hewani.
Sasa leo tunaomba bunge tv litupatie yatakayojiri mwanzo mwisho. Tunataka tuone jambo letu.
Mwisho nawasihi Watanzania wenzangu kupata chanjo ya TOZO ili kuimarisha kinga ya kuipinga.
Sasa leo tunaomba bunge tv litupatie yatakayojiri mwanzo mwisho. Tunataka tuone jambo letu.
Mwisho nawasihi Watanzania wenzangu kupata chanjo ya TOZO ili kuimarisha kinga ya kuipinga.