Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulianzisha group la telegram mkuu.Hivi niwaulize hayo matangazo ya ajira yanayopita kwenye group za watsapp,au accounts kama LINKEDLN, brighter monday kuna waliofanikiwa? au mimi ndo sina bahati?
Kuna aliefanikiwaa?
Shukran nimejoin ila group lifanyiwe setting ili kama akija mgeni aone sms za nyuma zinaweza saidia kama kuna kazi ilitumwa deadline bado,mtu akiingia sa hivi haoni kitu kabisa wakat telegram inauwezo wa kuonyesha sms zote za nyumaTulianzisha group la telegram mkuu.
Nitaweka link hapa ya kujiunga.
Shukran nimejoin ila group lifanyiwe setting ili kama akija mgeni aone sms za nyuma zinaweza saidia kama kuna kazi ilitumwa deadline bado,mtu akiingia sa hivi haoni kitu kabisa wakat telegram inauwezo wa kuonyesha sms zote za nyuma
Tulianzisha group la telegram mkuu.
Nitaweka link hapa ya kujiunga.
Naomba Link mkuu ya group la telegram....Natanguliza shukran Asante
Mpaka uwe na app inaitwa telegram ipo playstore kwa watumiaji wa Android au appstore kwa watumiaji wa Iphonesimu yangu inanigomea kujoin, nifanyeje?