Matangazo (advertisement) makali ya kwenye TV

Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)

Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu anatoka kabatini na chupi anashangilia (kumbe wanashabikia team moja)

Baada ya kumaliza kushangilia akarudi zake kabatini alafu akafunga tena mlango wa kabati. Mwenye mke akabaki anashangaa.
Kuna lile la Kiswahili la hili hapa:
 
Pia wakati wa kombe la Dunia "France 98" kulikuwa na matangazo makali sana wakati ule, yakiwemo lile la Air Tanzania the Wing of Kilimanjaro, Kazi kazi la Tusker lager na lile la TTCL wakiachana na mfumo wa zamani wa kutumbukiza shilingi ili kupiga simu kwenye Phone Booth na kutumia kadi, Total na mengine mengi mazuri.
 
Tangazo la airtel nazan lile la dukan jamaa anaulizwa una bei gan anasema jero,,anajibiwa s bora hyo jero chai na chapati
 
Tangazo la airtel nazan lile la dukan jamaa anaulizwa una bei gan anasema jero,,anajibiwa s bora hyo jero chai na chapati
 
Umenikumbusha tangazo lililo mfarakabisha Thiery Henry na mkewe back then in 2000's
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom