Matamshi haya bodi yanauma sana

msani

JF-Expert Member
Jun 13, 2011
1,801
1,191
Wana JF leo jioni mkurugenzi msaidizi wa elimu wa bodi ya mikopo amesema, nammnukuu:

"WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO MWAKA HUU WAJARIBU MWAKA KESHO"
nawaonea huruma watoto wa wakulima waliozungukwa na mdini na rasilimali kibao, nadhani mwaka kesho hali itakuwa mbaya zaidi,huku watoto wa vigogo wakipeta ktk elimu bora.

Mnasemaje jamani wana jf?
 
Its real painful speech, ok aliongea kwa kutumia masaburi type. No p time will come.
 
Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.
 
Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.

You have a point, But unajua kodi zinazokusanywa na tuliowapa jukumu hilo(Serikali) zinavyotumika? Laiti ungejua usingeweka hii post yako
 
Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.

Haya matatizo yote siyo ya funds, mengi na makosa ya system yao ya OLAS. And what you see now is just the begining, more troubles will start when the new academic year begins. To say the least The system is crap, not user friendly, totally disorganized. It was hard even for continuing students to use it, how about the watu wa vijijini. We need to re-evaluate the systems we use especially when they deal with critical issues like Loan and Higher Education application.
 
Let's face it. Bodi ya Mikopo siyo bottomless pit ambayo inaweza ku-accommodate kila request hasa ukizingatia kwamba idadi ya waombaji inazidi kuongezeka. Mimi nafikiri Bodi imeongea ukweli kuhusu uwezo wake wa kukidhi mahitaji yanayoongezeka kila kukicha. Umefika wakati sasa sisi wananchi tubadilike na kusaidiana katika masuala muhimu kama elimu kama tunavyofanya kwenye maharusi na vipaimara ambavyo tunaishia kunywa na kula tu. Tutaendelea kulaumu serikali kila wakati na huku sisi tukiwa hatuna mchango katika tatizo hili.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
<br />
Hivi wewe Popo sijui mbopo, wakati wanamagamba wanajisifia wanaongeza wahitimu wa shule za sekondari na kujenga vyuo vikuu vingi na tena chuo cha ccm chenye uwezo wa kuchukuwa wanafunzi 40k wanategemea ni mtanzania gani ataweza kumudu gharama za elimu ya juu wakati wameendelea kuwanyonya kwa kila kitu?<br />
<br />
<br />
Watabadilisha sana vigezo vya kutoa mikopo lakini ukweli ni kwamba serikali imefirisika na haina uwezo wa ku met hata matumizi ya kawaida mbali na huduma muhimu za elimu na afya.<br />
<br />
<br />
We need political change to address this Mess period
 
Nilimsikiliza yule Masaburi, nikaona kichefuchefu nikafungulia muziki. Anadanganya live kuhusu historia ya mikopo, eti ilikuwepo kabla na hata baada ya Uhuru! Mbaya zxaidi ni pale alipokuwa anadanganya as if anaongea na kindergateen, kwamba waliokuwa wanakopeshwa kipindi cha nyuma, wakimaliza chuo walikuwa wanaajiriwa serikalini, halafu walikuwa wanakatwa 60% ya mishahara yao ya mwezi! Ni uongo wa mchana. Hakuna sheria yoyote duniani inayoruhusu mtu kukatwa mkopo zaidi ya 40% ya mshahara wake. Hata mimi nimemaliza mlimani 1997, sijawahi kuona mtu anayekatwa hivyo! Hii ndio TZ yetu.
 
Vigezo ni vingi jamani. Waliokosa wengi ni wenye uwezo wa kujilipia.Mfano mtu amemaliza f4 mwaka 90,si huyu anakazi kwanini asijilipie? Au mtu amesoma st.mary's analipa milion moja na zaidi anashindwa nini leo kujilipia? Mkopo ni wa makabwela! Wapo wengi tu wenye uwezo mkubwa lakini kwa mfumo uliopita walikuwa wanapata mkopo hali ambayo sio sawa na si haki kwa kuwa wanawabana wale wahitaji wakubwa ambao ni maskini. Kwa mfanyakazi anaweza kujibanabana lakini pia ukumbuke mwajili wake anamlipia sasj mkopo apewe wanini? Mkopo wapewe wahitaji. Tatizo wabongo tunapenda vya bwerere mno japo utarudisha,kiukweli tunahusudu starehe.Nenda vyuoni uone huo mkopo unafanyiwa nini zaidi ya starehe.Watanzania tuwe wakweli jamani!
 
Masaburi yake huyo uwezo wa hawa watu wanaopewa ofisi za umma ni mdogo kujua atumie lugha gani na anaongea na watu gani
 
Vigezo ni vingi jamani. Waliokosa wengi ni wenye uwezo wa kujilipia.Mfano mtu amemaliza f4 mwaka 90,si huyu anakazi kwanini asijilipie? Au mtu amesoma st.mary's analipa milion moja na zaidi anashindwa nini leo kujilipia? Mkopo ni wa makabwela! Wapo wengi tu wenye uwezo mkubwa lakini kwa mfumo uliopita walikuwa wanapata mkopo hali ambayo sio sawa na si haki kwa kuwa wanawabana wale wahitaji wakubwa ambao ni maskini. Kwa mfanyakazi anaweza kujibanabana lakini pia ukumbuke mwajili wake anamlipia sasj mkopo apewe wanini? Mkopo wapewe wahitaji. Tatizo wabongo tunapenda vya bwerere mno japo utarudisha,kiukweli tunahusudu starehe.Nenda vyuoni uone huo mkopo unafanyiwa nini zaidi ya starehe.Watanzania tuwe wakweli jamani!
<br />
<br />
Kwahvyo wataka kusema kuwa waliokosa wana uwezo wa kulipa...nataman nikutwange ngumi mshenzi ww. Wazazi wetu wamefariki mwaka jana mdogo wangu amesoma private za wazazi..na amefaulu kwa kiwangi kizuri na bodi hawajampa mkopo afu unaleta upuuzi wako hapa.
 
Vigezo ni vingi jamani. Waliokosa wengi ni wenye uwezo wa kujilipia.Mfano mtu amemaliza f4 mwaka 90,si huyu anakazi kwanini asijilipie? Au mtu amesoma st.mary's analipa milion moja na zaidi anashindwa nini leo kujilipia? Mkopo ni wa makabwela! Wapo wengi tu wenye uwezo mkubwa lakini kwa mfumo uliopita walikuwa wanapata mkopo hali ambayo sio sawa na si haki kwa kuwa wanawabana wale wahitaji wakubwa ambao ni maskini. Kwa mfanyakazi anaweza kujibanabana lakini pia ukumbuke mwajili wake anamlipia sasj mkopo apewe wanini? Mkopo wapewe wahitaji. Tatizo wabongo tunapenda vya bwerere mno japo utarudisha,kiukweli tunahusudu starehe.Nenda vyuoni uone huo mkopo unafanyiwa nini zaidi ya starehe.Watanzania tuwe wakweli jamani!
&lt;br /&gt;<br
nadhani huna uwezo wa kudadavua mada ndo maana unatumia MASABURI kuendesha akili zake. Vyabwerere? Ikoje ikiwa mtu analipa na ameshasikia mwanaf kala ada kashindwa kusoma? Unapokopa unafahamu una shida haiwezekani ukakopa ikiwa huna ulazima. Amuru akili zako kwenda sambamba na mdomo wako lasivyo Nafsi itatawala maamuzi yako na utapata matatizo. Jitu zima umachangia mambo yasiyo na maana pu****fu!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwahvyo wataka kusema kuwa waliokosa wana uwezo wa kulipa...nataman nikutwange ngumi mshenzi ww. Wazazi wetu wamefariki mwaka jana mdogo wangu amesoma private za wazazi..na amefaulu kwa kiwangi kizuri na bodi hawajampa mkopo afu unaleta upuuzi wako hapa.
<br />
<br />
Huwa sina tabia ya kubishana na waliochanganyikiwa. Ngoja! We umesoma chuo gani? Hujaona wanaomiliki maduka makubwa na vx,halafu wanaomba mkopo? Na wanapewa sehemu kubwa ya t.fee? Hujaona wanafunzi starehe wanazofanya baada ya kupata boom? Jamani mkopo nimesema ni kwa wale wenyeshida na maskini! Kwanini mnauwezo wa kujilipia milion moja pritate ushindwe na milio mbili? Haifai!
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br <br />
nadhani huna uwezo wa kudadavua mada ndo maana unatumia MASABURI kuendesha akili zake. Vyabwerere? Ikoje ikiwa mtu analipa na ameshasikia mwanaf kala ada kashindwa kusoma? Unapokopa unafahamu una shida haiwezekani ukakopa ikiwa huna ulazima. Amuru akili zako kwenda sambamba na mdomo wako lasivyo Nafsi itatawala maamuzi yako na utapata matatizo. Jitu zima umachangia mambo yasiyo na maana pu****fu!
<br />
<br />
We inaonekana huna adabu! Kama unahasira wafuate hao watu wa bodi.Soma post zangu vizuri ili uelewe! Usikariri unachojua na usiwe rigid kubali kutwist mind yako. Mkopo ni kwa wale wenye uhitaji tu.Nyie ndo wale wote wanaolilia mkopo wakati kwenu mnauwezo,chakulilia mkopo mnataka mkatese badala ya kwenda kusoma.
 
Hii inaonyesha jinsi gani serikali isivyo ma mipango madhubuti ya kuwapa wananchi wake huduma za kijamii .Kweli hii ni fedheha nyingine kwa serikali ya mh Jk.Wanatakiwa wajipange upya kwani wanafunzi wanaongezeka kila mwaka
 
Hili ni janga la kitaifa ambalo serikali imejitakia yenyewe. hapo mwanzo kabla ya mfumo huu kuna vyuo vichache tu vilikuwa ndani mfumo wa bodi like udsm na vishiriki vyake, sua, mzumbe na vingine nilivyosahau. Mwanafunzi yoyote atakayechaguliwa katika vyuo hivyo anapata direct sponsorship kutoka serikalini no matter what. vyuo vingine vilikuwa chini ya wizara such as ifm,tia, (hazina), cbe(biashara na viwanda) na vingine vingi unavyovijua. hivyo basi wizara zilikuwa zinawasponsor wanafunzi zinaowataka ambao walikuwa 50 % ya wanafunzi wote. other percent walikuwa ni private na wanajiripia wenyewe. Na hawa wanafunzi walikokuwa sponsered na wizara walikuwa wanapewa pesa ya chakula tu( meal allowance) na serikali pesa inayobakia ilikuwa inalipwa na wizara like tuition fee , book and stationaries and field allowances ambazo zilikuwa higher than za watoto wa udsm na vishiriki vyake.

Mwaka 2006 serikali huu( wizara ya sayansi na technologia wakati huo ) ikaona donge ikatoa waraka kuwa pesa zote zipelekwe bodi ya mikopo na wao ndio wawape wanafunzi. Wizara zikagoma kwa sababu pesa hizo ni kutoka kwa donors hivyo hawana jeuri ya kutoa kwa taasisi zingine zitumie fungu hilo.

mwaka 2007 ndo ikaanza hiyo michakato kwamba wanafunzi wote wanaosoma au ambaye yupo chuo chochote kinachotambulika na tcu ana haki ya kupata mkopo. hapa ndo shida ilipo anzia. kwa mfumo huu kuna watu walichaguliwa zaidi ya vyuo vitatu wakalamba mshiko (boom) kutoka vyuo vyote halafu baadae anajoin kimoja tu. kuna jamaa aliramba mishiko ya vyuo vitatu mpaka akiwa mwaka wa pili.

serikali ilifikili kazi itakuwa ni rahisi walichokisahau walikuwa hawana data sahihi za wanafunzi wanaojoin chuo ndio maana wameshindwa
 
Tupende tusipende,tuchukie au tufurahi ukweli unabaki pale pale kwamba hatuna uwezo wa kulipia wanafunzi wote waliopata daraja la kwanza na la pili.Cha msingi ni kuweka priority based on courses and special need students kama wenzetu wa Uganda au tuwekee utaratibu wa kusubiriana kama Kenya wanavyofanya ambapo anaetaka mkopo anasubiri miaka miwili.Watanzania tufunge mikanda na kuacha kuweka kipaumbele kwenye mambo yasiyo ya msingi...ona miss Tanzania anapewa gari la milioni 72 ilhali wenzetu miss kenya anapewa tv tu...sijataja michango yetu ya harusi na birthday party.
 
Wana JF leo jioni mkurugenzi msaidizi wa elimu wa bodi ya mikopo amesema, nammnukuu:

"WANAFUNZI WALIOKOSA MIKOPO MWAKA HUU WAJARIBU MWAKA KESHO"
nawaonea huruma watoto wa wakulima waliozungukwa na mdini na rasilimali kibao, nadhani mwaka kesho hali itakuwa mbaya zaidi,huku watoto wa vigogo wakipeta ktk elimu bora.

Mnasemaje jamani wana jf?

Kwanini BODI YA KIKOPO NA ISIWE SERIKALI INAYONUKA UFISADI YA CCM ? Ni ujinga sana kuihoji bodi ya mikopo kwa swala ambalo ni la serikali,nafikiri CDM wamepata karata ya kuchezea Igunga kwani nafikiri hata huko igunga kuna Watz waliokumbwa na ushenzi wa kunyimwa elimu...
 
Back
Top Bottom