tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Kila kukicha matamko hutoka kwa viongoz wetu yenye tija na yasio na tija.
Kwa sasa tupitie matamko yasio tekelezeka.
Hebu viongoz wetu pitieni hapa haya matamko yanatekelezeka?? Isiwe mnatoa maagizo ambayo hata nafsi zenu zinajua hayatekelezeki??
Mwendesha bodaboda Usipovaa cofia ngumu (helment) ukikamatwa unapewa kesi ya kujaribu kujiua . Sheria hiyo ipo ? Mahakama itatumia kifungu gan??
Ukishirikiana na shoga na ww shoga !!
Ukimfollow twiter ,Isnta , facebook huenda ungemalizia na whatsap kuchat naye unapewa kes ya ushoga !! Kwa sheria ipi ? Matamko yako yamekua sheria? Nitamjuaje shoga? Wenye watoto au ndugu zao wawapeleke wap? Nao mnawafunga?? Zingatia sikubaliani na ushoga hata sekunde moja. Naongelea sheria ya kutuhukumu kwayo ipo?? Au matamko ya viongoz hugeuka sheria?? By Makonda.
Ukifanya makosa haya na haya nakuhamisha kwenye mkoa wangu utoke. Sio kumpeleka jela bali nje ya mkoa!!
Kuna mkoa hupokea wenye makosa ??
Sheria ya nchi husemaji uhuru wa kuishi popote??
Siasa hadi 2020 kwa sheria ipi??
Msajili wa vyama anaondolewa??
Serikali iliopo ni ya kisiasa au kivita?
Jpm.
Mwananchi haruhusiwi kukosoa serikali ni kaz ya bunge tena akiwa bungeni!! Sehem nyingine ni kosa!! Uhuru wa kujieleza unaeleza mema tu??? Pm.
Mwanajamvi nakupa nafasi nawe weka kauli zenye kukinzana na katiba na sheria za nchi hata utamadun wetu. Maana nchi ni yetu sote.
Kwa sasa tupitie matamko yasio tekelezeka.
Hebu viongoz wetu pitieni hapa haya matamko yanatekelezeka?? Isiwe mnatoa maagizo ambayo hata nafsi zenu zinajua hayatekelezeki??
Mwendesha bodaboda Usipovaa cofia ngumu (helment) ukikamatwa unapewa kesi ya kujaribu kujiua . Sheria hiyo ipo ? Mahakama itatumia kifungu gan??
Ukishirikiana na shoga na ww shoga !!
Ukimfollow twiter ,Isnta , facebook huenda ungemalizia na whatsap kuchat naye unapewa kes ya ushoga !! Kwa sheria ipi ? Matamko yako yamekua sheria? Nitamjuaje shoga? Wenye watoto au ndugu zao wawapeleke wap? Nao mnawafunga?? Zingatia sikubaliani na ushoga hata sekunde moja. Naongelea sheria ya kutuhukumu kwayo ipo?? Au matamko ya viongoz hugeuka sheria?? By Makonda.
Ukifanya makosa haya na haya nakuhamisha kwenye mkoa wangu utoke. Sio kumpeleka jela bali nje ya mkoa!!
Kuna mkoa hupokea wenye makosa ??
Sheria ya nchi husemaji uhuru wa kuishi popote??
Siasa hadi 2020 kwa sheria ipi??
Msajili wa vyama anaondolewa??
Serikali iliopo ni ya kisiasa au kivita?
Jpm.
Mwananchi haruhusiwi kukosoa serikali ni kaz ya bunge tena akiwa bungeni!! Sehem nyingine ni kosa!! Uhuru wa kujieleza unaeleza mema tu??? Pm.
Mwanajamvi nakupa nafasi nawe weka kauli zenye kukinzana na katiba na sheria za nchi hata utamadun wetu. Maana nchi ni yetu sote.