Viongozi wengi hasa wale wakubwa wamekuwa na tabia ya kusimamia na kuahidi Mambo mbali mbali lakini hayatekelezwi ipasavyo.
Mambo mawili; la Kwanza ni ahadi nyingi za ajira kwa vijana lakini utekelezaji wake ni hafifu.
Pili ni swala la kushugulikia gharama za vifurushi vya kupiga simu utekelezaji wake ni hafifu.
Mambo mawili; la Kwanza ni ahadi nyingi za ajira kwa vijana lakini utekelezaji wake ni hafifu.
Pili ni swala la kushugulikia gharama za vifurushi vya kupiga simu utekelezaji wake ni hafifu.