Matamko ya BAKWATA na UAMSHO ni dalili ya serikali za CCM legelege

Status
Not open for further replies.
Sishangai uchumi uliyumba lakini kazi ya kuondoa udini na ukabila ilifanikiwa. Acheni udini na ukabila.
Nyerere aliukuta utamaduni wa Mtanzania tayari ukiwa hauna ubaguzi! Ni sehemu gani ya Tanzania kulipokuwa na vita na ubaguzi wa Kidini au Kikabila ambapo Nyerere alimuondolea Mtanzania? !
Matatizo ya kukaririshwa vitu bila ya kufikiria hayo!
 
​​​​Mwalimu nyerere katika kitabu chake cha Uongozi wetu na hatima ya Tanzania aliwahi kuandika, Chama legelege huzaa serikali regelege. Nami nasema, kama hiyo ikitokea hata vikao na maamuzi mbalimbali serikalini yatakuwa pia ni legelege.Tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia matukio mbalimbali yanayotokea ya watu fulani kujaribu kuigawa jamii katika misingi ya Utaifa, Udini na tofauti za kiitikadi lakini Serikali yetu iko kimya bila hata kukemea wale wanaoendekeza hulka kama hizi. Na ukimya ni kiashilia cha kuwa labda serikali inakubaliana na haya yanayotokea au haijui nini cha kufanya.
Serikali yetu inakuwa kama MAJIVUNO kwenye riwaya ya Shaaban Robert. Shaaban Robert anamuelezea Majivuno kama Waziri mkuu mwenye haiba kubwa na uhodari mwingi lakini anakosa utashi katika utekelezaji wa majukumu katika serikali yake mpaka inafikia katika hali tete.


Serikali yetu kwa kiyafumbia macho matatizo madogo madogo ambayo Mwalimu Nyerere aliyaita nyufa ndiyo imepelekea kufikia hapa tulipo ambapo inakuwa ni vigumu sana kukabiliana na hili tetemeko la ubaguzi wa kitaifa, kidini na tofauti za kiitikadi.


Itakuwa vizuri tukijikumbusha nini Mwalimu Nyerere alisema katika maswala haya ya Ubaguzi kwa misingi ya taifa, Kidini na kiitikadi za kisiasa na athali zake katika jamii.


Unaweza pia ukakataa kukubaliana na mawazo ya "Baba wa Taifa".



Hakuna jamii (waislam) wala Taifa (Zanzibar) lenye kunyamazia uhuni unaofanywa na wakristu na Tanganyika kw7bu Nyerere alisema hv, au vle, au uzanzibari, au uzanzibara, huo ni ujinga na upuuzi mtupu, wapeni watu haki zao ndio mlete utumbo wenu.

Huyo maluuni Nyerere kwa waislam hakuwa na maana na hata mda huu hana nafasi ktk nyoyo zetu, labda nyinyi wenye kumuabudu ndio hivo mnaenzi mafundisho yke.

Nyinyi mnaudhika waislam wakidai haki zao, nyny ni wapuuzi wakubwa kabisa Nyerere kamutawala mpaka akili zenu kwa ujinga wenu.
 
Last edited by a moderator:
....
quote_icon.png

By Pepombili
Kwetu sisi waisilamu hatuna baba mwengine isipokuwa yule tu alie kuzaa ndio anastaili kuitwa baba wengine sema Mzee fulani yatosha kaka...

You are 100%


Kwetu sisi (ambako sio uaraburi, sio uyahudini, wala uzunguni) tunamwita mtu baba kama kumpa heshima kutokana na hadhi yake katika jamiii.
 
  1. Nasikitika sana kwa baadhi ya watu kuyasemea mambo ambayo kiuhalisia hawayaelewi,ni bora kama mtu ameishiwa na lakusema basi anyamaze tu.kuilaumu Serikali kwa kukaa kimya kuhusu matamko ya BAKWATA na UAMSHO ni kutoelewa maana ya kuwa kiongozi,unapokuwa kiongozi unatakiwa uwe mtu ambae umetawaliwa na busara namwenye kuona mbali.Mimi naipongeza serikali kwa kuiwa na busara na nailaumu pia kwa kutozingatia madai ya taasisi hizi mbili,nani kipofu asiyeona dhulma za nchi hii zilizoasisiwa na huyo unaemdai kuwa alikataa udini?,Nini maana ya udini mpaka yeye avuuke katika kundi hili?,nenda kasome katika kitabu cha Dr.Sivalon kiitwacho"THE DARK SIDE OF NYERERE LEGACY",kitabu ambacho kimeandikwa na mkatoliki kama huyo unaedai kua aliukataa udini.Dr. Sivalon nampongeza sana kwa kuweka mambo hadharani nakuueleza umma dhamira hasa ya Mdini huyu,niserikali yake ndio ilikuwa yakwanza kuasisi udini hapa Tanzania maana ndie yeye alieruhusu "MEMORANDOM OF UNDERSTANDING"ambayo hadi leo dini moja inafaidika na moja inakandamizwa. Nakuhusu" UAMSHO"inawezekana unaandika tu hujajua nini madai ya UAMSHO,pia nadhani huelewi historia ya zanzibar na kama huelewi nivyema kuzungumzia mada unayoijua.kwanza uamsho wapo kikatiba na wanaiheshimu katiba na wanaijua katiba ya Zanzibar kuliko hata wewe.kura ya maoni imo ndani ya katiba ya Zanzibar na katiba inaelekeza wazi kuwa jambo lolote linalohusu muungano inabidi lipate ridhaa ya wazanzibari, mbele tunamchakato wa katiba kwanini wazanzibari wasipewe fursa yao ya kikatiba ya kuuridhia au kutouridhia muungano?.waliofanya muungano walikuwa Mwa.Nyerere na Sheikh Abeid Karume leo Zanzibar inawatu karibia milioni moja tena bado tu tuongozwe katika fikra za watu wawili ambapo niwazi kuwa mmoja anaonewa?.nakwabahati mbaya hata wao wahusika wa muungano wanapozieleza faida za muungano zinakosa ushawishi,huwezi kusema kuwa ati faida moj ya muungano watanganyika sasa wanaelewa namna ya kupika urojo "it is nonesense".mwisho naipongeza serikali ya Mh.Kikwete kwa busara na hekima wanazoaitumia na naiomba ikae chini na taasisi za kiislamu kwa lengo la kutafuta suluhisho mbadala.
 
Serikali legelege hufumbia macho mambo yasiyo na msingi na masilai kitaifa kama madai ya bakwata na kikundi cha kigaidi cha uamsho.

Tena hichi kikundi cha kigaidi cha uamsho ndio kimeonesha jinsi serikali ya jk ilivyo legelege kwa kushindwa kukamata magaidi wachoma makanisa na kushindwa kumkamata sheikh anaye wakataza watanzania kushiriki sensa
 
Nitajie kimoja alichokifanya ambacho tunaweza kusema ni "record" njema mpaka sasa. Ukishindwa kukitaja hapa ujuwe hana, ila unaaminishwa tu iwe hivyo.

"Record" nnayoijuwa mimi ni kuwa kakaa miaka 24 kwenye madaraka lakini hana kimoja cha maana alichoifanyia Tanganyika wala Tanzania.

Acha utani,mwalimu alijenga taifa la umoja bila kujali dini wala ukabira,hakujilimbikizia mali kama walivyofanwa marais waliomtangulie.Peoye ukweli tvseme.
 
Acha utani,mwalimu alijenga taifa la umoja bila kujali dini wala ukabira,hakujilimbikizia mali kama walivyofanwa marais waliomtangulie.Peoye ukweli tvseme.

Dini wala ukabila havikuwepo kabla ya Nyerere, alivyokuta ndivyo alivyoacha alichohakikisha ni kuwa anazidi kuwakandamiza Waislaam kielimu. Una uhakika hakujilimbikizia mali? Lile jumba la msasani? na ule mji wa Mwitongo? na ile benki kuu iliyomwa moto kabla ya kung'atuka kwake? Na ile wizara ya mambo ya ndani iliyochomwa moto kabla ya kung'atuka kwake?

Wacha kusema usiyoyajuwa. Nyerere hakuna alichokifanya zaidi ya kulineemesha kanisa katoliki na wakatoliki Tanzania hii. Na hilo, umewekewa reference ya kitabu alichoandika Sivalon, kisome kwanza halafu uje utuambie ni nini hicho?
 
Hivi ndugu zangu hasa walio waislamu inaonekana hili swala la Nyerere kuitwa Baba wa Taifa inawauma sana, hivi ni kwa sababu yeye ni mkristo au ni nini haswa? Sasa mpende msipende, Nyerere ataendelea kuitwa Baba wa Taifa. Nyie muiteni mnavyotaka lakini majority ya watanzania tunamtambua Nyerere kama Baba Wa Taifa!
 
Nitajie kimoja alichokifanya ambacho tunaweza kusema ni "record" njema mpaka sasa. Ukishindwa kukitaja hapa ujuwe hana, ila unaaminishwa tu iwe hivyo.

"Record" nnayoijuwa mimi ni kuwa kakaa miaka 24 kwenye madaraka lakini hana kimoja cha maana alichoifanyia Tanganyika wala Tanzania.

Acha utani,mwalimu alijenga taifa la umoja bila kujali dini wala ukabira,hakujilimbikizia mali kama walivyofanwa marais waliomtangulie.Peoye ukweli tvseme.
 
Kumtukana na kumkejeli marehemu yeye ndo hayawani!!!
Wakati akiwepo mbona mlifyata mikia kama mbwa asiyetaka kupigwa miti??

Nonsense.

Issue hapa ni je haya yanayoendelea ni sahihi serikali kukaa kimya??!

Acheni mambo yeni ya kishenzi yasiyoonyesha kustaarabika wala kuelimika. Kama nyerere sio baba au ni babu that is not an issue.

The stupid buttle you are busy planning and fighting is doomed, will surely fail if you wont smart up soon.
 
nyerere alitupa elimu ya bure. Wa morogoro alipelekwa kusoma moshi wa moshi mtwara na kadhalika. Yote hii kwa kodi zetu. Sishangai uchumi uliyumba lakini kazi ya kuondoa udini na ukabila ilifanikiwa. Acheni udini na ukabila.
nyerere aliwaruhusu waislamu kusoma ktk shule za kikristo ili kuleta usawa kwani wakoloni waliwanyima kabisa nafasi ya kupumua . Leo mnapomlaumu hata yeyey anawashangaa sana. Shukrani ya punda ni mateke ukweli ndo huo.uislamu upo tanzania kwa miakaa 1200 . Hebu angalia umesaidia nini ktk maendeleo ya nchi hii .elimu ahera itawapeleka motoni. Manadanganywa na mabwana zenu baadae tuanze kuchinjana kwa kulazimishana kufuata sharia . Acheni hizo jzba za kutenda bila kufikiri kukataa kila jambo hiyo ni dalili ya udini uliokithiri. Mambo ya kuzaa ovyo na wasio waislamu halafu mnailazimisha serkali ihesabu kidini mna maana gani nyie malengo yenu ya oic ni ushetwani mtupu mtaishia motoni
 
Mkuu naomba nisaidie nitakipataje hiko kitabu nimejaribu kukiulizia kwenye maduka mengi nmekosa
Hivi ndugu zangu hasa walio waislamu inaonekana hili swala la Nyerere kuitwa Baba wa Taifa inawauma sana, hivi ni kwa sababu yeye ni mkristo au ni nini haswa? Sasa mpende msipende, Nyerere ataendelea kuitwa Baba wa Taifa. Nyie muiteni mnavyotaka lakini majority ya watanzania tunamtambua Nyerere kama Baba Wa Taifa!
 
nyerere ana mengi mazuri sanaa.but alicho wafanyia muslim ni kuwatengenezea bakwata ambayo TISS ILIKUA INAONGOZA CHOMBO
 
Nyerere kwa mkitendo cha waislamu kugomea sensa ni rais wa tz ndiye wa kulaumiwa sababu sheikh ponda ni muumini mwenzake rais na anashindwa kuwachukulia hatua kama alivyofanya kwa mgomo wa madaktari na walimu huu ni uzembe na udhaifu wa kikkwete kama rais anaweka dini mbele kuliko taifa anaamini katika hilo ushahidi upo mwingi.na kama taifa hili litaingia kwenye vita ya kidini kiongozi atakayebeba mzogo huu ni jakaya kikwete.kama angelikuwa ni mchungaji mtikila kasema wakristo wasusie sensa basi manyang'au wa usalama wa taifa na polisi wangeshamuweka ndani mtikila sasa kikwete acha udini na ongoza taifa kwa misingi ya uongozi na si vinginevyo ubaguzi wa kidini utazikwa nao hata ukienda kaburini maan wewe ndie muanzilishi n​a unaendekeza.i
 
Hivi nyie ndugu zangu waislam mlikatazwa kwenda shule? na kipindi kile elimu ilikuwa ni bure kabisa nyie mkawa mnawakataza watoto wenu kwenda shule kisa watabadilishwa dini,chuo kikuu cha kiislamu ambacho aliwapa mkapa kimefika maahali chuo hichi kimewakataa waadhiri wenye iman ya kikristo sasa chuo hakina walimu wenye uwezo wa kufundisha tunalipeleka wapi taifa hili ndugu zetu watanzania na future ya watoto wetu itakuwaje baadae

Hiyo ni dhihaka isiyo mfano. Waislaam tulinyimwa elimu na mkoloni kwa Uislaam wetu, shule zote zilikuwa za makanisa, ukitaka kusoma lazima ubadili jina (au dini?), Tukawa mstari wa mbele na tukaanzisha harakati za kudai kujitawala, waasisi wa harakati za kujitawala walikuwa Waislaam, tukaona tumempata "msomi" Nyerere, aliyekuwa akila na kufunga na kukaa na Waislaam kuwa ni mkombozi wetu, kwa makusudi kabisa akatugeuka tulipopata madaraka. Jee huyajui hayo?

Leo, tuna watoto zetu waliosoma na kuhimili vishindo vya shule za kikristo, watatukomboa, hatukati tamaa, kwani hata amrisho la kwanza la Qur'an ni "soma"!

Tumeamka, tunasoma na tutasoma na kwa bahati nzuri kabisa tunauelewa mpana kuliko elfu wasio Waislaam kwa mmoja wetu ambae hajaenda shule zenu, seuse aliyeenda!

Chuki kubwa kwa Waislaam kwa sasa ni kwenye elimu, ambayo ni wazi kabisa inabadilika kwa haraka sana, kuoneana kunaanza kuminywa na itafika wakati kutakuwa hakuna kabisa, tunaenda vizuri.
 
Dini wala ukabila havikuwepo kabla ya Nyerere, alivyokuta ndivyo alivyoacha alichohakikisha ni kuwa anazidi kuwakandamiza Waislaam kielimu. Una uhakika hakujilimbikizia mali? Lile jumba la msasani? na ule mji wa Mwitongo? na ile benki kuu iliyomwa moto kabla ya kung'atuka kwake? Na ile wizara ya mambo ya ndani iliyochomwa moto kabla ya kung'atuka kwake?

Wacha kusema usiyoyajuwa. Nyerere hakuna alichokifanya zaidi ya kulineemesha kanisa katoliki na wakatoliki Tanzania hii. Na hilo, umewekewa reference ya kitabu alichoandika Sivalon, kisome kwanza halafu uje utuambie ni nini hicho?

Zomba, unaweza ukawa na point no doubt about it lakini nahisi your approach to present the point is influenced by prejudice, bias and immotions. Mimi sioni ni kwanini unapotaka kuelezea kutokuridhishwa na performance ya Nyerere unalichukua Kanisa Katholiki zima tena hili ni kanisa takatifu maana aliyelianzisha ni mtakakatifu ambaye hata wale wanaotofautiana naye bado wanakiri utakatifu wake. Kitabu chako unachokiamini kimemweka kati ya mitume wakubwa.

Hivyo ushauri wangu either you take it or not when discussing issues try as much as possible to be intellectual, analytical and gradualist. Your vendetta to Nyerere will not make Catholic Church to change from being Holy to evil. It will remain Holy as longer as the Founder-Jesus Christ is Holy.

Nasema kubali usikubali lakini ukweli utabaki palepale na ukitaka kuupinga tumia lugha yenye staha, ya kisomi na isiyo na ubaguzi. Halafu Nyerere sio Kanisa Katholiki. Yeye alikuwa ni kiongozi wa nchi ukubali usikubali hata ukiamua kufunga akili kwa kitambaa cheusi huwezi ukasema hakuwahi kufanya kitu kwa kipindi alichokuwa kiongozi wa Tanzania.

Unaposema hakufanya kitu unalinganisha na nini. Unaposema hakujenga shule zozote lakini alitaifisha shule tu hivi unaelewa nini maana ya shule au umeifisha akili yako ili isione. Hivi unaweza kuwaambia watu wa Kibaha na Ruvu kuwa hakuna sekondari iliyojengwa na Nyerere kwa miaka 24 ya uongozi wake?

Hivi wahitimu wa Muhimbili, UDSM, IDM Mzumbe, Sokoine, Ardhi Institute, IFM hawa whawakuwahi kusoma shule zilizojengwa na kupewa nyenzo na Serikali iliyoongozwa na Mwalimu Nyerere? Hivi Tanzania kuvunja rekodi ya kufuta ujinga ni uongo tu? Watu hawakusoma? Sijui kwako shule ni nini?

Mambo ni mengi na yanahitaji hekima kuyachambua na kuyaelezea bila jaziba na matusi na kejeli.
 
Zomba, unaweza ukawa na point no doubt about it lakini nahisi your approach to present the point is influenced by prejudice, bias and immotions. Mimi sioni ni kwanini unapotaka kuelezea kutokuridhishwa na performance ya Nyerere unalichukua Kanisa Katholiki zima tena hili ni kanisa takatifu maana aliyelianzisha ni mtakakatifu ambaye hata wale wanaotofautiana naye bado wanakiri utakatifu wake. Kitabu chako unachokiamini kimemweka kati ya mitume wakubwa.

Hivyo ushauri wangu either you take it or not when discussing issues try as much as possible to be intellectual, analytical and gradualist. Your vendetta to Nyerere will not make Catholic Church to change from being Holy to evil. It will remain Holy as longer as the Founder-Jesus Christ is Holy.

Nasema kubali usikubali lakini ukweli utabaki palepale na ukitaka kuupinga tumia lugha yenye staha, ya kisomi na isiyo na ubaguzi. Halafu Nyerere sio Kanisa Katholiki. Yeye alikuwa ni kiongozi wa nchi ukubali usikubali hata ukiamua kufunga akili kwa kitambaa cheusi huwezi ukasema hakuwahi kufanya kitu kwa kipindi alichokuwa kiongozi wa Tanzania.

Unaposema hakufanya kitu unalinganisha na nini. Unaposema hakujenga shule zozote lakini alitaifisha shule tu hivi unaelewa nini maana ya shule au umeifisha akili yako ili isione. Hivi unaweza kuwaambia watu wa Kibaha na Ruvu kuwa hakuna sekondari iliyojengwa na Nyerere kwa miaka 24 ya uongozi wake?

Hivi wahitimu wa Muhimbili, UDSM, IDM Mzumbe, Sokoine, Ardhi Institute, IFM hawa whawakuwahi kusoma shule zilizojengwa na kupewa nyenzo na Serikali iliyoongozwa na Mwalimu Nyerere? Hivi Tanzania kuvunja rekodi ya kufuta ujinga ni uongo tu? Watu hawakusoma? Sijui kwako shule ni nini?

Mambo ni mengi na yanahitaji hekima kuyachambua na kuyaelezea bila jaziba na matusi na kejeli.

Msome: Jan P. van Bergen's book quoted Nyerere by saying that the interest of his (Roman) Church came first, and would never go against his Church so as to liberate it from the matope (mud)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom