Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Kwa alioona na kufuatilia media ni wazi watakuawa waskishangaa nini kinaendelea.NI matamasha ya wahuni "Wahuni days".Tamasha linalohusisha wahuni wa CCM kwa ufahidi wa CCM wenyewe.
Mojawapo aya tabia zao ni kupenda igiza vyama pinzani,kuwafanyia fujo,na kuwa wasemaji wa vyama hivyo au hata kuwafariji na kuwasaidia mabaki ambayo bado hayajaamini kutupwa nje ya vyama hivyo.
Maeneo mengisa na atamasha haya yanaoneka kufifia harak asna muda mfupi baada ya kuanza..na wataalamu wa mambo na mashuhuda wanasema matamasha haya ni km hayakufanyika kabisa kwa jinsi yalivyokosa nguvu,mvuto aua ushawishi.
Mwaka huu hawa wahuni wanakwenda sambasamba na mikutano ya CDm haswa ya dr.Slaa.wakiwaigiza, wakipa wujumbe,wakichoba bendera mpya,wakiwa waandishi wa habari na wakiwa km wahusika ktk uchomaji wa Bendera.Sababu za hawa ahuni kufifia huku wakiwa na ufahdili mkubwa wa CCM wenye hele haramu na chafu sana.NI pamoja na kutokuwa namvuto, ni pamoja na wao kuchagua upande mbaya wa historia, upande mbaya wa fikra, na vitu vyote vinavyowaudhi wananachi.
Mojawapo aya tabia zao ni kupenda igiza vyama pinzani,kuwafanyia fujo,na kuwa wasemaji wa vyama hivyo au hata kuwafariji na kuwasaidia mabaki ambayo bado hayajaamini kutupwa nje ya vyama hivyo.
Maeneo mengisa na atamasha haya yanaoneka kufifia harak asna muda mfupi baada ya kuanza..na wataalamu wa mambo na mashuhuda wanasema matamasha haya ni km hayakufanyika kabisa kwa jinsi yalivyokosa nguvu,mvuto aua ushawishi.
Mwaka huu hawa wahuni wanakwenda sambasamba na mikutano ya CDm haswa ya dr.Slaa.wakiwaigiza, wakipa wujumbe,wakichoba bendera mpya,wakiwa waandishi wa habari na wakiwa km wahusika ktk uchomaji wa Bendera.Sababu za hawa ahuni kufifia huku wakiwa na ufahdili mkubwa wa CCM wenye hele haramu na chafu sana.NI pamoja na kutokuwa namvuto, ni pamoja na wao kuchagua upande mbaya wa historia, upande mbaya wa fikra, na vitu vyote vinavyowaudhi wananachi.