Mataka na mjomba wake washikilia magari ya ATCL:

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Habari zilizotufikia hivi punde na zenye uhakika zinasema lile sakata la magari
lililokuwa likipigiwa debe hapa jamiiforums kutokana na ubadharifu kampuni ya ATCL sasa limefikia mahali pake,wakati tukienda mitamboni TAKUKURU nao wamekuwa wakilifuatilia swala hili na kuna baadhi ya docs ziko mkononi
zinaionyesha mh MATAKA alishiriki kumpa mjomba wake tender ya kununua magari ya atcl 26...katika hilo kuna docs zinaonyesha magari hayo kama mtumba mashangingi yamenunuliwa kwa million 65 wakati bei halisi kule dubai ni sh million 18 mpaka 20,,
Baada ya kupewa tenda ya kuleta magari haya toka dubai mjomba huyu alifanya pati kubwa iliobaki kuwa taarifa pale masai inn kinondoni na kuwashirikisha watu wote wanaouuza magari kujipongeza kupata mlo wa atcl....na kuna baadhi ya picha zikionesha mjomba akipeana cheers na waalikwa akiwemo mh mattaka,..
Kashfa hii imefikia pabaya nakumbuka nikiwa Bongo ilivuma sana na taarifa zilizotufikia hivi punde baada ya kuletwa magari hayo..mjomba mattaka aliyapeleka yote kwenye yadi .yake akishirikiana na mattaka..yakisubiri kulipiwa kodi..na huku mh mashaka(MJOMBA) akipokea pesa za ATCL USD 3750 kila mwezi!!!
mpaka leo hii kuna ushahidi wa makaratasi yametolewa magari 8 tu kati ya 26magari haya yameletwa toka mwaka jana na MH MATTAKA amekuwa akilikwepa sana swala hili maana akijua linamgusa moja kwa moja...kuna baadhi ya docs tumewasilisha TAKUKURU natumaini wanazifanyia kazi naaomba muwe wapole tusubiri watafanya nini...swala hili si swala la kumfukuza mtu ni swala la kufikishwa mahakamani kwa kuhujumu mali ya umma.....

TUKIO LA AJABU
kumekuwa na mawasiliano mengi na uongozi wa atcl kuhusu magari yaliyopo pale nyumba ya makao makuu yao atcl. mwandishi wetu amekuwa akiulizia kila siku haya ni magari ya nani na mbona yamechakaa sana alipoweza kumfwata mh mattaka ambae akuweza kutaja uhalali wa magari yale ....
kilichomchanganya ni kitendo alichoelezwa kwamba magari yale yametolewa BOND laikini hayajalipiwa kodi!!!
Bado swali langu najiuliza najihisi ningekuwa tanzanania ningemuuliza maswali mengi sana mh mattaka

1))Wapi ameona GARI lisilolipiwa KODI likatolewa BOND na kuwekwa sehemu ya mtu binafsi ama uraiani.

2)) TRA mnajua hili kuna magari ya ATCL yametolewa BOND na ayajalipiwa...
je kuna sheria kama hii ambayo nahisi makuwa mmeianzisha si chini ya masaa 6
 
Back
Top Bottom