... Hata mimi nimesikia kuwa jamaa anahusudu sana kuvaa ringi za wanaume wenzake.........Ubazazi ukizidi lazima unachofanya mungu atakupiga kofi usifanikiwe.....Waungwana!
Kuna tetesi zimenipitia zikisema kua mataka yule jamaa wa atcl anatabia ya kunanihii wanaume wenzie na kwamba kawafuga wengi hapa town,mwenye ushahidi na hili nplease alete habari,labda laana hii ndo inaua shirika letu
... Hata mimi nimesikia kuwa jamaa anahusudu sana kuvaa ringi za wanaume wenzake.........Ubazazi ukizidi lazima unachofanya mungu atakupiga kofi usifanikiwe.....
Waungwana!
Kuna tetesi zimenipitia zikisema kua mataka yule jamaa wa atcl anatabia ya kunanihii wanaume wenzie na kwamba kawafuga wengi hapa town,mwenye ushahidi na hili nplease alete habari,labda laana hii ndo inaua shirika letu
Heshima kwako muungwana,
Mi nadhani la muhimu tunge discuss kuhusu utendaji wake wa kazi katika ofisi za umma.Tungejikita katika kutaka kujua historia yake katika ofisi za umma katika mashirika yote aliyowahi kufanya kazi/ kuyaongoza, kama alifanikiwa ama alichemsha kisha tutathmini kama alikuwa anafaa kuliongoza shirila letu la ATCL na kama bado anafaa kuendelea kuliongoza shirika hilo kwa kuzingatia mafanikio aliyoyapata tangu akabidhiwe ATCL.Haya unayoyaleta hapa sio muhimu kwa maendeleo ya taifa na halina maslahi yoyote ya Taifa labda kama itathibitika kuwa hiyo tabia imeathiri utendaji wake.ni hayo tu wadau.
Waungwana!
Kuna tetesi zimenipitia zikisema kua mataka yule jamaa wa atcl anatabia ya kunanihii wanaume wenzie na kwamba kawafuga wengi hapa town,mwenye ushahidi na hili nplease alete habari,labda laana hii ndo inaua shirika letu
.Mi nadhani la muhimu tunge discuss kuhusu utendaji wake wa kazi katika ofisi za umma.Tungejikita katika kutaka kujua historia yake katika ofisi za umma katika mashirika yote aliyowahi kufanya kazi/ kuyaongoza, kama alifanikiwa ama alichemsha kisha tutathmini kama alikuwa anafaa kuliongoza shirila letu la ATCL na kama bado anafaa kuendelea kuliongoza shirika hilo kwa kuzingatia mafanikio aliyoyapata tangu akabidhiwe ATCL.Haya unayoyaleta hapa sio muhimu kwa maendeleo ya taifa na halina maslahi yoyote ya Taifa labda kama itathibitika kuwa hiyo tabia imeathiri utendaji wake.ni hayo tu wadau
Tetesi?
Kuna website(ninavyosikia) ya Utamu. Bofya huko!
Otherwise I concur with Mwita...
.
Liangalie(lione)
Nafikiri pia huyu Jamaa ameshawai kuchambuliwa hapa. Chukua mda kidogo wa kutafuta kabla hujachemsha
Unajua haya ndio baadhi ya ambayo yanafanya waTanzania wote tuonekane kuwa na ufinyu wa kufikiri. Tunapenda sana mambo ya umbea, ushoga na uzushi usio na maana yeyote katika maendeleo ya nchi yetu. Hapa hoja, kama alivyowakilisha Mwita ni kuangalia utendaji wa mtu binafsi na tumuhukumu kwa hilo. Mwana forum mmoja kasema "ubazazi wake(Mataka) haukubaliki katika jamii yetu na hafai kuwa kiongozi", ni kweli. Amefeli kama role model, lakini je amefeli kama mtendaji mwenye utaalam wa biashara? Hii ndio hoja ya msingi, na ningependa tujadili hili. hayo ya ubazazi wake, pelekeni utamu kwa wenye ufinyu wa fikra!!
Kwa hiyo Mataka ndio anashikishwa ukuta au anashikisha?
.basically problems za ATC ni far deep na hata ukimleta MD wa BA au DELTA AU QANTAS etc haitasaidia maana itakuwa ni sawa na kumleta Ferguson Yanga au Wenger Simba,will it help bila ku solve basic problem?
Kwa hiyo Mataka ndio anashikishwa ukuta au anashikisha?