Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Muda huu nilikuwa naangalia taarifa ya habari ya Aljazeera nikaona taarifa kuwa Jeshi la Polisi nchini Israel linapendekeza Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambae ni sawa na Rais wa nchi kwa nchi nyingine,ashitakiwe kwa tuhuma za rushwa na ufisadi yeye na mke wake.
Najiuliza nchi kama zetu hizi tutafikia viwango kama hivi baada ya vizazi vingapi?
Nchi zetu hizi police wanaweza kuthubutu kupendekeza Raisi wa nchi ashitakiwe kwa rushwa na ufisadi tena kwa tuhuma za kupokea zawadi kinyume na sheria kutoka kwa matajiri?
Maendeleo tutayasikia tu kutoka katika nchi za wenzetu na hakika tutasubiri sana kufika huko.
Najiuliza nchi kama zetu hizi tutafikia viwango kama hivi baada ya vizazi vingapi?
Nchi zetu hizi police wanaweza kuthubutu kupendekeza Raisi wa nchi ashitakiwe kwa rushwa na ufisadi tena kwa tuhuma za kupokea zawadi kinyume na sheria kutoka kwa matajiri?
Maendeleo tutayasikia tu kutoka katika nchi za wenzetu na hakika tutasubiri sana kufika huko.