Mataifa machache Afrika ndio yaliyo na maabara yenye uwezo wa kukagua na kupima kirusi cha Corona

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,757
48,407
Huu uzi nimeufungua ili kuhabarishana kuhusu hiki kirusi maana kuna upotoshwaji mwingi sana upo kwenye mitandao ya kijamii, kila mtu amekua mjuzi na daktari, Afrika yenye watu zaidi ya bilioni 1.2 ipo hatarini sana maana ni matafa machache yenye uwezo wa kubaini Corona, hivyo kuna baadhi ya mataifa kinaweza kikazagaa sana kabla kujulikana.

Mataifa mengi wanatumia vipima joto kwenye uwanja wa ndege, hivyo tu havitoshi, maana ukiambukizwa Corona inachukua hata zaidi ya wiki kabla joto likupande. Ni kama UKIMWI, ukiambukizwa leo haitajulikana mpaka kirusi kikolee humo na kije kuonekana kwenye damu.

Na hata joto likipanda utengwe, itabidi damu yako ipelekwe kwa taifa lenye uwezo wa kubaini Corona ndio ije kufahamika utatibiwa vipi.

Hivyo badala ya kubishana kwenye mitandao, kila mmoja ana jukumu la kuhoji uongozi au utawala kwenye nchi yake kama kweli wapo tayari kugundua Corona au ni soga za mjini tu.

WHO sends virus test kits to African nations after first case confirmed
 
Ijumaa tutakesha kwenye maombi kwa sisi wakatoliki na itakuwa ni historia corona itakuwa umepotea, hatutegemei tena vifaa wala madaktari tumeamua kumkabidhi yesu kristo atupiganie karibu kwenye maombi tumsifu yesu kristo
 
Kipimo muhimu kuliko vyote katika kupambana na kuenea kwa Corona na Ebola ni "Temperature screening", kipimo cha kupima virusi ni mpaka mtu aonyeshe dalili ndio vipimo vya damu vinachukuliwa kwa ajili ya kufanya "Confirmatory test", wakati huo mgonjwa ameshatengwa na jamii kusubiri matokeo ya vipimo vyake.

Kwa kifupi ni kwamba, kipimo cha joto ndio "Primary test yenye uwezo wa kukinga zaidi ya 80% ya maambukizi katika nchi, wakati laboratory test ni muhimu tu pale mtu abapoonyesha dalili au kama kuna wasiwasi ya huyo mtu kwamba anauwezekano wa kuwa na Corona, na wakati kikifanywa, huyo mtu lazima atengwe akisubiri majibu yake.

Muhimu ni nchi kuimarisha uwezo wake katika "Screening" sio katika laboratory testing", hiyo haisaidii katika kupambana na maambukizi ya Corona, pamoja na uwezo mkubwa wa kuweza kupima Virusi, lakini bado US na Europe wameamua kuzuia wasafiri kwenda ktk nchi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ijumaa tutakesha kwenye maombi kwa sisi wakatoliki na itakuwa ni historia corona itakuwa umepotea, hatutegemei tena vifaa wala madaktari tumeamua kumkabidhi yesu kristo atupiganie karibu kwenye maombi tumsifu yesu kristo
The "west" turn to science and techology to solve their problems, Africa turns to prayers and witchcraft to solve her problems.
 
Ijumaa tutakesha kwenye maombi kwa sisi wakatoliki na itakuwa ni historia corona itakuwa umepotea, hatutegemei tena vifaa wala madaktari tumeamua kumkabidhi yesu kristo atupiganie karibu kwenye maombi tumsifu yesu kristo

Nonsense, maombi hayajwahi kuwa suluhisho la matatizo yoyote. Hata hao walioanzisha Ukatoliki Italia wanashambuliwa vikali na COVID-19.
Wenye akili zao wanahangaika kutafuta tiba, nyie watu weusi mpo gizani na imani zenu potofu.
 
Wewe ndiye nani sasa? Au nawe ni miongoni mwa hao wajuzi na madaktari!?
Huu uzi nimeufungua ili kuhabarishana kuhusu hiki kirusi maana kuna upotoshwaji mwingi sana upo kwenye mitandao ya kijamii, kila mtu amekua mjuzi na daktari, Afrika yenye watu zaidi ya bilioni 1.2 ipo hatarini sana maana ni matafa machache yenye uwezo wa kubaini Corona, hivyo kuna baadhi ya mataifa kinaweza kikazagaa sana kabla kujulikana.

Mataifa mengi wanatumia vipima joto kwenye uwanja wa ndege, hivyo tu havitoshi, maana ukiambukizwa Corona inachukua hata zaidi ya wiki kabla joto likupande. Ni kama UKIMWI, ukiambukizwa leo haitajulikana mpaka kirusi kikolee humo na kije kuonekana kwenye damu.

Na hata joto likipanda utengwe, itabidi damu yako ipelekwe kwa taifa lenye uwezo wa kubaini Corona ndio ije kufahamika utatibiwa vipi.

Hivyo badala ya kubishana kwenye mitandao, kila mmoja ana jukumu la kuhoji uongozi au utawala kwenye nchi yake kama kweli wapo tayari kugundua Corona au ni soga za mjini tu.

WHO sends virus test kits to African nations after first case confirmed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshuhudia mgonjwa wa corona virus, inashambulia mapafu, mgonjwa anakosa hewa. Ni ugonjwa mbaya sana.
 
Nonsense, maombi hayajwahi kuwa suluhisho la matatizo yoyote. Hata hao walioanzisha Ukatoliki Italia wanashambuliwa vikali na COVID-19.
Wenye akili zao wanahangaika kutafuta tiba, nyie watu weusi mpo gizani na imani zenu potofu.
Tulia tufanye maombi
 
Kenya limefanikiwa kuwa taifa la kwanza Afrika Mashariki kupata corona. Hongereni wakenya.

Kenya ndio ya kwanza kubaini kwa kutumia maabara maalum, na kilichotusaidia ni kwa muathirika kujipeleka mwenyewe kwenye maabara, sasa mnaojitamba huko ifahamike hiki kitu kina uwezo wa kuzagaa mtaani na siku ziende nyingi kabla kugundulika, hususan kwa mataifa yasio na maabara ya kupima Corona.
Wewe hapo ndiye tegemezi wa CCM kwenye mitandao, ulipaswa kuyajua haya wakati mnapewa briefing kule Lumumba street.
 
Kenya ndio ya kwanza kubaini kwa kutumia maabara maalum, na kilichotusaidia ni kwa muathirika kujipeleka mwenyewe kwenye maabara, sasa mnaojitamba huko ifahamike hiki kitu kina uwezo wa kuzagaa mtaani na siku ziende nyingi kabla kugundulika, hususan kwa mataifa yasio na maabara ya kupima Corona.
Wewe hapo ndiye tegemezi wa CCM kwenye mitandao, ulipaswa kuyajua haya wakati mnapewa briefing kule Lumumba street.
Hivi wewe huchoki tu kuandika upuuzi wako?
 
Kenya ndio ya kwanza kubaini kwa kutumia maabara maalum, na kilichotusaidia ni kwa muathirika kujipeleka mwenyewe kwenye maabara, sasa mnaojitamba huko ifahamike hiki kitu kina uwezo wa kuzagaa mtaani na siku ziende nyingi kabla kugundulika, hususan kwa mataifa yasio na maabara ya kupima Corona.
Wewe hapo ndiye tegemezi wa CCM kwenye mitandao, ulipaswa kuyajua haya wakati mnapewa briefing kule Lumumba street.
Umesema vizuri sana, kwamba huyo mtu alijipeleka mwenyewe, kuna uwezekano wapo wengi tu majumbani ambao hawajajipeleka, Kwahiyo maabara ya kupima Corona sio muhimu katika kuzuia kuenea maambukizi, muhimu zaidi ni "Screening, not testing", hizo nchi nyingi ambazo zineripoti visa vya Corona, hazijaanza kupima vizuri.

Huyo mgonjwa aliyejipekeka Hospitali, hata kama Kenya isingekuwa na uwezo wa kupima, asingeruhusiwa kurudi nyumbani, angetengwa na damu yake kupelekwa nchi yenye uwezo wa kupima na majibu yangejulikana. Hivi mgonjwa wa Kisumu anapimwa Kisumu?, lazima damu isafirishwe hadi Nairobi, ila ugonjwa ukienea sana, ndio italazimika kila County kuweza kupima Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipimo muhimu kuliko vyote katika kupambana na kuenea kwa Corona na Ebola ni "Temperature screening", kipimo cha kupima virusi ni mpaka mtu aonyeshe dalili ndio vipimo vya damu vinachukuliwa kwa ajili ya kufanya "Confirmatory test", wakati huo mgonjwa ameshatengwa na jamii kusubiri matokeo ya vipimo vyake.

Kwa kifupi ni kwamba, kipimo cha joto ndio "Primary test yenye uwezo wa kukinga zaidi ya 80% ya maambukizi katika nchi, wakati laboratory test ni muhimu tu pale mtu abapoonyesha dalili au kama kuna wasiwasi ya huyo mtu kwamba anauwezekano wa kuwa na Corona, na wakati kikifanywa, huyo mtu lazima atengwe akisubiri majibu yake.

Muhimu ni nchi kuimarisha uwezo wake katika "Screening" sio katika laboratory testing", hiyo haisaidii katika kupambana na maambukizi ya Corona, pamoja na uwezo mkubwa wa kuweza kupima Virusi, lakini bado US na Europe wameamua kuzuia wasafiri kwenda ktk nchi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ni hatari zaidi kwa uambukizi manake 50% ya walio na corona wako na mild symptoms kwahivyo temperature screening ni kazi bure manake hawana fever yeyote, unakuta jamaa anaumwa na kichwa tu, kwahivyo anaweza kupita kwa airport na aende akisambazia watu wengine



-------------------------------------------
Earlier this month, British researchers published a study showing that temperature checks will fail to detect a coronavirus infection nearly half the time.
At least one country has found airport temperature checks so unhelpful that it decided not to do them during the novel coronavirus outbreak. Israel used them in previous years for Ebola, SARS and H1N1, but found that they didn't work.
"It is ineffective and inefficient," said Dr. Itamar Grotto, associate director general of Israel's Ministry of Health.


No US coronavirus cases were caught by airport temperature checks. Here's what has worked
 
Corona ni hatari zaidi kwa uambukizi manake 50% ya walio na corona wako na mild symptoms kwahivyo temperature screening ni kazi bure manake hawana fever yeyote, unakuta jamaa anaumwa na kichwa tu, kwahivyo anaweza kupita kwa airport na aende akisambazia watu wengine



-------------------------------------------
Earlier this month, British researchers published a study showing that temperature checks will fail to detect a coronavirus infection nearly half the time.
At least one country has found airport temperature checks so unhelpful that it decided not to do them during the novel coronavirus outbreak. Israel used them in previous years for Ebola, SARS and H1N1, but found that they didn't work.
"It is ineffective and inefficient," said Dr. Itamar Grotto, associate director general of Israel's Ministry of Health.


No US coronavirus cases were caught by airport temperature checks. Here's what has worked

Hii ndio nimejaribu kuwaelimisha ila walivo hovyoo kuelewa hata vitu vidogo ni shida.
 
Ijumaa tutakesha kwenye maombi kwa sisi wakatoliki na itakuwa ni historia corona itakuwa umepotea, hatutegemei tena vifaa wala madaktari tumeamua kumkabidhi yesu kristo atupiganie karibu kwenye maombi tumsifu yesu kristo
Kama ameshindwa kuwaondolea umasikini, Coronna ndio ataweza?
 
Back
Top Bottom