Mataga wana vituko sana

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,343
27,957
IMG_20210326_201208.jpg
 
NAWAASA WOTE;
Nasema wote maana sitaki kuacha hata mmoja.
Nasema wote ili asiwepo wa kusema hakuambiwa.
Nasema wote ili wote mjue.
Nasema wote ili wote tuwe na taarifa moja.
Nasema wote ili wote tuanze upya.
NI WAKATI WA KUACHA MWENDAZAKE AENDE ZAKE MAANA HATUJUI MAPOKEO YA HUKO AENDAKO.
Si sawa kuendelea kubishana na asiyeweza kujibu,
Si sawa kuendelea kumsifu asiyeweza kujiinua,
Si sawa kuendelea kumlaumu asiyeweza kujitetea.
KAENDA KAENDA ZAKE TUMWACHE AENDE.
 
NAWAASA WOTE;
Nasema wote maana sitaki kuacha hata mmoja.
Nasema wote ili asiwepo wa kusema hakuambiwa.
Nasema wote ili wote mjue.
Nasema wote ili wote tuwe na taarifa moja.
Nasema wote ili wote tuanze upya.
NI WAKATI WA KUACHA MWENDAZAKE AENDE ZAKE MAANA HATUJUI MAPOKEO YA HUKO AENDAKO.
Si sawa kuendelea kubishana na asiyeweza kujibu,
Si sawa kuendelea kumsifu asiyeweza kujiinua,
Si sawa kuendelea kumlaumu asiyeweza kujitetea.
KAENDA KAENDA ZAKE TUMWACHE AENDE.
KAENDA KAENDA ZAKE TUMWACHE AENDE.... Zimebaki story
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom