tunduma001
JF-Expert Member
- Jun 7, 2021
- 211
- 380
Sina haja wa kuona ilihali magu alikuwa mzalendo kiasi hicho compared na huyu wa bendera fata upepoMkataba upi uliousoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina haja wa kuona ilihali magu alikuwa mzalendo kiasi hicho compared na huyu wa bendera fata upepoMkataba upi uliousoma?
Tutapiga kelele tu bila mafanikio cha msingi tuache tu kwakuwa Tz hakutakuja kutokea vita tena.Mataga sasa hivi wamekuwa kama chapati, kila wakienda upande huu au ule wanapigwa.
Walishangilia ndege ambazo zilinunuliwa kwa mkataba usiojulikana, makinikia yanaenda nje kwa mkataba wa mwendazake, SGR,Stiglers, yote haya yanajengwa bila mikataba inayojulikana na mataga walikuwa wanashangilia.
Leo bandari inataka kuanza wanajifanya wazalendo,unafiki tu
mkataba wa ununuzi wa ndege ukoje kwa ndege za malipo ya cash!!!Mtu safi alificha mikataba ya kununua ndege
Ww huna chuki binafsi na magufuli, sioni unachotetea coz hakuna rais aliyewah kuonesha mkataba wwte hadharaniMtu safi alificha mikataba ya kununua ndege
kili kwanza kama yale yalikuwa mambo ya hovyo,halafu tuendeleeKwa hiyo wewe kwa akli zako ulizonazo, unaona ni bora nchi iendelee na mambo ya jk?
Wewe acha ujinga. mambo ya hovyo hovyo ndiyo nini? Acheni michezo ya kipumbavu kwa masuala ya kitaifa. Mnaleta mambo ya siasa zenu uchwara kwenye mambo muhimu. Naona mmegawanyika kama mbweha. Mara mataga, mara ccm fisadi, mara wapinzani, mara cuf sijui nini upumbavu upumbavu tu. Ujinga ujinga hatutaki. Tutawatandika mpaka muombe poo. Pumbavu zenu.kili kwanza kama yale yalikuwa mambo ya hovyo,halafu tuendelee
pumbavu mwenyewe na akili zako za kupengea kamasiWewe acha ujinga. mambo ya hovyo hovyo ndiyo nini? Acheni michezo ya kipumbavu kwa masuala ya kitaifa. Mnaleta mambo ya siasa zenu uchwara kwenye mambo muhimu. Naona mmegawanyika kama mbweha. Mara mataga, mara ccm fisadi, mara wapinzani, mara cuf sijui nini upumbavu upumbavu tu. Ujinga ujinga hatutaki. Tutawatandika mpaka muombe poo. Pumbavu zenu.
Wewe ndilo pumbavu lisilojitambua. Unatumia nini kufikiri kijuha ivyo? Pumbavu kweli kweli. Eti mradi una manufaa, manufaa mavi yako.pumbavu mwenyewe na akili zako za kupengea kamasi
Kwani ya mwendazake Yana tija gani Hadi Sasa?Kwa hiyo wewe kwa akli zako ulizonazo, unaona ni bora nchi iendelee na mambo ya jk?
Wewe ni marehemu, roho yako imetoka kuzimu kuja kutembea duniani. Ulishakufa zamani wewe. rudi shimoni.Kwani ya mwendazake Yana tija gani Hadi Sasa?
Kama Hilo shimo umelichimba wewe basi utakuwa umeshalitest utamu wake na ungeweza kubaki humo kwani kulikupendeza mno! Na Kama huko kwenye familia yako mna desturi ya kuwasiliana na marehemu wenu tuambie Kama Uzi wako huu kakuagiza mwendazake utuandikie ni sawa, Ila mrejeshee ujumbe kuwa, zama zake zilimfuata shimoni na hakuna kitu atatufanya! Ishi wewe milele!Wewe ni marehemu, roho yako imetoka kuzimu kuja kutembea duniani. Ulishakufa zamani wewe. rudi shimoni.
Huwezi kumwita mzalendo mtu aliyekuwa na ndoto za kuicolonize nchi upya.Huenda labda kulkuwa na sababu nyingine ila maguful alkuwa mzalendo toka unyayoni mpk utosin.Sio hawa wa kufurahisha kila kundi ili wapendwe, wanashindwa kujua kuwa you cant please every one
Mataga sasa hivi wamekuwa kama chapati, kila wakienda upande huu au ule wanapigwa.
Walishangilia ndege ambazo zilinunuliwa kwa mkataba usiojulikana, makinikia yanaenda nje kwa mkataba wa mwendazake, SGR,Stiglers, yote haya yanajengwa bila mikataba inayojulikana na mataga walikuwa wanashangilia.
Leo bandari inataka kuanza wanajifanya wazalendo,unafiki tu
Hilo la ukoloni unazungumza ww ,yule alikuwa akiwanyoosha mafisad km wwHuwezi kumwita mzalendo mtu aliyekuwa na ndoto za kuicolonize nchi upya.