chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,984
- 20,634
Mataga sasa hivi wamekuwa kama chapati, kila wakienda upande huu au ule wanapigwa.
Walishangilia ndege ambazo zilinunuliwa kwa mkataba usiojulikana, makinikia yanaenda nje kwa mkataba wa mwendazake, SGR, Stiglers, yote haya yanajengwa bila mikataba inayojulikana na mataga walikuwa wanashangilia.
Leo bandari inataka kuanza wanajifanya wazalendo, unafiki tu
Walishangilia ndege ambazo zilinunuliwa kwa mkataba usiojulikana, makinikia yanaenda nje kwa mkataba wa mwendazake, SGR, Stiglers, yote haya yanajengwa bila mikataba inayojulikana na mataga walikuwa wanashangilia.
Leo bandari inataka kuanza wanajifanya wazalendo, unafiki tu