utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,830
- 2,417
Habari ndugu zanguni,
Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.
Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na Mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.
Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.
Nimeona mijadala mingi sana mitandaoni ambayo ukiangalia kwa wingi ni wale ndugu zetu ambao wamekuwa wakikosoa mienendo ya Rais wetu Mama Samia katika ziara yake nchini Kenya.
Lakini sisi watu wa kufikiria mbali tumeona kumbe watu wa mwendazake wamekuwa wanapinga mengi ya mama sababu wanaamini yanaenda tofauti na misingi iliyojengwa na Mwendazake, lakini wamesahau kuwa kila Rais ana namna ya uendeshaje wake wa nchi.
Nilichokiona Mama na Mwendazake ni vitu viwili tofauti kabisa.Ssa kama tulicheza ngoma kama Mataga inatakiwa tukubali kucheza ngoma ya Asilia maana wamerudisha kijiti chao.
TUWE WATULIVU NA TUACHE KAZI IENDELEE.