Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,379
- 4,702
Asalaam wakuu.
Mataa mapya yaliyowekwa eneo la Baracuda jijini Dar-es-salaam, ambapo ni makutano ya barabara ya kuelekea Segerea kutokea Tabata Bima na kuelekea Tabata Chang'ombe kutokea Vingunguti yameongeza sana foleni nyakati za jioni.
Achilia mbali usafiri wa umma (daladala) za kuelekea Tabata Chang'ombe kutokea Vingunguti kwa sasa hazikatizi eneo hilo kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea, lakini bado kuna adha kubwa ya foleni kutokea Tabata bima nyakati za jioni.
Nashauri kuwepo na trafiki wakati wa jioni ili kuweza kuangalia namna ya kuruhusu magari yanayotokea Tabata bima kuelekea Segerea. Au kutafuta namna nyingine ya kupambana na tatizo.
Nawasilisha.
Mataa mapya yaliyowekwa eneo la Baracuda jijini Dar-es-salaam, ambapo ni makutano ya barabara ya kuelekea Segerea kutokea Tabata Bima na kuelekea Tabata Chang'ombe kutokea Vingunguti yameongeza sana foleni nyakati za jioni.
Achilia mbali usafiri wa umma (daladala) za kuelekea Tabata Chang'ombe kutokea Vingunguti kwa sasa hazikatizi eneo hilo kutokana na ujenzi wa barabara unaoendelea, lakini bado kuna adha kubwa ya foleni kutokea Tabata bima nyakati za jioni.
Nashauri kuwepo na trafiki wakati wa jioni ili kuweza kuangalia namna ya kuruhusu magari yanayotokea Tabata bima kuelekea Segerea. Au kutafuta namna nyingine ya kupambana na tatizo.
Nawasilisha.