Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 770
- 2,408
Habarini wakuu,
Hii barabara ilikuwa haina mataa ila hivi karibuni kuna mataa yamewekwa kwenye hii njia panda ya barakuda ambayo inahusisha barabara ya kutoka na kweda Tabata Segerea (Segerea - Bima) pamoja na barabara ya kutoka na kwenda tabata chang'ombe (Chang'ombe - Vingunguti).
Kiukweli toka yawekwe haya mataa, yameongeza foleni. Ni usmbufu wa hali ya juu, sio usiku wala mchana. Wananchi tunapoteza muda mwingi sana hapo.
Tatizo kubwa nililogundua pale ni kuwa ile ni One way road hivyo mataa hayaleti ufanisi kama ambavyo yanaleta kwenye njia nyingi.
Mlio jirani na wahusika waambieni waliangalie hili swala. Tunapoteza muda mwingi sana barabarani pale kwenda na kurudi majukumuni.
Wasalaam.
Hii barabara ilikuwa haina mataa ila hivi karibuni kuna mataa yamewekwa kwenye hii njia panda ya barakuda ambayo inahusisha barabara ya kutoka na kweda Tabata Segerea (Segerea - Bima) pamoja na barabara ya kutoka na kwenda tabata chang'ombe (Chang'ombe - Vingunguti).
Kiukweli toka yawekwe haya mataa, yameongeza foleni. Ni usmbufu wa hali ya juu, sio usiku wala mchana. Wananchi tunapoteza muda mwingi sana hapo.
Tatizo kubwa nililogundua pale ni kuwa ile ni One way road hivyo mataa hayaleti ufanisi kama ambavyo yanaleta kwenye njia nyingi.
Mlio jirani na wahusika waambieni waliangalie hili swala. Tunapoteza muda mwingi sana barabarani pale kwenda na kurudi majukumuni.
Wasalaam.