Wazee wa jukwaani niwieni radhi, jana katika vikao vya jioni tulipata tabu kufikia muafaka wa nani ni nani na nini ni nini kuhusu mgomo wa madaktari!
Naomba ufafanuzi na mahusiano kati ya vyombo hivi vitatu vya taaluma ya udaktari
Naomba ufafanuzi na mahusiano kati ya vyombo hivi vitatu vya taaluma ya udaktari
- MAT (Medical association of Tanzania) - nafikiri ndo inatafsiriwa kama Chama cha Madaktari tanzaia
- Baraza la madaktari tanzania
- Jumuia ya Madaktari tanzania