Maswi: Zitto na Kafulila ni washenz* na wala rushwa...! Asisitiza Kafulila ni 'tumbili'

HII issue Kafulilaa haiwezi kwa sababu hata mabosi wake pia hawaonekani kumuunga mkono sijaua sababu hasa ni nini au ndio zile story za kwamba nao walinaswa CCTV Kamera wakilamba mlunguru wa IPTL

Sasa kama hakuna wizi huko IPTL kwa nini watu walihongwa? Ukiufatilia huu mchongo na jinsi watu wanavyokuwa wakali mpaka wanataka " kumkata kichwa" mbunge utaona kuna ukweli ndani yake.
Kama hakuna kitu sii wanyamaze hadi uchunguzi utakapo kwisha?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Tanzania tuna mtihani mgumu.Hawa vijana waliofakamia vyama vya siasa kwa kudhani ndio vitawaondoa kwenye huo ulalahoi bila kuhangaika watatusumbua saana na hizo fikra zao za kukaririshwa.Sasa hapo hizo comment za matusi kwa Kafulila na Zito ni kwa sababu tu hawako Chadema,jamani tusiwe na double standard kwani wanachoongelea ni pesa za walipa kodi zimezoliwa na wajanja wachache.Tusijitoe ufahamu kwa chuki binafsi tu eti kwa sababu mtu haendani kimawazo na Slaa au Mbowe.
 
Tafuta raia mwema usome siri ya iptl...hii kampuni inayotetewa na maswi ya wahuni...tu...

Kinachonichanganya mimi juu ya hii IPTL ni kwamba ilianza kitambo, kind of between 15 and 20 years back, sasa how does Maswi the new comer chip in?

Au alikuwapo since then sasa ndo amejitokeza kama nabii wa uongo in the end of time kumalizia kabisa hii saga smoothly.

Yanni inawezekana vipi all the ministers,makatibu wa kuu,na wanasheria wakuu kwa kipindi chote hiki wote wakaweza ku chop IPTL money?

Hata hizi fedha tunaziambiwa au ziko understated.

I am confused.
 
Ndugu zangu watanzania,hivi hii kasumba ya kuitana majina ya ajabu ajabu yasiyolingana na utu wa mtu mfn: tumbili,nyani,sokwe n.k imetoka wapi? Tulizowea kusikia tukiitwa majina kama hayo na wazungu,kitu kilichotafsiriwa kama kiwango cha juu sana cha dharau na ukiukwaji mkubwa wa haki na utu wa binadamu.Sasa sisi tuishio huku hayo mambo kwa sasa hatuyaoni,ama yamepungua sana,upepo huu mchafu sasa umegeukia huko,ndugu zangu wtz,ni vema tujitadhimini upya,pamoja na tofauti zetu aidha za kisiasa,kidini,kimtazamo n.k,jambo hili si la kujivunia hata kidogo.Kumlinganisha mwanadamu mwenzako aliyeumbwa na Mungu kwa ustadi wa hali ya juu na mnyama wa mwituni ni kosa,tubadilikeni jamani.
 
Kikwete uongozi wa sampuli ya Maswi, Muhongo na Werema ni ajali kitaifa. Ili wajifunze jinsi ya kuheshimu wale wanaowaongoza watake wajiuzulu.

Sikutarajia kwamba katika Tanzania ya leo bado kuna watu washenzi kama hawa. Kutukana? Hata Wassira ni hivyohivyo, ingawa alipoanza kuusaka Urais kapoa kidogo. Waondoe ndipo watajua kwamba waajiri wao ni wananchi. Bahati mbaya sana wanatoka mkoa mmoja lakini hatuwezi kuendelea kudai kwamba ati watu wa mkoa huo wana hasira, huo si utetezi. Watimue!

Maswi anadai aliyewatuma Kafulila na Zitto ni Mkono. Leo watanzania wajionee kwanini mkoa wa Mara hauendelei, sababu ni kwamba yenyewe kwa yenyewe hayapendani kabisa!

Hivi na yule Mkuu wa mkoa wa Arusha nani vile?
 
usimshambulie mtu kwa hila au sababu binafsi,kinachotakiwa ni vielelezo.kafulila kasema ana vielelezo kua werema mwizi.sasa viwekwe mezani vielelezo tuone nani mkweli.HII SIO NCHI YA WEREMA NA MASWI WEWE unakua kama sio f.a.la bana?zito hachangii nini?sio mada hapa hatutaki majungu.

Hivi mama yako aliwahi kukuonyesha alipo baba yako halisi?

Sijamchukia mtu hapa ila napinga mambweha wenzio kina maswi, werema na muhongo kutisha watu hadharani. We vipi unakua kama siyo devidi kameruni bana? Khaa! Pole aise.
 
Maswi is confident and I tend to believe him. Unajua mtu asiye na agenda ya siri hapepesi macho anapoongea kuhusu jambo fulani and this is what Maswi does. Kafulila na Zitto wamekanyaga moto.
 
[/COLOR][/B]
na hao waandishi wa habari ni vilaza tu! walipaswa wamuulize hilo swali au na wao waandishi wamekula mlungula kutoka kwa maswi?

Mkuu unadhani Ridhiwani alipowaita waandishi makanjanja alikosea? Hapo washapokea bahasha za khaki just to air the news.... Makaratasi ya maandazi but yanawapa kiwewe... Pasco please njoo huku saidia hii hoja ya maswi kusema the documents ni makaratasi ya kufungia maandazi and yet waandishi failed to ask him why wasting time kuyafatilia
 
Last edited by a moderator:
Maswi is confident and I tend to believe him. Unajua mtu asiye na agenda ya siri hapepesi macho anapoongea kuhusu jambo fulani and this is what Maswi does. Kafulila na Zitto wamekanyaga moto.

zito yes but not Kafulila.
 
Kinachonichanganya mimi juu ya hii IPTL ni kwamba ilianza kitambo, kind of between 15 and 20 years back, sasa how does Maswi the new comer chip in?

Au alikuwapo since then sasa ndo amejitokeza kama nabii wa uongo in the end of time kumalizia kabisa hii saga smoothly.

Yanni inawezekana vipi all the ministers,makatibu wa kuu,na wanasheria wakuu kwa kipindi chote hiki wote wakaweza ku chop IPTL money?

Hata hizi fedha tunaziambiwa au ziko understated.

I am confused.

Mkuu nakushauri uwe unanunua raia mwema kila wiki...hii kampuni ilifilisika..ikatakiwa assets zake zibebwe na serikali...but wahuni wakajifanya imeuzwa...so that waendeleze deals zao...so serikali inaendelea kuilipa huku sheria zikivunjwa...
 
Wala huwezi kuwaona hapa sijui wako wapi tunapotetea maslahi ya taifa pesa zinaibwa wanasema karatasi za maandazi yet they waste time with press kujadili karatasi za maandazi. Inabidi kufika mahali na kuweka ushabiki wa vyama pembeni na kupambana na wahuni wanaohujumu pesa za walipa kodi.... THE BIG SHOW, aliwahi kusema ushabiki wa vyama ndo mtaji wa wezi

Hapa inabidi Invisible afunguwe ukurasa wa "NOT TO RACISIM" campaign. Haiwezekani watu wanatetea maslahi ya nchi wanatukanwa kuwa ni Tumbili .................. Kama kweli ni karatasi za kufungia vitumbua kwa nini wanahangaika nazo bila kutuonyesha karatasi halisi!!?? Huko nyuma nakumbuka Msigwa naye aliambiwa "Siongei na Mbwa ila Mwenye Mbwa". Kama ndiyo mambo kama haya yanaruhusiwa bungeni basi itabidi tuanze kuliombea taifa kabla mambo hayajaharibika zaidi!!
 
zito siku hizi hachangii hadharani na hata huko mafichoni akiamua kuchangia huchangia kwa mandishi na kibaya zaidi hutumia msiba wa mamaye kutafuta huruma.

muhurumie ndugu yetu huyu, NGUZO KUU IMEDONDOKA!! Hata nguvu ya kukimbiza panya haipo!
 
Back
Top Bottom