Maswi ni kachero anaye piga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa J.Kikwete Albert Marwa

Status
Not open for further replies.

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,495
3,458
Spika alisema bungeni kuwa siku zote mawaziri walipofanya makosa walijiuzulu na ikawa kazi nyepesi tofauti na hawa tunaotaka wawajibike leo. Hawa wamegoma. Je, watanzania wanajua kwanini hawa wamegoma?

1.Maswi ambae ni Katibu mkuu ni kachero anapiga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa J.Kikwete Albert Marwa alomuoa mtoto wa Kikwete. Ni kupitia dili za Albert Marwa, Maswi amekuwa karibu na Ridhwani Kikwete. Na ni mtandao huo wa familia unaomiliki asilimia50% za kampuni ya PAP kwa kushirikiana na Singasinga.

Maswi ni mtu muhimu sana kwa familia ya rais na ndio sababu ndani ya Bunge na vikao vya wabunge wa CCM mtoto wa rais Ridhwan alidiriki kusema haamini kama kuchukua hatua ni kumsaidia rais bali kuwalinda wahusika ndio kukisaidia chama na rais. Hayo aliyasema akipinga kauli ya makam wa CCM Mzee Philip Mangula ambae yeye pamoja na Kinana misimamo yao iko wazi kuwa wahusika wawajibike.

Mazingira haya ambayo dili limepigwa kwa maelekezo ya Ikulu na ushiriki wa familia ya rais ndio msingi wa ugumu wa jambo hili hata kuifanya nchi ivuje damu kwa mateso ya kibajeti kutokana na vikwazo vya wahisani.

Ni ugumu huu uliosababisha Jakaya Kikwete kutamani kuvunja kabisa uhusiano wake na Ulaya na Marekani kwani kuchukua hatua katika hili kwake ni sawa na akate tawi la mti alokalia.

Maswi amesikika mara kadhaa akiwambia wajumbe wa kamati ya Nishati kuwa hakuna wa kumtoa nafasi yake nchi hii labda bada ya Jakaya Kikwete. Na ridhwan anasema hakuna wa kumtoa Maswi labda asiwepo.

Ugumu wa kumtoa Maswi ndio unasababisha ugumu wa kumtoa Waziri kwani huwezi kumtoa waziri peke yake kwa makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanywa na Katibu Mkuu kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambae nae anajitetea kuwa ilikua maagizo ya Ikulu.

Waziri mkuu nae anagoma kujiuzulu ingawa kosa ni kubwa kuliko la richmond kwasababu watendaji wa chini yake wanamzidi nguvu kutokana na familia ya rais kiasi cha kumfanya abaki kama boya.
 
Mkuu dubu, kama mna vielelezo kuhusu tuhuma hizi mngezimwaga hadharani au hapa JF ili wenye ubavu wa kulivalia njuga wapate pa kuanzia. Vinginevyo haya yataonekana ni majungu tu!

Mkuu hii kitu ni kweli na kila mtu anajua.
 
Mkuu hii kitu ni kweli na kila mtu anajua.

Mkuu dubu, pengine ni kweli na pengine pia kwamba kila mtu anajua, lakini uliona mwenyewe majadiliano yalivyokuwa bungeni na muafaka uliofikiwa kwenye maazimio! Bila kuwa na evidence zitakazoweza kuwekwa hadharani ili kila mtanzania aone na jamii za kimataifa zione ili ziweze kudai uwajibikaji wa wahusika hatutafika popote na swala hili! Mihimili yote ya dola ina walakini kwenye jambo hili hivyo kinachohitajika ni kwa nyie wenye hizo evidence kufunua hilo kombe hadharani ili huyo mwanaharamu asiweze kupita!
 
Wakati wa kuformulate maazimio spika alisikika mara kwa mara akirudia kuwa hataki kugombana na mhimili mwingine kwani tayari kishagombana na mhimili mmoja.

Suala hili alirudia mara kadhaa na hata kushambulia wabunge kuwa shida yake amekwishasema hataki kugombana na huo muhimili ambao ni serikali. Nitakuwa spika gani mimi kugombana na mihimili yote??? aling'aka Anna.

HOJA: Iweje kama bunge limefanya kazi nzuri na kugundua wezi wa mali ya umma, spika Anna hata baada ya kujiridhisha kuwa kazi ya PAC ni nzuri na mapendekezo ya wabunge na BUNGE kwa ujumla ni mazuri bado ahangaike namna ya kuandika maazimio? illikuwa ni wazi kuwa BUNGE limeazimia RAIS awafukuze kazi Mhungo, Werema, Tibaijuka na Maswi.

Kigugumizi cha kuandika maneno hayo straight ni Spika kuogopa kuuambia muhimili wa serikali ukweli kwa maneno bayana. Woga huo unatokana na ama Makinda kutoiamini Serikali hivyo RAIS kuwa atasimama na watanzania na bunge lake inapofika ukweli na masuala makubwa ya nchi, kigugumizi hicho ndo kinaonesha kuwa Anna hana imani na RAIS. Ama Anna hana uwezo wa kuwa spika, yuko pale kujaza nafasi sio mtu mwenye uwezo na sifa za kuongoza bunge.

Hofu ya namna ya kuandika ukweli eti rais asigombane naye ni kumzalilisha rais na kuwambia watz kuwa rais wenu ama hana uwezo wa kutambua makosa kama ambavyo bunge limetambua makosa ya kina Tibaijuka, Werema, Muhongo na Maswi kisha bodi ya TANESCO.

HOfu ya Anna ni fedheha kwa BUNGE maana lilipaswa kuchambua na kuweka maazimio jinsi hali halisi ilivyo, kwa maneno yake hayo, iwapo kwa sababu moja ama nyingine rais hatawachukulia hatua hao watajwa, Anna atakuwa amethbitisha hofu yake kwa rais, na atakuwa ameonesha udhaifu wa rais kwa vitendo.

Je hali ya spika kutoamini mihimili mingine au hali ya spika kutokuwa na uwezo wa kumudu kiti cha spika, inalitafuna vipi bunge na hivyo nchi???

Je ilikuwa haki wezi nao wajadili formulations za maazimio ya bunge kwa akili ya kawaida??? Spika kuonesha wasiwasi kwa Rais, ni afya kwa nchi?

Nawasilisha.
 
Ndugu yetu Fikirikwanza, unayosema ni kweli. Kwa kuwa ulifuatilia ule mjadala wa Jumamosi ambapo Anna alikuwa akieleza woga wake juu ya muhimili wa Rais ("....nitakuwa mgeni wa nani?....") ni dhahiri (by implication) wabunge na mawaziri wa CCM walipata mgao kidogo ili wafanye kazi ya kutetea majizi! Wewe wafikiri ule utetezi wa Simbachawene ulikuwa bure? Unakumbuka yule mama aliyesema kuwa kamati ya Zito inataka kuiondoa CCM na akatamba kuwa hawatoki akisahau kuwa ndani ya Kamati ile kuna wabunge wa upinzani watano (5) tu na wa ccm 19? Hakika ccm wameoza.

Anna siku zote amekuwa mtetezi wa uozo wa chama chake. Ilikuwaje aendelee kulazimisha wabunge wachukue "formulation" ya Chenge ambaye ni mtuhumiwa? Chenge alipendekeza formulation yenye kuwatetea mafisadi wenzake naye Spika Anna akaivalia njuga kuwa ndiyo sahihi. Walioipigia kura ya hapana walikuwa wengi lakini akalazimisha kuwa ndiyo ndizo nyingi. Hakika pale spika hatuna.
Wakati wa kuformulate maazimio spika alisikika mara kwa mara akirudia kuwa hataki kugombana na mhimili mwingine kwani tayari kishagombana na mhimili mmoja.

Suala hili alirudia mara kadhaa na hata kushambulia wabunge kuwa shida yake amekwishasema hataki kugombana na huo muhimili ambao ni serikali. Nitakuwa spika gani mimi kugombana na mihimili yote??? aling'aka Anna.

HOJA: Iweje kama bunge limefanya kazi nzuri na kugundua wezi wa mali ya umma, spika Anna hata baada ya kujiridhisha kuwa kazi ya PAC ni nzuri na mapendekezo ya wabunge na BUNGE kwa ujumla ni mazuri bado ahangaike namna ya kuandika maazimio? illikuwa ni wazi kuwa BUNGE limeazimia RAIS awafukuze kazi Mhungo, Werema, Tibaijuka na Maswi.

Kigugumizi cha kuandika maneno hayo straight ni Spika kuogopa kuuambia muhimili wa serikali ukweli kwa maneno bayana. Woga huo unatokana na ama Makinda kutoiamini Serikali hivyo RAIS kuwa atasimama na watanzania na bunge lake inapofika ukweli na masuala makubwa ya nchi, kigugumizi hicho ndo kinaonesha kuwa Anna hana imani na RAIS. Ama Anna hana uwezo wa kuwa spika, yuko pale kujaza nafasi sio mtu mwenye uwezo na sifa za kuongoza bunge.

Hofu ya namna ya kuandika ukweli eti rais asigombane naye ni kumzalilisha rais na kuwambia watz kuwa rais wenu ama hana uwezo wa kutambua makosa kama ambavyo bunge limetambua makosa ya kina Tibaijuka, Werema, Muhongo na Maswi kisha bodi ya TANESCO.

HOfu ya Anna ni fedheha kwa BUNGE maana lilipaswa kuchambua na kuweka maazimio jinsi hali halisi ilivyo, kwa maneno yake hayo, iwapo kwa sababu moja ama nyingine rais hatawachukulia hatua hao watajwa, Anna atakuwa amethbitisha hofu yake kwa rais, na atakuwa ameonesha udhaifu wa rais kwa vitendo.

Je hali ya spika kutoamini mihimili mingine au hali ya spika kutokuwa na uwezo wa kumudu kiti cha spika, inalitafuna vipi bunge na hivyo nchi???

Je ilikuwa haki wezi nao wajadili formulations za maazimio ya bunge kwa akili ya kawaida??? Spika kuonesha wasiwasi kwa Rais, ni afya kwa nchi?



Nawasilisha.
 
Dhana za kufikirika, zikipangiliwa vizuri, zinaonekana kama ni kweli!.

Tendelee ku enjoy absolute freedom of thinking and expression, ila tuishie kwenye mipaka inayotuhusu!, ukivuka mpaka huo kwa kutaja taja majina, ni kuingilia uhuru wa mwingine!.
Pasco
 
Nchi ikiwa chini ya maharamia na walanguzi utegemee nini? Wengi wa viongozi wa serikali ni marafiki wa wafanyabiashara na wahujumu uchumi wa nchi. Tutanyonywa mpaka tukome. Chaguo la Mungu ni janga kwa watanzania.
 
Maswi ana uhusiano upi wa karibu na Marwa hapa ? WEKA PEUPE TAFADHARI.
 
Huu ndio ukweli uliokuwa unasemewa ndani ya 'viambaza' na sasa umeanza kutoka nje! Oh maskini Nchi yangu! Ee Mola uliyetupa utawala huu ushuke na upanga wako wa moto utupiganie!
 
weka na ushahidi basi. hizi porojo zenu tumezichoka. napata tabu kutokukuhusisha na chuki zenu tu za siku zote.

Spika alisema bungeni kuwa siku zote mawaziri walipofanya makosa walijiuzulu na ikawa kazi nyepesi tofauti na hawa tunaotaka wawajibike leo. Hawa wamegoma. Je, watanzania wanajua kwanini hawa wamegoma?

1.Maswi ambae ni Katibu mkuu ni kachero anapiga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa J.Kikwete Albert Marwa alomuoa mtoto wa Kikwete. Ni kupitia dili za Albert Marwa, Maswi amekuwa karibu na Ridhwani Kikwete. Na ni mtandao huo wa familia unaomiliki asilimia50% za kampuni ya PAP kwa kushirikiana na Singasinga.

Maswi ni mtu muhimu sana kwa familia ya rais na ndio sababu ndani ya Bunge na vikao vya wabunge wa CCM mtoto wa rais Ridhwan alidiriki kusema haamini kama kuchukua hatua ni kumsaidia rais bali kuwalinda wahusika ndio kukisaidia chama na rais. Hayo aliyasema akipinga kauli ya makam wa CCM Mzee Philip Mangula ambae yeye pamoja na Kinana misimamo yao iko wazi kuwa wahusika wawajibike.


Mazingira haya ambayo dili limepigwa kwa maelekezo ya Ikulu na ushiriki wa familia ya rais ndio msingi wa ugumu wa jambo hili hata kuifanya nchi ivuje damu kwa mateso ya kibajeti kutokana na vikwazo vya wahisani.

Ni ugumu huu uliosababisha Jakaya Kikwete kutamani kuvunja kabisa uhusiano wake na Ulaya na Marekani kwani kuchukua hatua katika hili kwake ni sawa na akate tawi la mti alokalia.

Maswi amesikika mara kadhaa akiwambia wajumbe wa kamati ya Nishati kuwa hakuna wa kumtoa nafasi yake nchi hii labda bada ya Jakaya Kikwete. Na ridhwan anasema hakuna wa kumtoa Maswi labda asiwepo.

Ugumu wa kumtoa Maswi ndio unasababisha ugumu wa kumtoa Waziri kwani huwezi kumtoa waziri peke yake kwa makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanywa na Katibu Mkuu kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambae nae anajitetea kuwa ilikua maagizo ya Ikulu.

Waziri mkuu nae anagoma kujiuzulu ingawa kosa ni kubwa kuliko la richmond kwasababu watendaji wa chini yake wanamzidi nguvu kutokana na familia ya rais kiasi cha kumfanya abaki kama boya.
 
Wizara ya madini na nishati ndiko ambako biashara za Riz1 ziliko. Ana vitalu kadhaa vya utafiti wa dhahabu Musoma, maeneo ya Mrangi. Lakini pia Riz1 anashughulika na biashara ya mafuta. Sielewi ukaribu wa Kikwete/Riz1 na Muhongo lakini Riz1 yupo karibu sana na Masele. Na wengi wanasema Masele pamoja na kushindwa kwenye uchaguzi, Kikwete alinishinikiza atangazwe kuwa ameshinda, akatangazwa kuwa alishinda kwa kura 1.

Baadaye alimteua kuwa naibu waziri wa madini ili kulinda maslahi ya Riz1.
 
Yaani unasema badala ya kuanza kumchoma moto Maswi tuanze na familia ya JK?? Tulipofikia sasa usanii wa hii familia inabidi tuukomeshe kama nchi za wenzetu.
 
kama huyu alberto marwa anavyojulikana kwa kumanuvas deals hela hiyo lazimaa kaichotaaaaaa
 
Wizara ya madini na nishati ndiko ambako biashara za Riz1 ziliko. Ana vitalu kadhaa vya utafiti wa dhahabu Musoma, maeneo ya Mrangi. Lakini pia Riz1 anashughulika na biashara ya mafuta. Sielewi ukaribu wa Kikwete/Riz1 na Muhongo lakini Riz1 yupo karibu sana na Masele. Na wengi wanasema Masele pamoja na kushindwa kwenye uchaguzi, Kikwete alinishinikiza atangazwe kuwa ameshinda, akatangazwa kuwa alishinda kwa kura 1.

Baadaye alimteua kuwa naibu waziri wa madini ili kulinda maslahi ya Riz1.
Mungu akulinde sana mkuu .
 
hivi kuna familia ya rais ambayo imechafuka kwa wizi kama hii?kwa nini hawatosheki na hela ambayo washaliibia taifa!!!dah
 
Status
Not open for further replies.
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom