dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,495
- 3,458
Spika alisema bungeni kuwa siku zote mawaziri walipofanya makosa walijiuzulu na ikawa kazi nyepesi tofauti na hawa tunaotaka wawajibike leo. Hawa wamegoma. Je, watanzania wanajua kwanini hawa wamegoma?
1.Maswi ambae ni Katibu mkuu ni kachero anapiga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa J.Kikwete Albert Marwa alomuoa mtoto wa Kikwete. Ni kupitia dili za Albert Marwa, Maswi amekuwa karibu na Ridhwani Kikwete. Na ni mtandao huo wa familia unaomiliki asilimia50% za kampuni ya PAP kwa kushirikiana na Singasinga.
Maswi ni mtu muhimu sana kwa familia ya rais na ndio sababu ndani ya Bunge na vikao vya wabunge wa CCM mtoto wa rais Ridhwan alidiriki kusema haamini kama kuchukua hatua ni kumsaidia rais bali kuwalinda wahusika ndio kukisaidia chama na rais. Hayo aliyasema akipinga kauli ya makam wa CCM Mzee Philip Mangula ambae yeye pamoja na Kinana misimamo yao iko wazi kuwa wahusika wawajibike.
Mazingira haya ambayo dili limepigwa kwa maelekezo ya Ikulu na ushiriki wa familia ya rais ndio msingi wa ugumu wa jambo hili hata kuifanya nchi ivuje damu kwa mateso ya kibajeti kutokana na vikwazo vya wahisani.
Ni ugumu huu uliosababisha Jakaya Kikwete kutamani kuvunja kabisa uhusiano wake na Ulaya na Marekani kwani kuchukua hatua katika hili kwake ni sawa na akate tawi la mti alokalia.
Maswi amesikika mara kadhaa akiwambia wajumbe wa kamati ya Nishati kuwa hakuna wa kumtoa nafasi yake nchi hii labda bada ya Jakaya Kikwete. Na ridhwan anasema hakuna wa kumtoa Maswi labda asiwepo.
Ugumu wa kumtoa Maswi ndio unasababisha ugumu wa kumtoa Waziri kwani huwezi kumtoa waziri peke yake kwa makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanywa na Katibu Mkuu kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambae nae anajitetea kuwa ilikua maagizo ya Ikulu.
Waziri mkuu nae anagoma kujiuzulu ingawa kosa ni kubwa kuliko la richmond kwasababu watendaji wa chini yake wanamzidi nguvu kutokana na familia ya rais kiasi cha kumfanya abaki kama boya.
1.Maswi ambae ni Katibu mkuu ni kachero anapiga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa J.Kikwete Albert Marwa alomuoa mtoto wa Kikwete. Ni kupitia dili za Albert Marwa, Maswi amekuwa karibu na Ridhwani Kikwete. Na ni mtandao huo wa familia unaomiliki asilimia50% za kampuni ya PAP kwa kushirikiana na Singasinga.
Maswi ni mtu muhimu sana kwa familia ya rais na ndio sababu ndani ya Bunge na vikao vya wabunge wa CCM mtoto wa rais Ridhwan alidiriki kusema haamini kama kuchukua hatua ni kumsaidia rais bali kuwalinda wahusika ndio kukisaidia chama na rais. Hayo aliyasema akipinga kauli ya makam wa CCM Mzee Philip Mangula ambae yeye pamoja na Kinana misimamo yao iko wazi kuwa wahusika wawajibike.
Mazingira haya ambayo dili limepigwa kwa maelekezo ya Ikulu na ushiriki wa familia ya rais ndio msingi wa ugumu wa jambo hili hata kuifanya nchi ivuje damu kwa mateso ya kibajeti kutokana na vikwazo vya wahisani.
Ni ugumu huu uliosababisha Jakaya Kikwete kutamani kuvunja kabisa uhusiano wake na Ulaya na Marekani kwani kuchukua hatua katika hili kwake ni sawa na akate tawi la mti alokalia.
Maswi amesikika mara kadhaa akiwambia wajumbe wa kamati ya Nishati kuwa hakuna wa kumtoa nafasi yake nchi hii labda bada ya Jakaya Kikwete. Na ridhwan anasema hakuna wa kumtoa Maswi labda asiwepo.
Ugumu wa kumtoa Maswi ndio unasababisha ugumu wa kumtoa Waziri kwani huwezi kumtoa waziri peke yake kwa makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanywa na Katibu Mkuu kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambae nae anajitetea kuwa ilikua maagizo ya Ikulu.
Waziri mkuu nae anagoma kujiuzulu ingawa kosa ni kubwa kuliko la richmond kwasababu watendaji wa chini yake wanamzidi nguvu kutokana na familia ya rais kiasi cha kumfanya abaki kama boya.