Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,459
- 4,228
Mmhhh! Ninashindwa kuunganisha dots, kati ya jina na Bakwata!
Humfahamu Albert Marwa aliyemuoa binti wa mkuu wa kaya ambaye ni Daktari? Albert alibadili dini na sasa ni Muislam.
Kuna kituo kimoja cha redio alikuwa akikiendesha kwa kutumia frequency za Bakwata, ilikuwa ni radio ya dini kabisa.
Ila baadaye wakaibuka watu wakaitaka Bakwata kumnyang'anya frequency na kuwapa wao waendeshe wao na kugawana mapato yake.
Kwa wakati huo Albert hakuwa akitoa chochote kwa Bakwata kutokana na radio kuwa haijaanza kujiendesha kwa faida.
Albert aligoma, ila kuna mchezo mmoja wa kitaalamu akafanyiwa na Bakwata na mbia wake na kujikuta akibaki na studio yake tu, akitangaza lakini matangazo hayaruki hewani, badala yake yakawa yanaruka ya Bakwata na mbia wake.
Ova