Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,275
Eee bhana eeee ! Hii sasa ni hatari !
Faiza Licha ya kwamba member wengi wanakushambulia mimi nakuunga mkono kwa unavyojenga hoja mbadala sasa mimi naomba utoe ukweli wa hili ni upi??Uongo mtupu.
pinda kama waziri mkuu anafanya kazi ya kusaidia rais , lakini inaonekana kwenye sakata la escrow jk alikuwa anafanya kazi mwenyewe ndo maana watoto wake na ndugu zake wamepata mgaospika alisema bungeni kuwa siku zote mawaziri walipofanya makosa walijiuzulu na ikawa kazi nyepesi tofauti na hawa tunaotaka wawajibike leo. Hawa wamegoma. Je, watanzania wanajua kwanini hawa wamegoma?
1.maswi ambae ni katibu mkuu ni kachero anapiga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa j.kikwete albert marwa alomuoa mtoto wa kikwete. Ni kupitia dili za albert marwa, maswi amekuwa karibu na ridhwani kikwete. Na ni mtandao huo wa familia unaomiliki asilimia50% za kampuni ya pap kwa kushirikiana na singasinga.
Maswi ni mtu muhimu sana kwa familia ya rais na ndio sababu ndani ya bunge na vikao vya wabunge wa ccm mtoto wa rais ridhwan alidiriki kusema haamini kama kuchukua hatua ni kumsaidia rais bali kuwalinda wahusika ndio kukisaidia chama na rais. Hayo aliyasema akipinga kauli ya makam wa ccm mzee philip mangula ambae yeye pamoja na kinana misimamo yao iko wazi kuwa wahusika wawajibike.
mazingira haya ambayo dili limepigwa kwa maelekezo ya ikulu na ushiriki wa familia ya rais ndio msingi wa ugumu wa jambo hili hata kuifanya nchi ivuje damu kwa mateso ya kibajeti kutokana na vikwazo vya wahisani.
ni ugumu huu uliosababisha jakaya kikwete kutamani kuvunja kabisa uhusiano wake na ulaya na marekani kwani kuchukua hatua katika hili kwake ni sawa na akate tawi la mti alokalia.
maswi amesikika mara kadhaa akiwambia wajumbe wa kamati ya nishati kuwa hakuna wa kumtoa nafasi yake nchi hii labda bada ya jakaya kikwete. Na ridhwan anasema hakuna wa kumtoa maswi labda asiwepo.
ugumu wa kumtoa maswi ndio unasababisha ugumu wa kumtoa waziri kwani huwezi kumtoa waziri peke yake kwa makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanywa na katibu mkuu kwa kushirikiana na mwanasheria mkuu wa serikali ambae nae anajitetea kuwa ilikua maagizo ya ikulu.
waziri mkuu nae anagoma kujiuzulu ingawa kosa ni kubwa kuliko la richmond kwasababu watendaji wa chini yake wanamzidi nguvu kutokana na familia ya rais kiasi cha kumfanya abaki kama boya.
Faiza Licha ya kwamba member wengi wanakushambulia mimi nakuunga mkono kwa unavyojenga hoja mbadala sasa mimi naomba utoe ukweli wa hili ni upi??
Pale mwanzo ulisema hakuna atakayejiuzulu BUNGENI NI KWELI HAKUNA ATALIYEJIUZULU .WENGI WALIKUPINGA LAKINI IMETOKEA SASA JENGA USHAHIDI WA HOJA YA PILI ILI UONDOKANE NA USHABIKI NA KUPATA WAFUASI WENGI KULIKO ILIVYO SASA
Wizara ya madini na nishati ndiko ambako biashara za Riz1 ziliko. Ana vitalu kadhaa vya utafiti wa dhahabu Musoma, maeneo ya Mrangi. Lakini pia Riz1 anashughulika na biashara ya mafuta. Sielewi ukaribu wa Kikwete/Riz1 na Muhongo lakini Riz1 yupo karibu sana na Masele. Na wengi wanasema Masele pamoja na kushindwa kwenye uchaguzi, Kikwete alinishinikiza atangazwe kuwa ameshinda, akatangazwa kuwa alishinda kwa kura 1.
Baadaye alimteua kuwa naibu waziri wa madini ili kulinda maslahi ya Riz1.
Kwa mazingira haya, upo uwezekano mkubwa wa CCM kumfia JK mikononi mwake.Hadi naogopa kama mambo ndio hayo ni hatari sana
Wizara ya madini na nishati ndiko ambako biashara za Riz1 ziliko. Ana vitalu kadhaa vya utafiti wa dhahabu Musoma, maeneo ya Mrangi. Lakini pia Riz1 anashughulika na biashara ya mafuta. Sielewi ukaribu wa Kikwete/Riz1 na Muhongo lakini Riz1 yupo karibu sana na Masele. Na wengi wanasema Masele pamoja na kushindwa kwenye uchaguzi, Kikwete alinishinikiza atangazwe kuwa ameshinda, akatangazwa kuwa alishinda kwa kura 1.
Baadaye alimteua kuwa naibu waziri wa madini ili kulinda maslahi ya Riz1.
Wacha porojo, jisome post yako namba 26. Ukisikia unafik ndio huo.
Umeshafanya uchunguzi, umeshakuwa mwendesha mashtaka na umeshahukumu.
Nini zaidi? umeshajipiga kufuli za ubongo, hauwezi kufunguliwa na mwengine yeyote pamoja nami. Funguo unazo mwenyewe na hauna nia ya kujifunguwa.
Pole sana.
Spika alisema bungeni kuwa siku zote mawaziri walipofanya makosa walijiuzulu na ikawa kazi nyepesi tofauti na hawa tunaotaka wawajibike leo. Hawa wamegoma. Je, watanzania wanajua kwanini hawa wamegoma?
1.Maswi ambae ni Katibu mkuu ni kachero anapiga dili na familia ya rais kupitia mkwe wa J.Kikwete Albert Marwa alomuoa mtoto wa Kikwete. Ni kupitia dili za Albert Marwa, Maswi amekuwa karibu na Ridhwani Kikwete. Na ni mtandao huo wa familia unaomiliki asilimia50% za kampuni ya PAP kwa kushirikiana na Singasinga.
Maswi ni mtu muhimu sana kwa familia ya rais na ndio sababu ndani ya Bunge na vikao vya wabunge wa CCM mtoto wa rais Ridhwan alidiriki kusema haamini kama kuchukua hatua ni kumsaidia rais bali kuwalinda wahusika ndio kukisaidia chama na rais. Hayo aliyasema akipinga kauli ya makam wa CCM Mzee Philip Mangula ambae yeye pamoja na Kinana misimamo yao iko wazi kuwa wahusika wawajibike.
Mazingira haya ambayo dili limepigwa kwa maelekezo ya Ikulu na ushiriki wa familia ya rais ndio msingi wa ugumu wa jambo hili hata kuifanya nchi ivuje damu kwa mateso ya kibajeti kutokana na vikwazo vya wahisani.
Ni ugumu huu uliosababisha Jakaya Kikwete kutamani kuvunja kabisa uhusiano wake na Ulaya na Marekani kwani kuchukua hatua katika hili kwake ni sawa na akate tawi la mti alokalia.
Maswi amesikika mara kadhaa akiwambia wajumbe wa kamati ya Nishati kuwa hakuna wa kumtoa nafasi yake nchi hii labda bada ya Jakaya Kikwete. Na ridhwan anasema hakuna wa kumtoa Maswi labda asiwepo.
Ugumu wa kumtoa Maswi ndio unasababisha ugumu wa kumtoa Waziri kwani huwezi kumtoa waziri peke yake kwa makosa ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanywa na Katibu Mkuu kwa kushirikiana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambae nae anajitetea kuwa ilikua maagizo ya Ikulu.
Waziri mkuu nae anagoma kujiuzulu ingawa kosa ni kubwa kuliko la richmond kwasababu watendaji wa chini yake wanamzidi nguvu kutokana na familia ya rais kiasi cha kumfanya abaki kama boya.
Post ya 26 Kama unapinga lete Ushahidi Bunge halijapinga wewe unapinga???
Pinda kama waziri mkuu anafanya kazi ya kusaidia rais , lakini inaonekana kwenye sakata la escrow jk alikuwa anafanya kazi mwenyewe ndo maana watoto wake na ndugu zake wamepata mgao
angalia akina shabani rajabu gurumo.akina khasimu mtawa, na wengine ambao wamesababisha benk statement ifichwe!!!
Mimi sipendi kweli ccm lakini pia nisingependa kuona pinda anajiuzuru kwa wizi uliofanywa na ndugu wa damu na kikwete.
Je kwenye hiyo pap kkuna jina la pinda au ndugu zake???
Ni kwa vip jk aseme hajui kinachoendelea bungeni wakati tundu lissu amemtaja shabani gurumo kkuwa amechukua shs800,000,000, na maneno haya lissu amesema bungeni wala hakuna mwongozo wowote wa serikali na ikulu kupinga hilo??
Je ni haki pinda kujiuzuru kwa wizi wa shabani rajabu gurumo binamu yake jk???
Kama faiz anapinga hili naomba aje apinge hapa
Niliposema Simba Trust inamilikiwa na familia ya Kikwete wengi mlipinga,twendi mdomdogo kila kitu kitakaa wazi tu,
Ngoja tupekue ya Kongo na South Afrika kisha turudi hapa,