Wakuu,Mimi kuna kitu kinanichanganya kwenye hizi nchi zetu za kiafrika, kwa nini tume za uchaguzi uwa lazima waweke neno '' tume huru ya uchaguzi ''. Nimeona Kongo DRC, Tanzania n.k. Hivi hizi tume zipo huru kweli au ni majina ili zionekane huru angali watendaji wanateuliwa na rais. Nawasilisha.