Hunk Man
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 200
- 343
Yaani ukisoma hicho kitabu itakuwa kazi nzuri bila ya kufundishwa na mtuB4 ndio nini
Yaani ukisoma hicho kitabu itakuwa kazi nzuri bila ya kufundishwa na mtuB4 ndio nini
"itakuwa kazi nzuri".Yaani ukisoma hicho kitabu itakuwa kazi nzuri bila ya kufundishwa na mtu
Nlkosea nltaka kumansha kwamba ili uweze kusoma vzur hcho kitabu na uelewe inabd ufundshwe na mtu alyesoma na kuelewa B4"itakuwa kazi nzuri".
Hapo ulimaanisha nini mkuu?
Kama alisoma Uchumi form five na six hiyo mambo ipo pia. Hivyo anaweza akazama pia kwenye nondo za NBAA kwa faida zaidi, maana hizi Paper kupiga namba ya kiatu kwa Diploma/Degree holder imekuwa ni kawaida sana.Public Finance and taxation.
Somo hilo lipo katika masomo ya CPA.
Sawa mkuu na uko sahihi kabisa.Nlkosea nltaka kumansha kwamba ili uweze kusoma vzur hcho kitabu na uelewe inabd ufundshwe na mtu alyesoma na kuelewa B4
TAAHabari za muda huu.
Naomba kufahamu kwenye hizi nafasi za kazi TRA kwenye kipengele cha Tax management assistant II ni maswali gani wanatoa na yanatoka kwenye kitabu kipi?
Note:- diploma holder