silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,535
wananchi wenzangu tusikubali kufanywa wajinga na hawa wanasiasa njaa. kuna maswali mengi ya kujiuliza
1. kama suala ni upepo na hali ya bahari kuwa mbaya, kwa nini iathirike meli ya skagit peke yake? ikumbukwe kua wakati ajali inatokezea, kulikua na meli nyingi katika bahari kama flying horse, kilimanjaro 3, majahazi ya tanga achilia mbali vidau vya uvuvi. sasa hivi vyote kwa nini havikuathirika
2.Pili jee mamlaka za hali ya hewa na bandari zilikua wapi hazikuona dalili ya upepo. Mbona watu wa hali ya hewa wanasema walishatoa taarifa ya upepo lakini ikawa delayed kupokewa na watu wengine?
3.Hizi meli tokea ziko marekani zilikua zinalalamikiwa kutokana na kutokuwa salama hususan umbo lake ambalo liliongezwa. pia wananchi wa huko walilalamika kuwa hizi meli (skagit na dada yake Kalama) zinayumba mno baharini, (angalia mtandao), hata hapa JF zilishajidiliwa. Jee wataaalamu wetu hawakulijua hilo?
4.Meli inasemekana ilizama saa saba na nusu, lakini chombo cha mwanzo kufika kilikua ni kilimanjaro nacho kiliwasili saa tisa na nusu, jee muda wote huu maofisa wa serikali walikuwa wapi?
5.Kwa nini nahodha na baharia wake walishindwa kuact accordingly? inasemekana boti ilikuwa katika mwendo wa kasi mno, huku inayumba na huku hali ya bahari ikiwa chafu. Lakini nahodha akatoa tangazo kwamba abiria wasiwe na wasiwasi. Ghafla meli ikazama. Jee huyu nahodha na hawa mabaharia walikua na sifa? na jee nani aliwaruhusu kuwa katika chombo hicho.
1. kama suala ni upepo na hali ya bahari kuwa mbaya, kwa nini iathirike meli ya skagit peke yake? ikumbukwe kua wakati ajali inatokezea, kulikua na meli nyingi katika bahari kama flying horse, kilimanjaro 3, majahazi ya tanga achilia mbali vidau vya uvuvi. sasa hivi vyote kwa nini havikuathirika
2.Pili jee mamlaka za hali ya hewa na bandari zilikua wapi hazikuona dalili ya upepo. Mbona watu wa hali ya hewa wanasema walishatoa taarifa ya upepo lakini ikawa delayed kupokewa na watu wengine?
3.Hizi meli tokea ziko marekani zilikua zinalalamikiwa kutokana na kutokuwa salama hususan umbo lake ambalo liliongezwa. pia wananchi wa huko walilalamika kuwa hizi meli (skagit na dada yake Kalama) zinayumba mno baharini, (angalia mtandao), hata hapa JF zilishajidiliwa. Jee wataaalamu wetu hawakulijua hilo?
4.Meli inasemekana ilizama saa saba na nusu, lakini chombo cha mwanzo kufika kilikua ni kilimanjaro nacho kiliwasili saa tisa na nusu, jee muda wote huu maofisa wa serikali walikuwa wapi?
5.Kwa nini nahodha na baharia wake walishindwa kuact accordingly? inasemekana boti ilikuwa katika mwendo wa kasi mno, huku inayumba na huku hali ya bahari ikiwa chafu. Lakini nahodha akatoa tangazo kwamba abiria wasiwe na wasiwasi. Ghafla meli ikazama. Jee huyu nahodha na hawa mabaharia walikua na sifa? na jee nani aliwaruhusu kuwa katika chombo hicho.