Maswali yanayonipa shida kuyajibu namna huyu Dr. Vicensia Shule wa tuhuma za ngono UDSM alivyowasilisha ujumbe wake

Makanyaga

JF-Expert Member
Sep 28, 2007
10,326
6,849
Mimi binafsi sipingi tuhuma zilizotolewa na huyu mama ila nina maswali kadhaa yananipa shida kutokana na namna alivyowakilisha wazo lake kwenye hadhira ya UDSM na watanzania wote kwa ujumla

MOJA: Huyu mama anadai kuwa tatizo hili lipo siku nyingi na alishawahi kuwasilisha malalamiko yake kwenye ngazi za zinazohusika na kwamba wasaidizi wa VC wanayajua malalmiko haya. Hata hivyo huyu VC wa sasa ni mpya hata mwaka mmoja hajamliza madarakani. Kama ni hivyo alijua kuwa VC wa sasa alikuwa hana taarifa, kwa nini asingechukua hatua ya kwenda kumuona ofisini na kumuuliiza kabla ya kulipua bomu la namna hii tena mbele ya Rais?

MBILI: Kama wasaidizi wa VC na ambaye ni mpya walikuwa wanalijua hili, ina maana kuwa VC aliyepita yeye possibly alikuwa analijua fika ila kwa bahati mbaya, labda muda wake wa kuondoka ofisini ulifika kabla hajaweza kulichukulia hatua. Still kwa nini VC wa zamani asingemu-alert VC wa sasa juu ya swala swala hili ambalo ni sensitive kipindi wakati wanakabidhiana ofisi? Kwa sababu kama wasaidizi wa VC yule wa zamani aliowaacha walikuwa wanalijua, obvoius VC aliyepita naye pia alikuwa analijua!

TATU:Juzi j4 Rais ametembelea UDSM kwa mara ya 5, mara mbili ndani ya kipindi hiki kifupi cha mwezi huu wa Novemba, na chini ya uongozi wa VC huyu mpya. Rais pia ametembelea UDSM mara 3 katika ugeni ambao ulikuwa na intervals ndefu sana kutoka ugeni mmoja hadi mwingine, wakati VC aliyepita akiwa bado madarakani. Je, kwa nini huyu mama katika safari zote hizo hii issue alikuwa amekaa nayo tu wakati nimsensitive hivyo? Kwa ni hakuamua kuilipua kipindi hicho na badala yake akafanya hivyo juzi? Inaonyesha KAMA alisubiria kwanza mpaka yule wa zamani atoke, halafu aingie mwingine ambaye wala hana hata taarifa ya tuhuma hizi, halafu aje afanye timing siku Rais akija kwa sababu tayarai ilikuwa inajulikana kuwa LIBRARY MPYA ilikuwa scheduled tangu mwanzo kuwa itakuja kufunguliwa na Rais

NNE: Kama wasaidizi wa VC walikuwa na tarrifa hizi na huyu mama alikuwa anajua hilo, na ukizingatia kuwa uongozi tayari ulikuwa umebadilika na kuwa na VC mpya, huyu mama alishindwa nini kuwakumbusha wasaidizi wa VC mpya wamweleze kuhusu issue hii hadi akasubiria ujio wa Rais, assuming alikuwa hana nafasi ya kwenda kumuona personally?

Hii issue ina KAMA siasa ndani yake na inataka kufanana kabisa na ile ya kipindi kile wakati DVC-Academics aliyepita, alizushiwa kuwa na wanafunzi hewa.
Huyu mama ningekuwa na mamlaka naye vizuri mtu kama mimi, ningemuita akanipa ufafanuzi kwa kina juu ya queries hizi nilizozitaja hapa. Hoja yake ni ya msingi, lakini why all these queries?

By the way, sipingani na hoja yake, napingana na her manner of presentation ya hoja yenyewe. Hayuko sahihi sana na inaonyesha kama ana kitu cha ziada kifuani ameficha ambacho ni tofauti na hoja aliyotoa, na ndicho kilimsukuma kutoa hoja hii. Kwa hiyo hoja hii japo tunaiona sensitive, mama huyy anaweza akawa ameitoa BY THE WAY na wala hina mashiko kwake. Ana kitu chake kingine cha ziada anachotamani kukifanyia kazi.

Naomba kuwasilisha ila naomba awe mwangalifu utoaji wa hoja kwa staili hii, kuna siku utakuja u-backfire kwake. As a University Lecturer, she is supposed to be smart in all her presentations
 
We James utakuwa ni lecture hapo UD mbona umemshupalia sana huyu mama?
Ni muumini wa dini napenda haki! Hii ndiyo sababu pekee inayonifanya niendelee kutoa hoja. Mitume na Manabii pia walikuwa wanapenda haki na walitufundisha hivyo, wakiwemo Mtume Mohammed SAW na Yesu Krito wa Nazareti
 
Ni muumini wa dini napenda haki! Hii ndiyo sababu pekee inayonifanya niendelee kutoa hoja. Mitume na Manabii pia walikuwa wanapenda haki na walitufundisha hivyo, wakiwemo Mtume Mohammed SAW na Yesu Krito wa Nazareti

Mtume Mohammed SAW ndio nani huyo?
 
ndio hivyo hivyo mnasema hampingi tuhuma ,
huku ukipinga njia iliyotumika
 
Hoja zako zote Za Hovyo Na Kama Wewe ni Lecturer hapo Udsm Basi Itakuwa umeupata huo uhadhiri Kwa njia hizo hizo

Tuhuma Za Ngono Udsm ni tuhuma kongwe Sana tangu Miaka ya Mwisho ya 1970s wakati Sie tumepita hapo tumezikuta Na tumeziacha

Na Kwa kukupa tu taarifa hizo tuhuma zipo kwenye Public University zote Za EA Na kuna Siku nilikuta mjadala huo kwenye idhaa ya Kiswahili ya BBC

Kama alishawahi kuwasilisha Madai yake Kwa njia ya Maandishi sio Jukumu lake kujua Kama VC Mpya alipewa hilo kwenye handover note Na Mukandala Au hakupewa, Yeye Kama aliandika aliandika Kwa VC sio Mukandala Na Kama kustaafu kastaafu Mukandala sio ofisi ya VC

Tuhuma hizi Hata aliekuwa DC Korogwe Ndugu Mrisho Gambo aliwahi kuzitoa Kwa Mwanasheria wa Halmshauri hiyo Kuwa ana shahada ya Chupi Na MwanaSheria huyo alisoma Udsm

Unapaswa Kuwa Mjinga Sana kujivika joho la utetezi kutetea kwenye Mjumuisho wa watu zaid ya elf 10 Kuwa Hakuna tuhuma Za rushwa ya Ngono

Kama Rushwa hiyo ipo kwny Nyumba Za Ibada iweje iwe ajabu kuwepo Udsm?

Mhadhiri katoa hoja yake Nzito Cha msingi Ni Kufuatilia hoja hiyo Na kuitolea ufafanuzi sio kumsakama

Likiachwa liendelee kuna Siku tutapata Wahadhiri Mabasha Na kujikuta Taifa Lina Ma Dkt Na Ma Prof Mashoga Kwa Kuwa ukitaka u prof Au Phd Sharti uliwe kisamvu
 
Hoja zako zote Za Hovyo Na Kama Wewe ni Lecturer hapo Udsm Basi Itakuwa umeupata huo uhadhiri Kwa njia hizo hizo

Tuhuma Za Ngono Udsm ni tuhuma kongwe Sana tangu Miaka ya Mwisho ya 1970s wakati Sie tumepita hapo tumezikuta Na tumeziacha

Na Kwa kukupa tu taarifa hizo tuhuma zipo kwenye Public University zote Za EA Na kuanza Siku nilimkuta mjadala huo kwenye idhaa ya Kiswahili ya BBC

Kama alishawahi kuwasilisha Madai yake Kwa njia ya Maandishi sio Jukumu lake kujua Kama VC Mpya alipewa hilo kwenye handover note Na Mukandala Au hakupewa, Yeye Kama aliandika aliandika Kwa VC sio Mukandala Na Kama kustaafu kastaafu Mukandala sio ofisi ya VC

Tuhuma hizi Hata aliekuwa DC Korogwe Ndugu Mrisho Gambo aliwahi kuzitoa Kwa Mwanasheria wa Halmshauri hiyo Kuwa ana shahada ya Chupi Na MwanaSheria huyo alisoma Udsm

Unapaswa Kuwa Mjinga Sana kujivika joho la utetezi kutetea kwenye Mjumuisho wa watu zaid ya elf 10 Kuwa Hakuna tuhuma Za rushwa ya Ngono

Kama Rushwa hiyo ipo kwny Nyumba Za Ibada iweje iwe ajabu kuwepo Udsm?

Mhadhiri katoa hoja yake Nzito Cha msingi Ni Kufuatilia hoja hiyo Na kuitolea ufafanuzi sio kumsakama

Likiachwa liendelee kuna Siku tutapata Wahadhiri Mabasha Na kujikuta Taifa Lina Ma Dkt Na Ma Prof Mashoga Kwa Kuwa ukitaka u prof Au Phd Sharti uliwe kisamvu

Soma nilichoandika. Hujasoma nilichoandika
 
Mimi binafsi sipingi tuhuma zilizotolewa na huyu mama ila nina maswali kadhaa yananipa shida kutokana na namna alivyowakilisha wazo lake kwenye hadhira ya UDSM na watanzania wote kwa ujumla

MOJA: Huyu mama anadai kuwa tatizo hili lipo siku nyingi na alishawahi kuwasilisha malalamiko yake kwenye ngazi za zinazohusika na kwamba wasaidizi wa VC wanayajua malalmiko haya. Hata hivyo huyu VC wa sasa ni mpya hata mwaka mmoja hajamliza madarakani. Kama ni hivyo alijua kuwa VC wa sasa alikuwa hana taarifa, kwa nini asingechukua hatua ya kwenda kumuona ofisini na kumuuliiza kabla ya kulipua bomu la namna hii tena mbele ya Rais?

MBILI: Kama wasaidizi wa VC na ambaye ni mpya walikuwa wanalijua hili, ina maana kuwa VC aliyepita yeye possibly alikuwa analijua fika ila kwa bahati mbaya, labda muda wake wa kuondoka ofisini ulifika kabla hajaweza kulichukulia hatua. Still kwa nini VC wa zamani asingemu-alert VC wa sasa juu ya swala swala hili ambalo ni sensitive kipindi wakati wanakabidhiana ofisi? Kwa sababu kama wasaidizi wa VC yule wa zamani aliowaacha walikuwa wanalijua, obvoius VC aliyepita naye pia alikuwa analijua!

TATU:Juzi j4 Rais ametembelea UDSM kwa mara ya 5, mara mbili ndani ya kipindi hiki kifupi cha mwezi huu wa Novemba, na chini ya uongozi wa VC huyu mpya. Rais pia ametembelea UDSM mara 3 katika ugeni ambao ulikuwa na intervals ndefu sana kutoka ugeni mmoja hadi mwingine, wakati VC aliyepita akiwa bado madarakani. Je, kwa nini huyu mama katika safari zote hizo hii issue alikuwa amekaa nayo tu wakati nimsensitive hivyo? Kwa ni hakuamua kuilipua kipindi hicho na badala yake akafanya hivyo juzi? Inaonyesha KAMA alisubiria kwanza mpaka yule wa zamani atoke, halafu aingie mwingine ambaye wala hana hata taarifa ya tuhuma hizi, halafu aje afanye timing siku Rais akija kwa sababu tayarai ilikuwa inajulikana kuwa LIBRARY MPYA ilikuwa scheduled tangu mwanzo kuwa itakuja kufunguliwa na Rais

NNE: Kama wasaidizi wa VC walikuwa na tarrifa hizi na huyu mama alikuwa anajua hilo, na ukizingatia kuwa uongozi tayari ulikuwa umebadilika na kuwa na VC mpya, huyu mama alishindwa nini kuwakumbusha wasaidizi wa VC mpya wamweleze kuhusu issue hii hadi akasubiria ujio wa Rais, assuming alikuwa hana nafasi ya kwenda kumuona personally?

Hii issue ina KAMA siasa ndani yake na inataka kufanana kabisa na ile ya kipindi kile wakati DVC-Academics aliyepita, alizushiwa kuwa na wanafunzi hewa.
Huyu mama ningekuwa na mamlaka naye vizuri mtu kama mimi, ningemuita akanipa ufafanuzi kwa kina juu ya queries hizi nilizozitaja hapa. Hoja yake ni ya msingi, lakini why all these queries?

By the way, sipingani na hoja yake, napingana na her manner of presentation ya hoja yenyewe. Hayuko sahihi sana na inaonyesha kama ana kitu cha ziada kifuani ameficha ambacho ni tofauti na hoja aliyotoa, na ndicho kilimsukuma kutoa hoja hii. Kwa hiyo hoja hii japo tunaiona sensitive, mama huyy anaweza akawa ameitoa BY THE WAY na wala hina mashiko kwake. Ana kitu chake kingine cha ziada anachotamani kukifanyia kazi.

Naomba kuwasilisha ila naomba awe mwangalifu utoaji wa hoja kwa staili hii, kuna siku utakuja u-backfire kwake. As a University Lecturer, she is supposed to be smart in all her presentations
Mkuu niliwaza km ww bhasi tu nkakausha, hii ni well planned attack ukiiangalia,wala si bahati mbaya, tatizo watu wanapenda ushabiki na wengi sana hawafurahii daily gvt inatembelea pale tu
 
Mimi binafsi sipingi tuhuma zilizotolewa na huyu mama ila nina maswali kadhaa yananipa shida kutokana na namna alivyowakilisha wazo lake kwenye hadhira ya UDSM na watanzania wote kwa ujumla

MOJA: Huyu mama anadai kuwa tatizo hili lipo siku nyingi na alishawahi kuwasilisha malalamiko yake kwenye ngazi za zinazohusika na kwamba wasaidizi wa VC wanayajua malalmiko haya. Hata hivyo huyu VC wa sasa ni mpya hata mwaka mmoja hajamliza madarakani. Kama ni hivyo alijua kuwa VC wa sasa alikuwa hana taarifa, kwa nini asingechukua hatua ya kwenda kumuona ofisini na kumuuliiza kabla ya kulipua bomu la namna hii tena mbele ya Rais?

MBILI: Kama wasaidizi wa VC na ambaye ni mpya walikuwa wanalijua hili, ina maana kuwa VC aliyepita yeye possibly alikuwa analijua fika ila kwa bahati mbaya, labda muda wake wa kuondoka ofisini ulifika kabla hajaweza kulichukulia hatua. Still kwa nini VC wa zamani asingemu-alert VC wa sasa juu ya swala swala hili ambalo ni sensitive kipindi wakati wanakabidhiana ofisi? Kwa sababu kama wasaidizi wa VC yule wa zamani aliowaacha walikuwa wanalijua, obvoius VC aliyepita naye pia alikuwa analijua!

TATU:Juzi j4 Rais ametembelea UDSM kwa mara ya 5, mara mbili ndani ya kipindi hiki kifupi cha mwezi huu wa Novemba, na chini ya uongozi wa VC huyu mpya. Rais pia ametembelea UDSM mara 3 katika ugeni ambao ulikuwa na intervals ndefu sana kutoka ugeni mmoja hadi mwingine, wakati VC aliyepita akiwa bado madarakani. Je, kwa nini huyu mama katika safari zote hizo hii issue alikuwa amekaa nayo tu wakati nimsensitive hivyo? Kwa ni hakuamua kuilipua kipindi hicho na badala yake akafanya hivyo juzi? Inaonyesha KAMA alisubiria kwanza mpaka yule wa zamani atoke, halafu aingie mwingine ambaye wala hana hata taarifa ya tuhuma hizi, halafu aje afanye timing siku Rais akija kwa sababu tayarai ilikuwa inajulikana kuwa LIBRARY MPYA ilikuwa scheduled tangu mwanzo kuwa itakuja kufunguliwa na Rais

NNE: Kama wasaidizi wa VC walikuwa na tarrifa hizi na huyu mama alikuwa anajua hilo, na ukizingatia kuwa uongozi tayari ulikuwa umebadilika na kuwa na VC mpya, huyu mama alishindwa nini kuwakumbusha wasaidizi wa VC mpya wamweleze kuhusu issue hii hadi akasubiria ujio wa Rais, assuming alikuwa hana nafasi ya kwenda kumuona personally?

Hii issue ina KAMA siasa ndani yake na inataka kufanana kabisa na ile ya kipindi kile wakati DVC-Academics aliyepita, alizushiwa kuwa na wanafunzi hewa.
Huyu mama ningekuwa na mamlaka naye vizuri mtu kama mimi, ningemuita akanipa ufafanuzi kwa kina juu ya queries hizi nilizozitaja hapa. Hoja yake ni ya msingi, lakini why all these queries?

By the way, sipingani na hoja yake, napingana na her manner of presentation ya hoja yenyewe. Hayuko sahihi sana na inaonyesha kama ana kitu cha ziada kifuani ameficha ambacho ni tofauti na hoja aliyotoa, na ndicho kilimsukuma kutoa hoja hii. Kwa hiyo hoja hii japo tunaiona sensitive, mama huyy anaweza akawa ameitoa BY THE WAY na wala hina mashiko kwake. Ana kitu chake kingine cha ziada anachotamani kukifanyia kazi.

Naomba kuwasilisha ila naomba awe mwangalifu utoaji wa hoja kwa staili hii, kuna siku utakuja u-backfire kwake. As a University Lecturer, she is supposed to be smart in all her presentations

Mtajijua...Dada kaachia kitu mnaanza kulia faulu!

Jibuni hii tuhuma mrekebishe haya matatizo,endeleeni kujenga theory za kipumbavu tu!

Na kwa taarifa dada anakwambia ana lundo la victims,kinachofuata ni maandamano makubwa!

Gusa uone kama Mmarekani hajakata hayo matako yenu!

Mtaelewa kwanini sokwe ana pumbu za blue!
 
Huyu atakuwa Lecture wa UDSM, pumba tupu alizoandika hapa. Badala ya kumpongeza Huyu Mama kwa ujasiri wake kuzungumza hiyo issue kwa uwazi unaanza kumponda. Hivi unajuwa waathirika wakubwa ni wanafunzi wa kike ndio wanaotoa Papachu.
 
Huyu atakua ni mnufaika mmojawapo wa papuchi za wanafunzi ndio maana anapigania kutetea ujinga, mzee baba kua mpole tunataka tuzalishe wanafunzi watakaoweza kuajiriwa nje yaani kimataifa, sio zikitoka ajira nje ya nchi wanaenda kushindwa na wakenya kwenye interview kisa tu waligawa papuchi kwa wahadhiri hawakutumia uelewa wao, tunataka tuzalishe magraduet wengi wazuri watakaoajiriwa nje kwa wingi ili watuletee fedha za kigeni kwa wingi.
 
Nampongeza mama kwa hoja na ujasiri pia, ila nina shida kubwa na namna alivyowasilisha ujumbe wake kwa hadhira. By the way, I'm not a lecturer ila ni mkereketwa tu basi. Lakini tahadhari ninayotaka tu kutoa hapa ni kwamba kwa maisha tuliyonayo sasa hivi, ukisikia kishindo hapo ulipo, usitazame hapo ulipo, angalia kule mbali hata zaidi ya kilometa moja kutoka pale ulipokisikia kishindo!
 
Back
Top Bottom