Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,326
- 6,849
Mimi binafsi sipingi tuhuma zilizotolewa na huyu mama ila nina maswali kadhaa yananipa shida kutokana na namna alivyowakilisha wazo lake kwenye hadhira ya UDSM na watanzania wote kwa ujumla
MOJA: Huyu mama anadai kuwa tatizo hili lipo siku nyingi na alishawahi kuwasilisha malalamiko yake kwenye ngazi za zinazohusika na kwamba wasaidizi wa VC wanayajua malalmiko haya. Hata hivyo huyu VC wa sasa ni mpya hata mwaka mmoja hajamliza madarakani. Kama ni hivyo alijua kuwa VC wa sasa alikuwa hana taarifa, kwa nini asingechukua hatua ya kwenda kumuona ofisini na kumuuliiza kabla ya kulipua bomu la namna hii tena mbele ya Rais?
MBILI: Kama wasaidizi wa VC na ambaye ni mpya walikuwa wanalijua hili, ina maana kuwa VC aliyepita yeye possibly alikuwa analijua fika ila kwa bahati mbaya, labda muda wake wa kuondoka ofisini ulifika kabla hajaweza kulichukulia hatua. Still kwa nini VC wa zamani asingemu-alert VC wa sasa juu ya swala swala hili ambalo ni sensitive kipindi wakati wanakabidhiana ofisi? Kwa sababu kama wasaidizi wa VC yule wa zamani aliowaacha walikuwa wanalijua, obvoius VC aliyepita naye pia alikuwa analijua!
TATU:Juzi j4 Rais ametembelea UDSM kwa mara ya 5, mara mbili ndani ya kipindi hiki kifupi cha mwezi huu wa Novemba, na chini ya uongozi wa VC huyu mpya. Rais pia ametembelea UDSM mara 3 katika ugeni ambao ulikuwa na intervals ndefu sana kutoka ugeni mmoja hadi mwingine, wakati VC aliyepita akiwa bado madarakani. Je, kwa nini huyu mama katika safari zote hizo hii issue alikuwa amekaa nayo tu wakati nimsensitive hivyo? Kwa ni hakuamua kuilipua kipindi hicho na badala yake akafanya hivyo juzi? Inaonyesha KAMA alisubiria kwanza mpaka yule wa zamani atoke, halafu aingie mwingine ambaye wala hana hata taarifa ya tuhuma hizi, halafu aje afanye timing siku Rais akija kwa sababu tayarai ilikuwa inajulikana kuwa LIBRARY MPYA ilikuwa scheduled tangu mwanzo kuwa itakuja kufunguliwa na Rais
NNE: Kama wasaidizi wa VC walikuwa na tarrifa hizi na huyu mama alikuwa anajua hilo, na ukizingatia kuwa uongozi tayari ulikuwa umebadilika na kuwa na VC mpya, huyu mama alishindwa nini kuwakumbusha wasaidizi wa VC mpya wamweleze kuhusu issue hii hadi akasubiria ujio wa Rais, assuming alikuwa hana nafasi ya kwenda kumuona personally?
Hii issue ina KAMA siasa ndani yake na inataka kufanana kabisa na ile ya kipindi kile wakati DVC-Academics aliyepita, alizushiwa kuwa na wanafunzi hewa.
Huyu mama ningekuwa na mamlaka naye vizuri mtu kama mimi, ningemuita akanipa ufafanuzi kwa kina juu ya queries hizi nilizozitaja hapa. Hoja yake ni ya msingi, lakini why all these queries?
By the way, sipingani na hoja yake, napingana na her manner of presentation ya hoja yenyewe. Hayuko sahihi sana na inaonyesha kama ana kitu cha ziada kifuani ameficha ambacho ni tofauti na hoja aliyotoa, na ndicho kilimsukuma kutoa hoja hii. Kwa hiyo hoja hii japo tunaiona sensitive, mama huyy anaweza akawa ameitoa BY THE WAY na wala hina mashiko kwake. Ana kitu chake kingine cha ziada anachotamani kukifanyia kazi.
Naomba kuwasilisha ila naomba awe mwangalifu utoaji wa hoja kwa staili hii, kuna siku utakuja u-backfire kwake. As a University Lecturer, she is supposed to be smart in all her presentations
MOJA: Huyu mama anadai kuwa tatizo hili lipo siku nyingi na alishawahi kuwasilisha malalamiko yake kwenye ngazi za zinazohusika na kwamba wasaidizi wa VC wanayajua malalmiko haya. Hata hivyo huyu VC wa sasa ni mpya hata mwaka mmoja hajamliza madarakani. Kama ni hivyo alijua kuwa VC wa sasa alikuwa hana taarifa, kwa nini asingechukua hatua ya kwenda kumuona ofisini na kumuuliiza kabla ya kulipua bomu la namna hii tena mbele ya Rais?
MBILI: Kama wasaidizi wa VC na ambaye ni mpya walikuwa wanalijua hili, ina maana kuwa VC aliyepita yeye possibly alikuwa analijua fika ila kwa bahati mbaya, labda muda wake wa kuondoka ofisini ulifika kabla hajaweza kulichukulia hatua. Still kwa nini VC wa zamani asingemu-alert VC wa sasa juu ya swala swala hili ambalo ni sensitive kipindi wakati wanakabidhiana ofisi? Kwa sababu kama wasaidizi wa VC yule wa zamani aliowaacha walikuwa wanalijua, obvoius VC aliyepita naye pia alikuwa analijua!
TATU:Juzi j4 Rais ametembelea UDSM kwa mara ya 5, mara mbili ndani ya kipindi hiki kifupi cha mwezi huu wa Novemba, na chini ya uongozi wa VC huyu mpya. Rais pia ametembelea UDSM mara 3 katika ugeni ambao ulikuwa na intervals ndefu sana kutoka ugeni mmoja hadi mwingine, wakati VC aliyepita akiwa bado madarakani. Je, kwa nini huyu mama katika safari zote hizo hii issue alikuwa amekaa nayo tu wakati nimsensitive hivyo? Kwa ni hakuamua kuilipua kipindi hicho na badala yake akafanya hivyo juzi? Inaonyesha KAMA alisubiria kwanza mpaka yule wa zamani atoke, halafu aingie mwingine ambaye wala hana hata taarifa ya tuhuma hizi, halafu aje afanye timing siku Rais akija kwa sababu tayarai ilikuwa inajulikana kuwa LIBRARY MPYA ilikuwa scheduled tangu mwanzo kuwa itakuja kufunguliwa na Rais
NNE: Kama wasaidizi wa VC walikuwa na tarrifa hizi na huyu mama alikuwa anajua hilo, na ukizingatia kuwa uongozi tayari ulikuwa umebadilika na kuwa na VC mpya, huyu mama alishindwa nini kuwakumbusha wasaidizi wa VC mpya wamweleze kuhusu issue hii hadi akasubiria ujio wa Rais, assuming alikuwa hana nafasi ya kwenda kumuona personally?
Hii issue ina KAMA siasa ndani yake na inataka kufanana kabisa na ile ya kipindi kile wakati DVC-Academics aliyepita, alizushiwa kuwa na wanafunzi hewa.
Huyu mama ningekuwa na mamlaka naye vizuri mtu kama mimi, ningemuita akanipa ufafanuzi kwa kina juu ya queries hizi nilizozitaja hapa. Hoja yake ni ya msingi, lakini why all these queries?
By the way, sipingani na hoja yake, napingana na her manner of presentation ya hoja yenyewe. Hayuko sahihi sana na inaonyesha kama ana kitu cha ziada kifuani ameficha ambacho ni tofauti na hoja aliyotoa, na ndicho kilimsukuma kutoa hoja hii. Kwa hiyo hoja hii japo tunaiona sensitive, mama huyy anaweza akawa ameitoa BY THE WAY na wala hina mashiko kwake. Ana kitu chake kingine cha ziada anachotamani kukifanyia kazi.
Naomba kuwasilisha ila naomba awe mwangalifu utoaji wa hoja kwa staili hii, kuna siku utakuja u-backfire kwake. As a University Lecturer, she is supposed to be smart in all her presentations