Pinda anajiaibisha kwa kujibu suala la mgogoro wa Arusha juu juu.
Suala la Arusha tutalitatua bila kauli ya pinda wala nani. Nguvu ya umma itaamua.
Mgogoro wa Arusha umefikia hapa kwasababu ya udhaifu wa Pinda kama waziri mkuu ambaye ndani ya ofisi yake kuna wizara ya Tamisemi.