Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,488
- 51,065
1. Hivi kwa utaratibu wa nyumba kumikumi, Ikulu nayo ina mjumbe wake?
2. Je Mtaa ambao Ikulu ipo nao una mwenyekiti wake wa serikali ya mtaa?
3. Je Rais naye anapiga kura kuchagua mwenyekiti wa serikali za mitaa?
4. Je wakazi wanaoishi ndani ya Ikulu kama mke wa Rais, mayaya na wengineo nao wanajiandikisha kwenye kuchagua viongozi wa serikali za mtaa?
5. Je Rais Magufuli amejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa?
6. Je Rais kupokea gawio siku ya uchaguzi, haoni kuwa anaathiri zoezi la wananchi kwenda kupiga kura kwa kukaa kumuangalia yeye badala ya kwenda kupiga kura?
Na je haoni kuwa kuitisha hafla ya jambo hilo kuna watu kutokana na kuwa busy kushughulikia jambo hilo hawataweza kupata nafasi ya kushiriki zoezi la kupiga kura?
2. Je Mtaa ambao Ikulu ipo nao una mwenyekiti wake wa serikali ya mtaa?
3. Je Rais naye anapiga kura kuchagua mwenyekiti wa serikali za mitaa?
4. Je wakazi wanaoishi ndani ya Ikulu kama mke wa Rais, mayaya na wengineo nao wanajiandikisha kwenye kuchagua viongozi wa serikali za mtaa?
5. Je Rais Magufuli amejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa?
6. Je Rais kupokea gawio siku ya uchaguzi, haoni kuwa anaathiri zoezi la wananchi kwenda kupiga kura kwa kukaa kumuangalia yeye badala ya kwenda kupiga kura?
Na je haoni kuwa kuitisha hafla ya jambo hilo kuna watu kutokana na kuwa busy kushughulikia jambo hilo hawataweza kupata nafasi ya kushiriki zoezi la kupiga kura?