Maswali ya kujiuliza kwa jirani zetu waliotufungia mipaka

Kingjr2

JF-Expert Member
Sep 8, 2018
644
1,271
Kwa siku kadhaa sasa kumekuwa na drama za ndugu zetu Kenya, Rwanda na Zambia kufunga mipaka tuliyochorewa na wakoloni bila kujali hapo mwanzo sote tulikuwa ndugu. Katika hili tujiulize yafuatayo:-

1. Karibu asilimia tisini ya Madereva wa Tanzania wanaopimwa mpakani wanakutwa positive na wengi wapo hapo mpakani zaidi ya wiki mbili kusubiri hivyo vipimo. Mbona hatuletewi maiti zao? Mbona hakuna wanaoletwa na ambulance kwa kuzidiwa?

Kwanini nauliza hivyo?

Tukumbuke mpakani pale hakuna huduma nzuri, hakuna huduma za afya, chakula cha shida. Kwa mazingira hayo si rahisi mgonjwa wa Corona kuhimili kwa zaidi ya siku 14 bila kuzidiwa kwa kadiri tunavyoelezwa

2. Inaelezwa Raia na Madereva wao wanaotokea Tanzania, kwa karibu asilimia tisini wanapopimwa mpakani ili kuruhusiwa kuingia kwao vipimo huonyesha negative

Je, Ugonjwa huu unawabagua wageni? Unawashambulia wa Tanzania pekee?

Ki ukweli kwa trend inavyoendelea hakika kuna watu wataumbuka. Hadi mwishoni mwa mwezi huu wa tano na mwanzoni mwa mwezi wa sita lazima ama watanzania tuumbuke kwa kiburi chetu ama wenzetu waumbuke kwa kutaka kuleta Sanaa ndani ya jumba la Corona!

Muda siko zote ndo msema ukweli wa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania kaeni kwenu msituletee corona na ukimwi sisi wakenya na wanyarwanda na waganda . .nasema kaeni kwenu huko huko chattle ...mnalalamika kwani wasingizie nyie mna nini nchi maskini yakutupwa.
 
Wewe unachotaka nini hasa

Vitu vingine mnajichosha tu, mnamaliza bando

Corona ipo, tutaishi nayo, hata WHO wanajua

Mtu anaugua corona, anapona mwenyewe, anaugua tena, wewe unadhani unaweza kupumbana na ugonjwa wa kijinga kama huo, ni mafua ya kawaida tu

Sasa sijui unabwatuka humu, unataka magufuli afanye nini, mnataka mpige dili kwenye huu ugonjwa wa kusadikika wa wachina et mnapima kumbe ujinga mtupu?

Magu nyoosha haya majinga mpaka yatakapojitambua

Jitu linalilia takwimu ziwe nyingi za wagonjwa, mpaka unajiuliza hili jitu linataka nini?

Sijui lock down ujinga mtupu,

Corona tutaishi nayo, mwenye kufa atakufa na atakatebaki atabaki, nature itaselect.

Mipaka ya ndege imeshafunguliwa, watu wazito wameshashituka na huu upuuzi wa corona, wanakuja Tanzania kutalii
 
Back
Top Bottom