Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mahojiano yana mwaka mmoja pia akiojiwa na huyohuyo Jonijokwa nini asingemwambia baba wamchukue mtoto wao wamlee wao?? na yeye alijuaje?? yan mtoto ajue mtoto wa baba na baba asijue mtoto wake??kuna kipnd 2019 kilikua kikiendeshwa na jonijo alikiri alikutana na diamond ukubwan na aliomba msaada kuhusu maswala ya music
Haya mambo yapo siku nyingi sema wameamuamua tu kuyaweka hadhalani sasahiviAnguko linakuja soonest.
Siombei hili litokee bali wanalitengeneza wenyewe. Kufuru wanazozifanya kwa Mungu watajibu wenyewe.
Mungu awasaidie Diamond na Mama yake
kwa nini asingemwambia baba wamchukue mtoto wao wamlee wao?? na yeye alijuaje?? yan mtoto ajue mtoto wa baba na baba asijue mtoto wake??kuna kipnd 2019 kilikua kikiendeshwa na jonijo alikiri alikutana na diamond ukubwan na aliomba msaada kuhusu maswala ya music
Mbona huu mjadala tumeshafunga.
Diamond sio mtoto wa mzee Abdul.
Mama dangote yupo sahihi,na diamond YUPO sahihi.
Mzee apambane na Hali yake..
Mimi nawaza kwa sauti,,Kama mzee Abdul sio Baba ake Mond, Kwanini Mama Dangote aliruhusu mtoto wa Hamisa Mobetto aitwe Abdul?
😂😂😂😂Kwann umetumia akili nyingi hivi kwenye Jambo la kijinga?
Kwahiyo diamond ni mtoto wa haramuKwani Abdul YUPO mmoja huyo huyo baba Yake diamond wa kambo?
muache mzee wa watu aishi maisha yake au mnapenda anavyonyanyasika.
Ameshaambiwa mtoto sio wa kwake
BASI.
haya maswali yenu hayamsaidii kitu.
Mama ameshaamua
Kuna shida hapa aisee..Mimi nawaza kwa sauti,,Kama mzee Abdul sio Baba ake Mond, Kwanini Mama Dangote aliruhusu mtoto wa Hamisa Mobetto aitwe Abdul?
1. Mama Diamond anasema kuwa, mzee Abdul hakuwa baba mzazi wa Diamond, inakuaje tena (yeye huyo huyo) aseme kwamba, mzee Abdul aliikataa mimba? Alikataaje kitu (mimba) ambacho si chake? Na kama ni kweli ALIIKATAA, maana yake ni kwamba, basi mama Diamond alitaka kumpa hiyo mimba.
Kwanini alitaka kumpa kitu (mimba) ambacho siyo chake? Kwa lugha rahisi alitaka KUMBAMBIKIA). Je, kosa la mzee Abdul ni kukataa kubambikwa?
2. Mama Diamond amesema kwamba, mzee Abdul hakuwa baba mzazi wa Diamond—alikuwa ni baba mlezi tu. Pia, yeye huyo huyo akasema tena kuwa, mzee Abdul aliahidi kumlea Diamond lakini HAKUMLEA (rudia hilo neno—HAKUMLEA). Na hata yeye (mama Diamond) hakuwahi kuishi kwa mzee Abdul—na hata picha walizoonekana wakiwa pamoja (kipindi Diamond akiwa mtoto), ilikuwa tu wamepita kumsalimia mzee Abdul hapo Magomeni alipokuwa akiishi.
Je, mtu ambaye umesema hakuwa baba mzazi wa mtoto, na umesisitiza kuwa HAKUMLEA, hicho cheo cha "BABA MLEZI" kilitoka wapi? Alikuwa analea nini?
3. Mama Diamond amesema, mzee Abdul alikataa mimba (ubaya), lakini pia amesema, hakuwa akihudumia kama alivyoahidi (ubaya), pia amesisitiza kuwa, mimba haikuwa yake (ubaya). Kwa lugha rahisi, mama Diamond ameamua kumpaka UBAYA mzee Abdul.
Kama hayo ni kweli, je, hizo pesa ambazo mama Diamond alikuwa anapewa mara kwa mara na Diamond ili akampatie mzee Abdul zilikuwa zinakwenda kwa mzee Abdul kama nani? (Maana mtoto hakumzaa yeye, na wala hakumlea).
4. Mama Diamond amesema, alimpa Diamond ubini wa Abdul kwa sababu (mzee) Abdul ndiye aliyempeleka hospitali kujifungua. Pamoja na hayo, amesisitiza kuwa bwana Salum Nyange (anayemtaja kuwa ndiye baba mzazi wa Diamond), alikuwa anakwenda Tandale kumangalia mtoto (Diamond) kama kawaida. Maana yake ni kwamba, mzee Salum Nyange hakumkataa mtoto. Swali: Inawezekanaje mtu yule yule (mzee Abdul) aliyetaka kubambikwa mimba akaikataa, ndiye akasimama kidete kumpeleka mama Diamond hospitali?
Kama mwenye mimba (Salum Nyange) alikuwepo na hakukataa mimba, ilikuwaje mama Diamond ampe mtoto (Diamond) u-bini wa mtu mwingine (mzee Abdul) kisa tu alimpeleka hospitali kujifungua? Je, ilikuwaje mzee Abdul akaahidi KUMLEA Diamond ilhali baba mzazi wa Diamond (bwana Salum Nyange) alikuwa hai na alikuwa anakwenda kumwangalia mtoto?
Kwahiyo diamond ni mtoto wa haramu