Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,055
- 10,339
Dah! Mnisamehe tu
1. Kama COVI-19 inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwa njia ya vitone vidogo vya majimaji vinavyotokana na kupiga chafya, kukohoa au kuongea naye. Kwanini marehemu anayedhaniwa alikufa kwa covid19 anaogopewa zaidi ya mtu aliyehai na hajapimwa?
2. Watu wawili, wanaishi, wanakula, wanalala pamoja. Iweje muwaambie wajitenge mita 2 wakiwa kwenye vyombo vya usafiri au nyumba za ibada?
3. Kupima watu ndiyo sifa ya kwanza ya upambanaji wa COVID19. Afrika Kusini inayosifiwa barani Afrika imeweka lengo la vipimo 25,000 kwa siku, kwa idadi yao ya karibu 60m bila kumrudia mtu itachukua miaka 7 hivi kupima watu wote. Hapa sijaelewa
4. Tunawapima watu badala ya kuwachukua wale wasioambukizwa na kuwaweka sehemu salama. Sisi tunawachukua wale wagonjwa na kuwahifadhi huku tukiwaacha wale wazima warudi kwenye jamii ambayo haijapimwa ambapo wanaweza kupata hatari ya kuambukizwa.
Hapa naomba kufafanuliwa wakuu
Msinichoke kuuliza ujinga
Sent using Beretta ARX 160
1. Kama COVI-19 inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwa njia ya vitone vidogo vya majimaji vinavyotokana na kupiga chafya, kukohoa au kuongea naye. Kwanini marehemu anayedhaniwa alikufa kwa covid19 anaogopewa zaidi ya mtu aliyehai na hajapimwa?
2. Watu wawili, wanaishi, wanakula, wanalala pamoja. Iweje muwaambie wajitenge mita 2 wakiwa kwenye vyombo vya usafiri au nyumba za ibada?
3. Kupima watu ndiyo sifa ya kwanza ya upambanaji wa COVID19. Afrika Kusini inayosifiwa barani Afrika imeweka lengo la vipimo 25,000 kwa siku, kwa idadi yao ya karibu 60m bila kumrudia mtu itachukua miaka 7 hivi kupima watu wote. Hapa sijaelewa
4. Tunawapima watu badala ya kuwachukua wale wasioambukizwa na kuwaweka sehemu salama. Sisi tunawachukua wale wagonjwa na kuwahifadhi huku tukiwaacha wale wazima warudi kwenye jamii ambayo haijapimwa ambapo wanaweza kupata hatari ya kuambukizwa.
Hapa naomba kufafanuliwa wakuu
Msinichoke kuuliza ujinga
Sent using Beretta ARX 160