Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,296
Mtu anakuuliza "umeshakula?" Unamjibu "hapana" anakuambia "ahaaa" alafu anaendelea na mbishe zake..
Tunaitaga mswali ya kiwaki
Tunaitaga mswali ya kiwaki
We jamaa wew,hayo ni majawabu mujarabuMaswali ya kijinga na majibu ya hasira;
1. Mtu anakuona umejilaza na macho umefunga anakuuliza umelala?..... Hapana najaribu kufa.
2. Mvua inanyesha halafu unatoka nje kisha mtu anakuuliza unakwenda na hii mvua?..... Hapana nitakwenda na inayofuata.
3. Rafiki yako anapokupigia simu yako ya mezani afu anakuuliza uko wapi?..... Niko kanisani naombewa.
4. Wanakuona umelowa ukitokea bafuni wanakuuliza umetoka kuoga?...&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];. Hapana nimeanguka kwenye bakuli la choo.
5. Umesimama nje ya lift kwenye jengo la sakafu ya chini kisha unaulizwa unapanda juu?..... Hapana ninasubiri chumba changu kije kinichukue hapa chini.
6. Unamnunulia mkeo maua anakuuliza hayo ni maua?..... Hapana mke wangu, ni karoti.
7. Uko kwenye foleni ya kulipa tiketi ya kuingia uwanjani kucheki mpira, rafiki yako anakuuliza na wewe unaenda kuangalia mpira?..... Nimekuja kulipa ada ya shule.
8. Ongezea na yako
We jamaa wew8. Upo na demu room, mmeanza kuchezeana, kissing, romance nzito,. Umevua umebaki kifua wazi, ukambeba hadi kitandani. Unamvua nguo anakuuliza unataka kufanya&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];?
Nataka kwenda kufua
Kwan we ndo hunag Ny£GeHa ha ha ha ukinijibu hivyo navaa Pichu yangu naondoka
Mtu anaona kabisa mwandiko wako mbaya anauliza "ndio una mwandiko mbaya hivi?"
Unamjibu hapana hilo ni gazeti la kihindi
Habari ,ID yako mkuu, vp bado unaimba?
Maswali ya kijinga na majibu ya hasira;
1. Mtu anakuona umejilaza na macho umefunga anakuuliza umelala?..... Hapana najaribu kufa.
2. Mvua inanyesha halafu unatoka nje kisha mtu anakuuliza unakwenda na hii mvua?..... Hapana nitakwenda na inayofuata.
3. Rafiki yako anapokupigia simu yako ya mezani afu anakuuliza uko wapi?..... Niko kanisani naombewa.
4. Wanakuona umelowa ukitokea bafuni wanakuuliza umetoka kuoga?...&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];. Hapana nimeanguka kwenye bakuli la choo.
5. Umesimama nje ya lift kwenye jengo la sakafu ya chini kisha unaulizwa unapanda juu?..... Hapana ninasubiri chumba changu kije kinichukue hapa chini.
6. Unamnunulia mkeo maua anakuuliza hayo ni maua?..... Hapana mke wangu, ni karoti.
7. Uko kwenye foleni ya kulipa tiketi ya kuingia uwanjani kucheki mpira, rafiki yako anakuuliza na wewe unaenda kuangalia mpira?..... Nimekuja kulipa ada ya shule.
8. Ongezea na yako