Maswali ya ana kwa ana ya waziri mkuu ,Pinda leo.

ngomicom

Senior Member
Jul 6, 2012
123
19
Wadau nisaidieni kujua, Mtoto wa mkulima leo kazungumza nini baada ya kutwangwa maswali mjengoni, nipatieni kipande nisikilize.
 
Hakuwepo bungeni na maswali na majibu ya papo kwa hapo hayakuwepo.
 
kama hayupo anaekuwepo kwa upande wa serikali si ndio inabidi aingie kikaangoni ? au wanakaimu vyooote lakini siyo kipande cha maswali ya papo kwa hapo? wajenzi wa mnara wa babel luga zitatofautiana tu...
 
Back
Top Bottom