Maswali Tata Wamasai wa Loliondo kutibiwa Kenya

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
664
829
MASWALI TATA WAMASAI WA LOLIONDO KUTIBIWA KENYA.

Wakati kukiendelea na sintofahamu ya wanaharakati kutuhumiwa kutumika kushirikiana na viongozi wa eneo jirani linalopakana na Loliondo kuhamasisha vurugu kushambulia polisi waliokuwa wakilinda mpaka na kusimamia wanaoweka Beacons kiasi Cha kupelekea Askari mmoja kufariki kwa kupigwa na mshale,

Mapya yamezidi kuibuka baada ya kuonekana kwa picha za baadhi ya wanaodaiwa kuwa ni majeruhi wakiwa hospitali nchini Kenya.

Katika hali isiyoelezeka ni kwa namna gani majeruhi hao wameweza kuvuka mpaka na kuingia kenya kutibiwa?.

Kama hakukuwa na mpango maalum iliwezekanaje watu hawa kusafirishwa kwa siri na kupelekwa hospital nchini humo?.

Je hospital za huko zinawasajili kama Watanzania ama wakenya?... Kama zinawasajili kama watanzania je wamepata rufaa kutoka Tanzania?.

Taarifa za uhakika ambazo chombo chetu inazi zinasema kuwa kuna mkakati wa makusudi wa majirani zetu kufanya kila jitihada kudhoofisha utalii wa Tanzania hasa wakilenga kanda ya kaskazini

Taarifa zaidi zinasema hii inachagizwa zaidi na hofu ya kupoteza kwao ushawishi kunakotokana na umashughuli unaoongezeka siku hadi siku hasa baada ya kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour.
 

Attachments

  • IMG-20220613-WA0027.jpg
    IMG-20220613-WA0027.jpg
    50.4 KB · Views: 10
  • IMG-20220613-WA0026.jpg
    IMG-20220613-WA0026.jpg
    39.8 KB · Views: 8
  • IMG-20220613-WA0028.jpg
    IMG-20220613-WA0028.jpg
    63.8 KB · Views: 9
MASWALI TATA WAMASAI WA LOLIONDO KUTIBIWA KENYA.

Wakati kukiendelea na sintofahamu ya wanaharakati kutuhumiwa kutumika kushirikiana na viongozi wa eneo jirani linalopakana na Loliondo kuhamasisha vurugu kushambulia polisi waliokuwa wakilinda mpaka na kusimamia wanaoweka Beacons kiasi Cha kupelekea Askari mmoja kufariki kwa kupigwa na mshale,

Mapya yamezidi kuibuka baada ya kuonekana kwa picha za baadhi ya wanaodaiwa kuwa ni majeruhi wakiwa hospitali nchini Kenya.

Katika hali isiyoelezeka ni kwa namna gani majeruhi hao wameweza kuvuka mpaka na kuingia kenya kutibiwa?.

Kama hakukuwa na mpango maalum iliwezekanaje watu hawa kusafirishwa kwa siri na kupelekwa hospital nchini humo?.

Je hospital za huko zinawasajili kama Watanzania ama wakenya?... Kama zinawasajili kama watanzania je wamepata rufaa kutoka Tanzania?.

Taarifa za uhakika ambazo chombo chetu inazi zinasema kuwa kuna mkakati wa makusudi wa majirani zetu kufanya kila jitihada kudhoofisha utalii wa Tanzania hasa wakilenga kanda ya kaskazini

Taarifa zaidi zinasema hii inachagizwa zaidi na hofu ya kupoteza kwao ushawishi kunakotokana na umashughuli unaoongezeka siku hadi siku hasa baada ya kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour.
hii ni sababu tosha kwamba hawa jamaa sio watanzania, wafurushwe warudi kwao kenya na doria iwepo muda wote wasirudi kabisa.pia tujue kuwa, ngorongoro ikiharibika ni faida kwa kenya kiutalii, hivyo wakenya wanasapoti kile kina ole ngurumo wanafanya. hata maria sarungu si amejificha kenya kufanya hayo yote anayoyafanya?
 
MASWALI TATA WAMASAI WA LOLIONDO KUTIBIWA KENYA.

Wakati kukiendelea na sintofahamu ya wanaharakati kutuhumiwa kutumika kushirikiana na viongozi wa eneo jirani linalopakana na Loliondo kuhamasisha vurugu kushambulia polisi waliokuwa wakilinda mpaka na kusimamia wanaoweka Beacons kiasi Cha kupelekea Askari mmoja kufariki kwa kupigwa na mshale,

Mapya yamezidi kuibuka baada ya kuonekana kwa picha za baadhi ya wanaodaiwa kuwa ni majeruhi wakiwa hospitali nchini Kenya.

Katika hali isiyoelezeka ni kwa namna gani majeruhi hao wameweza kuvuka mpaka na kuingia kenya kutibiwa?.

Kama hakukuwa na mpango maalum iliwezekanaje watu hawa kusafirishwa kwa siri na kupelekwa hospital nchini humo?.

Je hospital za huko zinawasajili kama Watanzania ama wakenya?... Kama zinawasajili kama watanzania je wamepata rufaa kutoka Tanzania?.

Taarifa za uhakika ambazo chombo chetu inazi zinasema kuwa kuna mkakati wa makusudi wa majirani zetu kufanya kila jitihada kudhoofisha utalii wa Tanzania hasa wakilenga kanda ya kaskazini

Taarifa zaidi zinasema hii inachagizwa zaidi na hofu ya kupoteza kwao ushawishi kunakotokana na umashughuli unaoongezeka siku hadi siku hasa baada ya kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour.
Kuna ajabu gani mtu kutibiwa popote anapopataka yeye au alipopata msaada wa matibabu? Mbona sio ajabu wengine kutibiwa India, Marekani? South Africa?
Kubalini mna elimu nusu nusu ya kidiplomasia na hao mnaowashabikia hawawapi hata semina ndogo ya jinsi ya kujenga hoja.
 
Obvious, wahanga wa hili sakata wangetibiwa katika vituo vya jirani vilivomo Tz, LAKINI kama ulivosikia kuwa wale jamaa wajeda walikuwa wakipita boma hadi boma kusaka majeruhi na kuwachukua ili kuficha ushahidi.Bila shaka huo msako ungetembea hadi kwa vituo vya afya vilivyopo karibu.

Kwa kutambua hilo wakaamua kwenda kwa jirani zetu huko ambako wajeda hawana mamlaka ya kuvuka unless otherwise,

Kwa mtazamo wangu.
 
What are stupid thoughts are these...!

Kwani siku hizi mwananchi wa kawaida akitaka kutibiwa nje ya nchi kwa gharama zake ni mpaka apewe ruhusa na serikali?

Yaani mnajaribu kutaka ku - justify makosa ya serikali kwa kutumia hoja za kijinga na kipumbavu kabisa...

The best way serikali inaweza kufanya ni kuu - treat mgogoro wa Ngorongoro na huko Loliondo kwa hekima na busara ikizingatiwa hao watu wamezaliwa na kuishi ktk ardhi yao miaka na miaka...

Kujaribu kuwashusha thamani yao na kuwapa thamani watu wa kuja kwa jina la "investors", ni kutangaza vita kati ya DAUDI (wananchi wakiwa na nguvu ya Mungu) na GOLIATHI (serikali - jitu kubwa jinga linaloamini ktk maguvu yake ya mwili pasipo kutumia akili wala maarifa)..

Hopefully, unaelewa matokeo yake...
 
MASWALI TATA WAMASAI WA LOLIONDO KUTIBIWA KENYA.

Wakati kukiendelea na sintofahamu ya wanaharakati kutuhumiwa kutumika kushirikiana na viongozi wa eneo jirani linalopakana na Loliondo kuhamasisha vurugu kushambulia polisi waliokuwa wakilinda mpaka na kusimamia wanaoweka Beacons kiasi Cha kupelekea Askari mmoja kufariki kwa kupigwa na mshale,

Mapya yamezidi kuibuka baada ya kuonekana kwa picha za baadhi ya wanaodaiwa kuwa ni majeruhi wakiwa hospitali nchini Kenya.

Katika hali isiyoelezeka ni kwa namna gani majeruhi hao wameweza kuvuka mpaka na kuingia kenya kutibiwa?.

Kama hakukuwa na mpango maalum iliwezekanaje watu hawa kusafirishwa kwa siri na kupelekwa hospital nchini humo?.

Je hospital za huko zinawasajili kama Watanzania ama wakenya?... Kama zinawasajili kama watanzania je wamepata rufaa kutoka Tanzania?.

Taarifa za uhakika ambazo chombo chetu inazi zinasema kuwa kuna mkakati wa makusudi wa majirani zetu kufanya kila jitihada kudhoofisha utalii wa Tanzania hasa wakilenga kanda ya kaskazini

Taarifa zaidi zinasema hii inachagizwa zaidi na hofu ya kupoteza kwao ushawishi kunakotokana na umashughuli unaoongezeka siku hadi siku hasa baada ya kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour.
Mawazo ya kigogo twitter haya.

Uhai kwanza mengine badae.... Walisha sema wakienda waso watahitajika waende na pf3 na kwenda polisi ndo habari nyingine....

Kama serikali ilikanusha hakuna kinacho endelea huko unadhani kesi ingemalizikaje??? Masai pia ni binadamu waache watibiwe popote.... mpaka wamefikia hivyo,(kutibiwa kenya) ina maana hayo ndo maisha yao hata kabla.....kumbuka masai Wana ushirikiano kama mchwa so kwa kenya ni rahisi na wanaweza kuwa na ndugu pia huko
 
Obvious, wahanga wa hili sakata wangetibiwa katika vituo vya jirani vilivomo Tz, LAKINI kama ulivosikia kuwa wale jamaa wajeda walikuwa wakipita boma hadi boma kusaka majeruhi na kuwachukua ili kuficha ushahidi.Bila shaka huo msako ungetembea hadi kwa vituo vya afya vilivyopo karibu.

Kwa kutambua hilo wakaamua kwenda kwa jirani zetu huko ambako wajeda hawana mamlaka ya kuvuka unless otherwise,

Kwa mtazamo wangu.
hao waliokimbilia kenya wanaogopa kukamatwa kwenda kushitakiwa kesi ya mauaji waliyoua polisi. na ukionekana una jeraha manake wewe ndio mlengwa ulikuwa mstari wa mbele kupambana na askari.
 
What are stupid thoughts are these...!

Kwani siku hizi mwananchi wa kawaida akitaka kutibiwa nje ya nchi kwa gharama zake ni mpaka apewe ruhusa na serikali?

Yaani mnajaribu kutaka ku - justify makosa ya serikali kwa kutumia hoja za kijinga na kipumbavu kabisa...

The best way serikali inaweza kufanya ni kuu - treat mgogoro wa Ngorongoro na huko Loliondo kwa hekima na busara ikizingatiwa hao watu wamezaliwa na kuishi ktk ardhi yao miaka na miaka...

Kujaribu kuwashusha thamani yao na kuwapa thamani watu wa kuja kwa jina la "investors", ni kutangaza vita kati ya DAUDI (wananchi wakiwa na nguvu ya Mungu) na GOLIATHI (serikali - jitu kubwa jinga linaloamini ktk maguvu yake ya mwili pasipo kutumia akili wala maarifa)..

Hopefully, unaelewa matokeo yake...
Nadhani walitegemea wafe ushaidi ukosekane.
 
Leo Wakenya wamekuwa wabaya? Hivi ni nani aliomba radhi kwa Wakenya ? Ungeanzia hapo kwanza, Wakenya wanafanya kile ambacho wanapaswa kufanya hata kama ungekuwa ni wewe kama mtu anajipendekeza kwako utafanyaje zaidi ya kumdharau ?

Samia alimnanga na kumdhalilisha Raisi Magufuli (RIP) mbele ya Dunia nzima kuwafurahisha Wakenya, sasa mnalia lilia nini ?

Tundu Lisu, Lema na hata Mbowe wote walikuwa Kenya kumsema Magufuli, sasa mnashangaa nini ?

Hakuna Mkenya aliyewahi kuja Tanzania kulia lia eti kuisema nchi yake vibaya kwa Tanzania hata kama wakigombana vipi huko kwao lkn chadema, Samia kila siku wako huko sasa unalalamika nini wakati hiyo power mmewapa wenyewe ?

Mlifikiri mkijipendekeza ndio Heshima itakuja, mawe, …
 
MASWALI TATA WAMASAI WA LOLIONDO KUTIBIWA KENYA.

Wakati kukiendelea na sintofahamu ya wanaharakati kutuhumiwa kutumika kushirikiana na viongozi wa eneo jirani linalopakana na Loliondo kuhamasisha vurugu kushambulia polisi waliokuwa wakilinda mpaka na kusimamia wanaoweka Beacons kiasi Cha kupelekea Askari mmoja kufariki kwa kupigwa na mshale,

Mapya yamezidi kuibuka baada ya kuonekana kwa picha za baadhi ya wanaodaiwa kuwa ni majeruhi wakiwa hospitali nchini Kenya.

Katika hali isiyoelezeka ni kwa namna gani majeruhi hao wameweza kuvuka mpaka na kuingia kenya kutibiwa?.

Kama hakukuwa na mpango maalum iliwezekanaje watu hawa kusafirishwa kwa siri na kupelekwa hospital nchini humo?.

Je hospital za huko zinawasajili kama Watanzania ama wakenya?... Kama zinawasajili kama watanzania je wamepata rufaa kutoka Tanzania?.

Taarifa za uhakika ambazo chombo chetu inazi zinasema kuwa kuna mkakati wa makusudi wa majirani zetu kufanya kila jitihada kudhoofisha utalii wa Tanzania hasa wakilenga kanda ya kaskazini

Taarifa zaidi zinasema hii inachagizwa zaidi na hofu ya kupoteza kwao ushawishi kunakotokana na umashughuli unaoongezeka siku hadi siku hasa baada ya kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour.
Una maana mpaka wetu na Kenya uko wazi watu wanaingia na kutoka watakavyo?
 
MASWALI TATA WAMASAI WA LOLIONDO KUTIBIWA KENYA.

Wakati kukiendelea na sintofahamu ya wanaharakati kutuhumiwa kutumika kushirikiana na viongozi wa eneo jirani linalopakana na Loliondo kuhamasisha vurugu kushambulia polisi waliokuwa wakilinda mpaka na kusimamia wanaoweka Beacons kiasi Cha kupelekea Askari mmoja kufariki kwa kupigwa na mshale,

Mapya yamezidi kuibuka baada ya kuonekana kwa picha za baadhi ya wanaodaiwa kuwa ni majeruhi wakiwa hospitali nchini Kenya.

Katika hali isiyoelezeka ni kwa namna gani majeruhi hao wameweza kuvuka mpaka na kuingia kenya kutibiwa?.

Kama hakukuwa na mpango maalum iliwezekanaje watu hawa kusafirishwa kwa siri na kupelekwa hospital nchini humo?.

Je hospital za huko zinawasajili kama Watanzania ama wakenya?... Kama zinawasajili kama watanzania je wamepata rufaa kutoka Tanzania?.

Taarifa za uhakika ambazo chombo chetu inazi zinasema kuwa kuna mkakati wa makusudi wa majirani zetu kufanya kila jitihada kudhoofisha utalii wa Tanzania hasa wakilenga kanda ya kaskazini

Taarifa zaidi zinasema hii inachagizwa zaidi na hofu ya kupoteza kwao ushawishi kunakotokana na umashughuli unaoongezeka siku hadi siku hasa baada ya kuzinduliwa kwa filamu ya Royal Tour.
Wamasai wa tanzania wamekuwa wakingiliana na kenya miaka nenda rudi.....we umwambie masai aingie kenya kwa passport hawakuelewi

Ova
 
Leo Wakenya wamekuwa wabaya? Hivi ni nani aliomba radhi kwa Wakenya ? Ungeanzia hapo kwanza, Wakenya wanafanya kile ambacho wanapaswa kufanya hata kama ungekuwa ni wewe kama mtu anajipendekeza kwako utafanyaje zaidi ya kumdharau ?

Samia alimnanga na kumdhalilisha Raisi Magufuli (RIP) mbele ya Dunia nzima kuwafurahisha Wakenya, sasa mnalia lilia nini ?

Tundu Lisu, Lema na hata Mbowe wote walikuwa Kenya kumsema Magufuli, sasa mnashangaa nini ?

Hakuna Mkenya aliyewahi kuja Tanzania kulia lia eti kuisema nchi yake vibaya kwa Tanzania hata kama wakigombana vipi huko kwao lkn chadema, Samia kila siku wako huko sasa unalalamika nini wakati hiyo power mmewapa wenyewe ?

Mlifikiri mkijipendekeza ndio Heshima itakuja, mawe, …
Wewe kijakazi kweli
 
Back
Top Bottom