Maswali nnayojiuliza kuhusu gesi yetu asilia ya mtwara

nduza

JF-Expert Member
Feb 7, 2019
1,595
2,497
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?

-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko kinyerezi kwaajili ya kuzalisha megawatt nyingi zaidi na vituo vingine vijengwe kwaajili ya kuuza umeme nje tu?
Gesi itolewe mtwara kwenda karibu na mpaka wa nchi ambayo tunahitaji kuiuzia umeme alafu kijengwe kituo cha kuzalisha umeme hapo na hao jamaa wachukulie umeme hapo na kusambaza nchini kwao

-Gesi asilia haijazwi kwenye clynder huunganishwa direct kama dawasa wanavyounganishia watu maji

Nilisikia mradi wa kusambaza gesi majumbani ulianza kwa majaribio baadhi ya maeneo
Lengo ni kusambaza gesi ikibidi nchi nzima
na watu waache kutumia LPG na badala yake tutumie gesi yetu ni sawa lakini
Kwanini
Hii nguvu isitumike kuzalisha umeme wa kutosha kabisa na kuwauzia wananchi unit kwa shilingi 100?
Ambapo watu watatumia umeme kupikia badala ya gesi
Kutumia gesi kupikia badala ya umeme ni sawa na kutumia raw material tu gesi ifanyiwe process na iwe umeme watu wapikie umeme
Kwanini watu wanatumia gesi kupikia jibu ni kwamba gesi ni nafuu kuliko umeme maana yake tukishusha bei ya umeme hakuna sababu ya kutumia gesi tena
Kama naweza kupika kwa unit mbili au tatu ambazo ni mia mbili au miatatu kwanini nitumie gesi

Kwa kutumia gesi tu tulionayo, nchi hii inaweza kuuaga umasikini kabisa
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema
Sio kila kitu kinahitaji pesa vingine vinahitaji akili tu

Unapozalizasha umeme wa kutosha ndani na kuuza nje
Wananchi ukawauzia unit sh100
Unaongeza uzalishaji kwa mtu mmojammoja na taifa kwa ujumla

Uzalishaji viwandani utaongezeka sana wawekezaji wataongezeka na wataanzisha viwanda vikubwa kabisa kwa kuwa kuna umeme wa uhakika
Watu wengine hawaji kuwekeza kwakuwa wakiangalia Tanzania wanaona hakuna umeme wa uhakika

Biashara zitafanyika sana vifaa vya umeme vitauzika sana
Matumizi ya vifaa vya umeme kama mafridge, majiko ya umeme, air condition, micro wave mashine za kufua vitaongezeka kwa kuwa umeme ni rahisi mzunguko wa pesa utakuwepo
Watawala wetu wanapokwama Ni wapi?

-Huwenda nimewaza Mambo ambayo hayapo au hayawezekani naomba kueleweshwa
 
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?

-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko kinyerezi kwaajili ya kuzalisha megawatt nyingi zaidi na vituo vingine vijengwe kwaajili ya kuuza umeme nje tu?
Gesi itolewe mtwara kwenda karibu na mpaka wa nchi ambayo tunahitaji kuiuzia umeme alafu kijengwe kituo cha kuzalisha umeme hapo na hao jamaa wachukulie umeme hapo na kusambaza nchini kwao

-Gesi asilia haijazwi kwenye clynder huunganishwa direct kama dawasa wanavyounganishia watu maji

Nilisikia mradi wa kusambaza gesi majumbani ulianza kwa majaribio baadhi ya maeneo
Lengo ni kusambaza gesi ikibidi nchi nzima
na watu waache kutumia LPG na badala yake tutumie gesi yetu ni sawa lakini
Kwanini
Hii nguvu isitumike kuzalisha umeme wa kutosha kabisa na kuwauzia wananchi unit kwa shilingi 100?
Ambapo watu watatumia umeme kupikia badala ya gesi
Kutumia gesi kupikia badala ya umeme ni sawa na kutumia raw material tu gesi ifanyiwe process na iwe umeme watu wapikie umeme
Kwanini watu wanatumia gesi kupikia jibu ni kwamba gesi ni nafuu kuliko umeme maana yake tukishusha bei ya umeme hakuna sababu ya kutumia gesi tena
Kama naweza kupika kwa unit mbili au tatu ambazo ni mia mbili au miatatu kwanini nitumie gesi

Kwa kutumia gesi tu tulionayo, nchi hii inaweza kuuaga umasikini kabisa
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema
Sio kila kitu kinahitaji pesa vingine vinahitaji akili tu

Unapozalizasha umeme wa kutosha ndani na kuuza nje
Wananchi ukawauzia unit sh100
Unaongeza uzalishaji kwa mtu mmojammoja na taifa kwa ujumla

Uzalishaji viwandani utaongezeka sana wawekezaji wataongezeka na wataanzisha viwanda vikubwa kabisa kwa kuwa kuna umeme wa uhakika
Watu wengine hawaji kuwekeza kwakuwa wakiangalia Tanzania wanaona hakuna umeme wa uhakika

Biashara zitafanyika sana vifaa vya umeme vitauzika sana
Matumizi ya vifaa vya umeme kama mafridge, majiko ya umeme, air condition, micro wave mashine za kufua vitaongezeka kwa kuwa umeme ni rahisi mzunguko wa pesa utakuwepo
Watawala wetu wanapokwama Ni wapi?

-Huwenda nimewaza Mambo ambayo hayapo au hayawezekani naomba kueleweshwa
Tunataka pesa tu
 
Hatuna gesi ndugu, gesi ya mtwara n....hiyo ilishapigwa kitambo na wenyenchi waliopita ,mikataba ya kinyonyaji kiasi ambacho hatuna cha kuchukua.
Ushaskia mataga wanaitajataja kwenye speech zao?
Na vile wanapenda sifa wangekosaje kuitajataja kwa mfano....?
Acha lichimbwe bwawa tu yumkini tutanufaika nalo,kuliko hyo inayoitwa gesi....
 
Soma uongo wa huyu mtu eti MABEBERU wametupora gesi yetu!! Waliingia hapa JWTZ imechapa usingizi na silaha zao kali sana na za kisasa na kukamilisha uporaji wao. MABEBERU si watu wema hata kidogo.

Rais Magufuli: Mabepari wametunyang'anya gesi yetu hatuwezi kuitumia kwa uhuru | JamiiForums
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?

-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko kinyerezi kwaajili ya kuzalisha megawatt nyingi zaidi na vituo vingine vijengwe kwaajili ya kuuza umeme nje tu?
Gesi itolewe mtwara kwenda karibu na mpaka wa nchi ambayo tunahitaji kuiuzia umeme alafu kijengwe kituo cha kuzalisha umeme hapo na hao jamaa wachukulie umeme hapo na kusambaza nchini kwao

-Gesi asilia haijazwi kwenye clynder huunganishwa direct kama dawasa wanavyounganishia watu maji

Nilisikia mradi wa kusambaza gesi majumbani ulianza kwa majaribio baadhi ya maeneo
Lengo ni kusambaza gesi ikibidi nchi nzima
na watu waache kutumia LPG na badala yake tutumie gesi yetu ni sawa lakini
Kwanini
Hii nguvu isitumike kuzalisha umeme wa kutosha kabisa na kuwauzia wananchi unit kwa shilingi 100?
Ambapo watu watatumia umeme kupikia badala ya gesi
Kutumia gesi kupikia badala ya umeme ni sawa na kutumia raw material tu gesi ifanyiwe process na iwe umeme watu wapikie umeme
Kwanini watu wanatumia gesi kupikia jibu ni kwamba gesi ni nafuu kuliko umeme maana yake tukishusha bei ya umeme hakuna sababu ya kutumia gesi tena
Kama naweza kupika kwa unit mbili au tatu ambazo ni mia mbili au miatatu kwanini nitumie gesi

Kwa kutumia gesi tu tulionayo, nchi hii inaweza kuuaga umasikini kabisa
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema
Sio kila kitu kinahitaji pesa vingine vinahitaji akili tu

Unapozalizasha umeme wa kutosha ndani na kuuza nje
Wananchi ukawauzia unit sh100
Unaongeza uzalishaji kwa mtu mmojammoja na taifa kwa ujumla

Uzalishaji viwandani utaongezeka sana wawekezaji wataongezeka na wataanzisha viwanda vikubwa kabisa kwa kuwa kuna umeme wa uhakika
Watu wengine hawaji kuwekeza kwakuwa wakiangalia Tanzania wanaona hakuna umeme wa uhakika

Biashara zitafanyika sana vifaa vya umeme vitauzika sana
Matumizi ya vifaa vya umeme kama mafridge, majiko ya umeme, air condition, micro wave mashine za kufua vitaongezeka kwa kuwa umeme ni rahisi mzunguko wa pesa utakuwepo
Watawala wetu wanapokwama Ni wapi?

-Huwenda nimewaza Mambo ambayo hayapo au hayawezekani naomba kueleweshwa
 
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?

-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko kinyerezi kwaajili ya kuzalisha megawatt nyingi zaidi na vituo vingine vijengwe kwaajili ya kuuza umeme nje tu?
Gesi itolewe mtwara kwenda karibu na mpaka wa nchi ambayo tunahitaji kuiuzia umeme alafu kijengwe kituo cha kuzalisha umeme hapo na hao jamaa wachukulie umeme hapo na kusambaza nchini kwao

-Gesi asilia haijazwi kwenye clynder huunganishwa direct kama dawasa wanavyounganishia watu maji

Nilisikia mradi wa kusambaza gesi majumbani ulianza kwa majaribio baadhi ya maeneo
Lengo ni kusambaza gesi ikibidi nchi nzima
na watu waache kutumia LPG na badala yake tutumie gesi yetu ni sawa lakini
Kwanini
Hii nguvu isitumike kuzalisha umeme wa kutosha kabisa na kuwauzia wananchi unit kwa shilingi 100?
Ambapo watu watatumia umeme kupikia badala ya gesi
Kutumia gesi kupikia badala ya umeme ni sawa na kutumia raw material tu gesi ifanyiwe process na iwe umeme watu wapikie umeme
Kwanini watu wanatumia gesi kupikia jibu ni kwamba gesi ni nafuu kuliko umeme maana yake tukishusha bei ya umeme hakuna sababu ya kutumia gesi tena
Kama naweza kupika kwa unit mbili au tatu ambazo ni mia mbili au miatatu kwanini nitumie gesi

Kwa kutumia gesi tu tulionayo, nchi hii inaweza kuuaga umasikini kabisa
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema
Sio kila kitu kinahitaji pesa vingine vinahitaji akili tu

Unapozalizasha umeme wa kutosha ndani na kuuza nje
Wananchi ukawauzia unit sh100
Unaongeza uzalishaji kwa mtu mmojammoja na taifa kwa ujumla

Uzalishaji viwandani utaongezeka sana wawekezaji wataongezeka na wataanzisha viwanda vikubwa kabisa kwa kuwa kuna umeme wa uhakika
Watu wengine hawaji kuwekeza kwakuwa wakiangalia Tanzania wanaona hakuna umeme wa uhakika

Biashara zitafanyika sana vifaa vya umeme vitauzika sana
Matumizi ya vifaa vya umeme kama mafridge, majiko ya umeme, air condition, micro wave mashine za kufua vitaongezeka kwa kuwa umeme ni rahisi mzunguko wa pesa utakuwepo
Watawala wetu wanapokwama Ni wapi?

-Huwenda nimewaza Mambo ambayo hayapo au hayawezekani naomba kueleweshwa
Watawala hawajakwama ..!wanafanya cost analysis ndio maana wakaona bora kujenga Stiglers kuliko Natural Gas.

Mfano kama ukijenga Stiglers unit moja itauzwa tsh 100 ila ukitumia Natural Gas inabidi unit moja iuzwe tsh 150 na zaidi sababu cost za ku run zinakuwa kubwa.
 
Watawala hawajakwama ..!wanafanya cost analysis ndio maana wakaona bora kujenga Stiglers kuliko Natural Gas.

Mfano kama ukijenga Stiglers unit moja itauzwa tsh 100 ila ukitumia Natural Gas inabidi unit moja iuzwe tsh 150 na zaidi sababu cost za ku run zinakuwa kubwa.
Unarun nini wakati gesi inakuja naturally? Gesi ni kama maji, yote inatumika kuzungusha 'turbines' za kuzalisha umeme.

Sasa nini unarun hapo?
 
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?

-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko kinyerezi kwaajili ya kuzalisha megawatt nyingi zaidi na vituo vingine vijengwe kwaajili ya kuuza umeme nje tu?
Gesi itolewe mtwara kwenda karibu na mpaka wa nchi ambayo tunahitaji kuiuzia umeme alafu kijengwe kituo cha kuzalisha umeme hapo na hao jamaa wachukulie umeme hapo na kusambaza nchini kwao

-Gesi asilia haijazwi kwenye clynder huunganishwa direct kama dawasa wanavyounganishia watu maji

Nilisikia mradi wa kusambaza gesi majumbani ulianza kwa majaribio baadhi ya maeneo
Lengo ni kusambaza gesi ikibidi nchi nzima
na watu waache kutumia LPG na badala yake tutumie gesi yetu ni sawa lakini
Kwanini
Hii nguvu isitumike kuzalisha umeme wa kutosha kabisa na kuwauzia wananchi unit kwa shilingi 100?
Ambapo watu watatumia umeme kupikia badala ya gesi
Kutumia gesi kupikia badala ya umeme ni sawa na kutumia raw material tu gesi ifanyiwe process na iwe umeme watu wapikie umeme
Kwanini watu wanatumia gesi kupikia jibu ni kwamba gesi ni nafuu kuliko umeme maana yake tukishusha bei ya umeme hakuna sababu ya kutumia gesi tena
Kama naweza kupika kwa unit mbili au tatu ambazo ni mia mbili au miatatu kwanini nitumie gesi

Kwa kutumia gesi tu tulionayo, nchi hii inaweza kuuaga umasikini kabisa
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema
Sio kila kitu kinahitaji pesa vingine vinahitaji akili tu

Unapozalizasha umeme wa kutosha ndani na kuuza nje
Wananchi ukawauzia unit sh100
Unaongeza uzalishaji kwa mtu mmojammoja na taifa kwa ujumla

Uzalishaji viwandani utaongezeka sana wawekezaji wataongezeka na wataanzisha viwanda vikubwa kabisa kwa kuwa kuna umeme wa uhakika
Watu wengine hawaji kuwekeza kwakuwa wakiangalia Tanzania wanaona hakuna umeme wa uhakika

Biashara zitafanyika sana vifaa vya umeme vitauzika sana
Matumizi ya vifaa vya umeme kama mafridge, majiko ya umeme, air condition, micro wave mashine za kufua vitaongezeka kwa kuwa umeme ni rahisi mzunguko wa pesa utakuwepo
Watawala wetu wanapokwama Ni wapi?

-Huwenda nimewaza Mambo ambayo hayapo au hayawezekani naomba kueleweshwa

Mithali : Mlango 28​

16 Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
 
Umasikini wa wananchi katika nchi za africa ndio mtaji mkubwa wa wanasiasa wetu.
Wakati gas ya mtwara inaanza kutoka tulisema gas hii itatuvusha lkn kwa sasa ni kama hakuna kilichotokea. Gas ipo na kila kitu kipo vile vile, hata huko inakotokea pia hawaelewi.
Wacha tuendelee ku mark time.
 
Matumizi ya gesi yataokoa misitu na hatimae kuongeza mvua na mazao ya chakula yataongezeka.

Serikali inaweza kugharamia mitungi na majiko bure kwa watu wa kima cha chini na wakulima vijijini. Wakishatumia kujaza tena inabidi wanunue.
 
-Tanzania ina gesi asilia ambayo ni nyingi sana kwanini serikali yetu iliamua kutumia mabilioni ya pesa kujenga stiglers gorge
badala ya kujenga vituo vya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi?

-Kama gesi ililetwa kutoka mtwara mpaka kinyerezi kwanini visijengwe vituo vingine vikubwa kuliko kinyerezi kwaajili ya kuzalisha megawatt nyingi zaidi na vituo vingine vijengwe kwaajili ya kuuza umeme nje tu?
Gesi itolewe mtwara kwenda karibu na mpaka wa nchi ambayo tunahitaji kuiuzia umeme alafu kijengwe kituo cha kuzalisha umeme hapo na hao jamaa wachukulie umeme hapo na kusambaza nchini kwao

-Gesi asilia haijazwi kwenye clynder huunganishwa direct kama dawasa wanavyounganishia watu maji

Nilisikia mradi wa kusambaza gesi majumbani ulianza kwa majaribio baadhi ya maeneo
Lengo ni kusambaza gesi ikibidi nchi nzima
na watu waache kutumia LPG na badala yake tutumie gesi yetu ni sawa lakini
Kwanini
Hii nguvu isitumike kuzalisha umeme wa kutosha kabisa na kuwauzia wananchi unit kwa shilingi 100?
Ambapo watu watatumia umeme kupikia badala ya gesi
Kutumia gesi kupikia badala ya umeme ni sawa na kutumia raw material tu gesi ifanyiwe process na iwe umeme watu wapikie umeme
Kwanini watu wanatumia gesi kupikia jibu ni kwamba gesi ni nafuu kuliko umeme maana yake tukishusha bei ya umeme hakuna sababu ya kutumia gesi tena
Kama naweza kupika kwa unit mbili au tatu ambazo ni mia mbili au miatatu kwanini nitumie gesi

Kwa kutumia gesi tu tulionayo, nchi hii inaweza kuuaga umasikini kabisa
Kuna jamaa mmoja aliwahi kusema
Sio kila kitu kinahitaji pesa vingine vinahitaji akili tu

Unapozalizasha umeme wa kutosha ndani na kuuza nje
Wananchi ukawauzia unit sh100
Unaongeza uzalishaji kwa mtu mmojammoja na taifa kwa ujumla

Uzalishaji viwandani utaongezeka sana wawekezaji wataongezeka na wataanzisha viwanda vikubwa kabisa kwa kuwa kuna umeme wa uhakika
Watu wengine hawaji kuwekeza kwakuwa wakiangalia Tanzania wanaona hakuna umeme wa uhakika

Biashara zitafanyika sana vifaa vya umeme vitauzika sana
Matumizi ya vifaa vya umeme kama mafridge, majiko ya umeme, air condition, micro wave mashine za kufua vitaongezeka kwa kuwa umeme ni rahisi mzunguko wa pesa utakuwepo
Watawala wetu wanapokwama Ni wapi?

-Huwenda nimewaza Mambo ambayo hayapo au hayawezekani naomba kueleweshwa


Hiyo siyo gesi yako tena japo imo nyumbani mwako. Wewe hujasikia "Cha mlevi huliwa na mgema". Sisi watu weusi ni walevi kiakili.

"The Blackman curse"
 
Matumizi ya gesi yataokoa misitu na hatimae kuongeza mvua na mazao ya chakula yataongezeka.

Serikali inaweza kugharamia mitungi na majiko bure kwa watu wa kima cha chini na wakulima vijijini. Wakishatumia kujaza tena inabidi wanunue.


✔✔✔✔, unaye mume??!!, huyo jamaa ninamuonea wivu kapata kichwa.🤣
 
Watawala hawajakwama ..!wanafanya cost analysis ndio maana wakaona bora kujenga Stiglers kuliko Natural Gas.

Mfano kama ukijenga Stiglers unit moja itauzwa tsh 100 ila ukitumia Natural Gas inabidi unit moja iuzwe tsh 150 na zaidi sababu cost za ku run zinakuwa kubwa.
Haha kama kitu hukijui au huna uwakika nacho bora unyamaze. Usitake kuudanganya umma kuwa kuna garama kubwa katika kitu kinachotumika kama lilivyo, yaani kitu ambacho akifanyiwi process yoyote kama maji au gas zaidi ya kukinga bomba lako na kukielekezea sehemu fulani bas.
 
Back
Top Bottom