Maswali na majibu ya wadau wa sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma

Elisha Sarikiel

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
889
1,515
Updates ! Pia nitatumia uzi huu hapa, kuweka matangazo ya ajira kutoka Sekretarieti ya ajira(Utumishi) katika Ofisi ya Rais. 🙏


Pata majibu ya baadhi ya maswali ambayo yamekuwa yakiulizwa na wadau wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kupitia njia mbalimbali za mawasiliano wakitaka kupatiwa ufafanuzi, Aidha, tutaendelea kutoa majibu kila mara kwa maswali tofauti kadri yalivyotufikia.

Kwa maelezo kamili tafadhali fungu PDF iliyoambatanishwa hapa chini.

1. Je, ni mambo gani napaswa kuzingatia wakati wa kuandaa wa Wasifu binafsi (CV)?

2. Masuala yapi napaswa kuzingatia katika kuandika barua ya maombi ya kazi ?

3. Je, naweza kufahamu wajibu na vigezo ninavyopaswa kuvizingatia kama mwombaji wa nafasi za ajira kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (masharti ya jumla).

4. Je, Mwombaji wa nafasi ya kazi anatakiwa kutekeleza vitu gani kabla ya kuwasilisha maombi ya kazi kwenye Mfumo wa Sekretarieti ya Ajira ?

1609589579057.png


Aidha, endapo mstahiliwa ana changamoto ya kitaalamu yaani inayohusiana na mfumo anaweza kuwasiliana nasi kupitia namba 0735-398259 na endapo ni suala la malalamiko anatakiwa kuwasiliana nasi kwa namba 0736-005511.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Sekretarieti ya Ajira- 9/10/2020

Pia wadau wa ajira bofya link kusoma Tahadhari ya kuchukua dhidi ya matapeli wa ajira


 

Attachments

  • SEKRETARIETI YA AJIRA _ MAMBO YA KUZINGATIWA NA WAOMBAJI KAZI.pdf
    207.2 KB · Views: 65
Sekretarieti ya ajira zipi wakati ajira hakuna? au ndugai ametengua kauli yake kwa wahitimu?
 
Updates ! Pia nitatumia uzi huu hapa, kuweka matangazo ya ajira kutoka Sekretarieti ya ajira(Utumishi) katika Ofisi ya Rais. 🙏


Pata majibu ya baadhi ya maswali ambayo yamekuwa yakiulizwa na wadau wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kupitia njia mbalimbali za mawasiliano wakitaka kupatiwa ufafanuzi, Aidha, tutaendelea kutoa majibu kila mara kwa maswali tofauti kadri yalivyotufikia.

Kwa maelezo kamili tafadhali fungu PDF iliyoambatanishwa hapa chini.

1. Je, ni mambo gani napaswa kuzingatia wakati wa kuandaa wa Wasifu binafsi (CV)?

2. Masuala yapi napaswa kuzingatia katika kuandika barua ya maombi ya kazi ?

3. Je, naweza kufahamu wajibu na vigezo ninavyopaswa kuvizingatia kama mwombaji wa nafasi za ajira kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (masharti ya jumla).

4. Je, Mwombaji wa nafasi ya kazi anatakiwa kutekeleza vitu gani kabla ya kuwasilisha maombi ya kazi kwenye Mfumo wa Sekretarieti ya Ajira ?

View attachment 1665651

Aidha, endapo mstahiliwa ana changamoto ya kitaalamu yaani inayohusiana na mfumo anaweza kuwasiliana nasi kupitia namba 0735-398259 na endapo ni suala la malalamiko anatakiwa kuwasiliana nasi kwa namba 0736-005511.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Sekretarieti ya Ajira- 9/10/2020

Pia wadau wa ajira bofya link kusoma Tahadhari ya kuchukua dhidi ya matapeli wa ajira


WAJULISHANE WENGINE TANGAZO JIPYA LA NAFASI ZA KAZI MUHAS,NHIF,MNMA & MUWASA
Naendelea kutimiza ahadi yangu ya kusogezea hapa ajira kutoka tume ya ajira leo tena 22-Januari-2021
 

Attachments

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MUHAS,NHIF,MNMA & MUWASA leo 22012021.pdf
    735.1 KB · Views: 18

UFAFANUZI WA TANGAZO LA KUITWA KAZINI LA TAREHE 25 JANUARI, 2021

Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuomba radhi kwa makosa yaliyofanyika katika tangazo la kuitwa kazini lililotoka tarehe 25 Januari, 2021 lenye Kumb. Na. EA.7/96/01/L/22 la MDA’s na LGA’s kuwa baadhi ya majina ya wasailiwa na sehemu waliko pangiwa kituo cha kazi zilitolewa kimakosa.

Hivyo, Watumishi walioonekana kuitwa kazini kwa mara ya pili katika ofisi hizo hizo ilihali wamekwisha ripoti katika taasisi zifuatazo:- Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Hospitali ya Rufaa ya Bugando (BMC), Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (IAE), Hospitali ya Kikristo Kilimanjaro (KCMC), na Halmashauri ya Wilaya ya Katavi, tunaomba waendelee na majukumu yao kama kawaida katika ofisi husika.

Aidha, ofisi ambazo Wasailiwa wake wameitwa kazini hivi sasa ni hizi zifuatazo:-
  1. Wizara ya Mifugo na Uvuvi,
  2. Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea,
  3. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga,
  4. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga,
  5. Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua,
  6. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo,
  7. Halmashauri ya Wilaya ya Manspaa ya Musoma,
  8. Halmashauri ya Wilaya ya Njombe,
  9. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba,
  10. Shirika la Madini la Taifa (STAMICO),
  11. Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI),
  12. Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE),
  13. Chuo Kikuu Mzumbe – MU,
  14. Chuo Kikuu cha Dodoma – UDOM,
  15. Chuo Kikuu Ardhi – ARU,
  16. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji – NIT,
  17. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama Shinyanga – KASHWASA,
  18. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Musoma – MUWASA,
  19. Mamlaka ya Elimu na Mafunzo – VETA,
  20. Mahakama ya Rufaa Tanzania,
  21. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya – NHIF,
  22. Baraza la Taifa la Ujenzi - NCC
  23. Shirika la Umeme Tanzania, Kanda ya Mtwara,

Hivyo, tunapenda kuwaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaokuwa umejitokeza kutokana na makosa yaliyofanyika katika tangazo hilo. Kwahiyo, tangazo sahihi la kuitwa kazini mwezi Januari ni lililotoka upya tarehe 26 Januari, 2021 lenye jumla ya majina tisini (90), lenye Kumb. Na. EA.7/96/01/L/24.

Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika Sekretarieti ya Ajira.

26 Januari,2021.

 
TANGAZO LA KAZI VETA, MNH & CBE MWISHO MACHI -11-2021
Jumla ya nafasi za kazi ni 26 kama utakavyoziona kwenye Pdf chini.
 

Attachments

  • 20212602121655TANGAZO LA KAZI VETA, MNH & CBE FEBRUARY 26 2021- (1).pdf
    479.5 KB · Views: 11
TANGAZO LA KAZI VETA, MNH & CBE MWISHO MACHI -11-2021
Jumla ya nafasi za kazi ni 26 kama utakavyoziona kwenye Pdf chini.
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAMISEMI/GLOBAL FUND NA MAOMBI MWISHO 14-MACHI-2021
Jumla ya nafasi 6 kama utakavyoona kwenye pdf chini
 

Attachments

  • 210305104218TANGAZO LA GLOBAL FUND TAMISEMI1.pdf
    537.2 KB · Views: 7
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TAMISEMI/GLOBAL FUND NA MAOMBI MWISHO 14-MACHI-2021
Jumla ya nafasi 6 kama utakavyoona kwenye pdf chini
TANGAZO LA KAZI TIE NA MUHAS NA MWISHO WA MAOMBI TAREHE 14-MACHI-2021
 

Attachments

  • 20210103251806TANGAZO LA KAZI TIE NA MUHAS (1).pdf
    390.9 KB · Views: 6
TANGAZO LA KAZI TAFIRI, CBT, TAFORI, NHC, UDOM NA TIRA
Fungua pdf kutazama nafasi hizo na mwisho wa maombi tarehe 18-Machi-2021.
 

Attachments

  • 210304181255TANGAZO LA KAZI TAFIRI, CBT, TAFORI, NHC, UDOM and TIRA.pdf
    531.7 KB · Views: 8
TANGAZO LA KAZI WAKALA WA VIPIMO (WMA) – AJIRA ZA MKATABA

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wakala wa Vipimo (WMA) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mia mbili na tano (205) kama zilivyoainishwa katika tangazo hili ambalo lipo katika pdf chini !
 

Attachments

  • 20210503082133TANGAZO LA KAZI WAKALA WA VIPIMO (WMA).pdf
    487.9 KB · Views: 10
Serikali yetu Chillah imeendelea kumwaga ajira kwa wingi, kila kona ya nchi ili kutimiza ahadi ya ajira aliyotangaza mhe.Rais dkt.John Magufuli wakati wa kampeni ya uchaguzi mkuu.

TANGAZO LA KAZI YA MUDA YA KUTENGA MAENEO - NAFASI 300

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inawatangazia Watanzania wenye sifa zilizoainishwa hapo chini pamoja na afya njema kuomba kazi ya muda itakayofanyika katika mikoa yote ya Tanzania Bara ya Kutenga Maeneo kwa ajili ya maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 (Census Geography). Muombaji awe tayari kufanya kazi katika sehemu na mazingira yoyote ndani ya Tanzania Bara.

Waombaji wanatakiwa kuwa ni watanzania wenye sifa zifuatazo:
  1. ) Umri wa miaka 18 au zaidi,
  2. ) Elimu ya Kidato cha Nne na Kuendelea mwenye uzoefu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa na NBS,
  3. ) Elimu ya Shahada/Stashahada/Astashahada ya Urasimu Ramani, Upimaji wa Ramani, Mipango Miji na Kozi zinazofanana na hizo watapewa kipaumbele cha kwanza.
Fomu ya maombi inapatikana kupitia Tovuti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu www.nbs.go.tz/ajira. Hivyo, muombaji apakue fomu hiyo na kuijaza kikamilifu na aitume kupitia barua pepe ifuatayo; barua@nbs.go.tz kabla ya tarehe 14 Machi, 2021 saa Tisa na Nusu Alasiri.



NB: Waombaji wote wanatakiwa kuambatisha vyeti vya taaluma na wasifu (CV). Watakaochaguliwa kwa ajili ya usaili huo watajulishwa. Aidha, NBS haitahusika na gharama zozote za kuhudhuria kwenye usaili huo.



Imetolewa Na


KAIMU MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU


04 Machi, 2021
 

Attachments

  • Nafasi za kazi 300 kutoka Ofisi ya Takwimu za muda.pdf
    77.8 KB · Views: 6
TANGAZO LA KAZI YA MUDA YA KUTENGA MAENEO - NAFASI 300

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inawatangazia Watanzania wenye sifa zilizoainishwa hapo chini pamoja na afya njema kuomba kazi ya muda itakayofanyika katika mikoa yote ya Tanzania Bara ya Kutenga Maeneo kwa ajili ya maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 (Census Geography). Muombaji awe tayari kufanya kazi katika sehemu na mazingira yoyote ndani ya Tanzania Bara.

Waombaji wanatakiwa kuwa ni watanzania wenye sifa zifuatazo:
  1. ) Umri wa miaka 18 au zaidi,
  2. ) Elimu ya Kidato cha Nne na Kuendelea mwenye uzoefu wa tafiti mbalimbali zilizofanywa na NBS,
  3. ) Elimu ya Shahada/Stashahada/Astashahada ya Urasimu Ramani, Upimaji wa Ramani, Mipango Miji na Kozi zinazofanana na hizo watapewa kipaumbele cha kwanza.
Fomu ya maombi inapatikana kupitia Tovuti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu www.nbs.go.tz/ajira. Hivyo, muombaji apakue fomu hiyo na kuijaza kikamilifu na aitume kupitia barua pepe ifuatayo; barua@nbs.go.tz kabla ya tarehe 14 Machi, 2021 saa Tisa na Nusu Alasiri.



NB: Waombaji wote wanatakiwa kuambatisha vyeti vya taaluma na wasifu (CV). Watakaochaguliwa kwa ajili ya usaili huo watajulishwa. Aidha, NBS haitahusika na gharama zozote za kuhudhuria kwenye usaili huo.



Imetolewa Na

KAIMU MTAKWIMU MKUU WA SERIKALI

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU


04 Machi, 2021


Iliishia wapi
 
NAFASI MBILI ZA MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II
Mwajiri ni katibu mkuu wizara ya fedha na mipango na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kaliua na mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 24, Mei, 2021.

Maelezo zaidi fungua pdf hapa chini !
 

Attachments

  • 210513090156TANGAZO LA KAZI WIZARA YA FEDHA NA KALIUA 5 MEI, 2021 AS-MDA.pdf
    247.3 KB · Views: 4
NAFASI MBILI ZA MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II
Mwajiri ni katibu mkuu wizara ya fedha na mipango na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya kaliua na mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 24, Mei, 2021.

Maelezo zaidi fungua pdf hapa chini !
TANGAZO LA NAFASI TANO ZA KAZI YA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI

Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Makambako, anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa ,kuomba nafasi tano (5) wazi ya ajira ya mtendaji wa kijiji katikamasharti ya kudumu.

Maelezo zaidi fungua fungua pdf hapa chini; lakini kumbuku mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30-mei-2021
 

Attachments

  • 20211405541149TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURIYA MJI MAKAMBAKO.pdf
    452.8 KB · Views: 6
TANGAZO LA NAFASI TANO ZA KAZI YA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI

Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Makambako, anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa ,kuomba nafasi tano (5) wazi ya ajira ya mtendaji wa kijiji katikamasharti ya kudumu.

Maelezo zaidi fungua fungua pdf hapa chini; lakini kumbuku mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30-mei-2021
CHIEF EXECUTIVE OFFICER– 1 POST

On behalf of the Tanzania Electrical, Mechanical and Services Agency (TEMESA), Public Service Recruitment Secretariat invites dynamics and suitable qualified Tanzanians to fill vacant post of the Chief Executive Officer in the aforementioned institution.

Deadline for application is 30th May, 2021
 

Attachments

  • 20211705061601TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TEMESA.pdf
    557.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom