Vivac
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 466
- 460
Na evidence piaBinadamu wengine waliokuwepo wakati wa uumbaji au wa tukio lipi mkuu. Nisaidie nielewe
Na evidence piaBinadamu wengine waliokuwepo wakati wa uumbaji au wa tukio lipi mkuu. Nisaidie nielewe
Mimi naelewa kwamba alienda kuoa ndugu sake waliotawanyika huko na huko baada ya Adamu kuzaa wana wa kiume na wa kike! Au huenda mtazamo wangu si sahihi!Mwanzo4 inajieleza kabisa kwamba habil akakimbilia nchi nyingine na akaoa huko
Ndo hvohvo.Mimi naelewa kwamba alienda kuoa ndugu sake waliotawanyika huko na huko baada ya Adamu kuzaa wana wa kiume na wa kike! Au huenda mtazamo wangu si sahihi!
Hao watu waliumbwa na nani?Hajaoa ndg zake isipokuwa kulikuwa na watu wengine ambao hawatajwi nimesema kuwa biblia inaanzia hapo kwa adamu na hawa kueleza habari za uumbaji,lakini kiimani adam na hawa ndo wa kwanza ki uchunguzi ni tofauti
Naomba ufafanue zaidi hizo za kiuchunguzi ili tushirikishane. Tunaweza kuta tunakutana pale pale.Sasa naomba tuzungumze ki uchunguzi na si kiimani
Hebu tujuze zaidi. Umejuaje hilo!Kinachonishangaza hata Suleman alikuwepo kabla hata mungu hajauumba ulimwengu sasa sijui walikuwa wap?
Hebu tujuze zaidi. Umejuaje hilo!
OK. Tungemjua huyo ambaye prophecy hii inamwita "I" tusingepata shida kujua kwamba Yeye alikuwepo kabla ya dunia na wanadamu wote kuwepo.
Soma taratibu uelewe,,pia soma version za kiswahili hasa King James na Union version.Lugha iliotumika ni mafumbo haiko straight,,Suleiman alikuwa na Roho tofauti ndani yake iliomwezesha kuwa na hekma,,maarifa na Uongozi the same to baba yake Daudi,,,hakuandika ya akili yake bali yale aliyofunuliwa.Usipotoshe haya maandiko ila yatumie kutengeneza mjadala,,usifikie hitimisho Mapema..Maneno ya biblia yana tofauti kubwa sana na innovation za physics na science kwa ujumla.Proverb 8 / methali 8:22-30
22 The Lord possessed me in the beginning of his ways, before he made anything, from the beginning.
23 I was ordained from eternity, and out of antiquity, before the earth was formed.
24 The abyss did not yet exist, and I was already conceived; neither had the fountains of waters yet erupted.
25 The mountains, with their great mass, had not yet been established. Before the hills, I was brought forth.
26 Still he had not made the earth, and the rivers, and the poles of the globe of the earth.
27 I was already present: when he prepared the heavens; when, with a certain law and a circuit, he fortified the abyss;
28 when he made firm the sky above, and set free the fountains of waters;
29 when he encompassed the sea within its limits, and laid down a law for the waters, lest they transgress their limits; when he weighed the foundations of the earth.
30 I was with him in composing all things. And I was delighted, throughout every day, by playing in his sight at all times,
Naomba kwa mwenye swahili vision na yeye a post hiki kifungu ili na wengine nao pia wapate ktk lugha ya kiswahili
Soma taratibu uelewe,,pia soma version za kiswahili hasa King James na Union version.Lugha iliotumika ni mafumbo haiko straight,,Suleiman alikuwa na Roho tofauti ndani yake iliomwezesha kuwa na hekma,,maarifa na Uongozi the same to baba yake Daudi,,,hakuandika ya akili yake bali yale aliyofunuliwa.Usipotoshe haya maandiko ila yatumie kutengeneza mjadala,,usifikie hitimisho Mapema..Maneno ya biblia yana tofauti kubwa sana na innovation za physics na science kwa ujumla.