Maswali muhimu unapokuwa mbali na Mwenza wako

Kiokotee

JF-Expert Member
Mar 21, 2022
1,675
2,194
Kwa Usalama wa wewe na Mpenzi wako hasa unapokuwa umemuacha nyumbani peke yake au hata familia na wewe upo mbali nae,Kuna maswali ya mara kwa mara mnapaswa kuulizana ili kila mtu kujua Usalama wa mwenza wake huko Alipo;

1. Upo wapi Mpenzi-Hili swali wachepukaji hawalipendi sana, bila kujua ni muhimu sana kwa Usalama wao.

2. Unafanya nini

3. Umekula nn leo-Labda ulikula Sumu ukapata madhara ukawa huna fahamu, kama ulimwambia mpezi wako utarahisisha uchunguzi.

4. Umevaaje leo honey?
 
Kwa Usalama wa wewe na Mpenzi wako hasa unapokuwa umemuacha nyumbani peke yake au hata familia na wewe upo mbali nae,Kuna maswali ya mara kwa mara mnapaswa kuulizana ili kila mtu kujua Usalama wa mwenza wake huko Alipo;
1.Upo wapi Mpenzi-Hili swali wachepukaji hawalipendi sana,Bila kujua ni muhimu sana kwa Usalama wao.
2.Unafanya nini
3.Umekula nn leo-Labda ulikula Sumu ukapata madhara ukawa huna fahamu,Kama ulimwambia mpezi wako utarahisisha uchunguzi.
4.Umevaaje leo honey?
Bonge la uzi wakwetu, ila watakuja wajuaji wa JF watasema umeandika Utopolo
 
Kwa Usalama wa wewe na Mpenzi wako hasa unapokuwa umemuacha nyumbani peke yake au hata familia na wewe upo mbali nae,Kuna maswali ya mara kwa mara mnapaswa kuulizana ili kila mtu kujua Usalama wa mwenza wake huko Alipo;

1.Upo wapi Mpenzi-Hili swali wachepukaji hawalipendi sana,Bila kujua ni muhimu sana kwa Usalama wao.

2.Unafanya nini

3.Umekula nn leo-Labda ulikula Sumu ukapata madhara ukawa huna fahamu,Kama ulimwambia mpezi wako utarahisisha uchunguzi.

4.Umevaaje leo honey?
Ngoja nikutie moyo, ukijiona hujamkuta mwenzanko bikira huna sababu ya kuumiza kichwa, tafuta hela kama wanavyootusia, na wewe siku moja moja kamata shangingi osha rungu.

Maisha yenyewe yako wapi yakukupa stress kisa mtu mliyekutana ukubwani?

Kumbuka condom na vilainishi vinasevu, cheza salama. Achana na mawazo ya kijima hayo.
 
Huu Uzi unatuhusu sisi ambao wake zetu wamehamishiwa Dodoma na sisi tumebaki Dar na watoto.
Ndio maana hatupatagi usingizi.
Unahisi hisi tu.
Naibu Spika Musa Zungu mke wake anaishi Uingereza muda mrefu tu.

Hebu badirikeni. Mkitaka kuona hizo nyapu ni useless tu sometime kaa na madaktari au wakunga.

Nioneshe daktari haswa unayemjuwa wewe uniambie kama anasumbuliwa na hayo madude.
 
Naibu Spika Musa Zungu mke wake anaishi Uingereza muda mrefu tu.

Hebu badirikeni. Mkitaka kuona hizo nyapu ni useless tu sometime kaa na madaktari au wakunga.

Nioneshe daktari haswa unayemjuwa wewe uniambie kama anasumbuliwa na hayo madude.
Mimi nikilala iko pembeni yangu nimeiwekea mkono napata amani Sana.
Siwezi kukaa mwezi mzima bila kuikagua. Ndio nilivyoumbwa.
Eti my wife wangu anakaa Uganda Mimi nasikiliza mziki wa mbu walio nje ya neti huku Kimara. No way.
 
Naibu Spika Musa Zungu mke wake anaishi Uingereza muda mrefu tu.

Hebu badirikeni. Mkitaka kuona hizo nyapu ni useless tu sometime kaa na madaktari au wakunga.

Nioneshe daktari haswa unayemjuwa wewe uniambie kama anasumbuliwa na hayo madude.
Njoo nikuonyeshe,, Tena sio daktari wa mchezo mchezo
 
Kwa Usalama wa wewe na Mpenzi wako hasa unapokuwa umemuacha nyumbani peke yake au hata familia na wewe upo mbali nae,Kuna maswali ya mara kwa mara mnapaswa kuulizana ili kila mtu kujua Usalama wa mwenza wake huko Alipo;

1.Upo wapi Mpenzi-Hili swali wachepukaji hawalipendi sana,Bila kujua ni muhimu sana kwa Usalama wao.

2.Unafanya nini

3.Umekula nn leo-Labda ulikula Sumu ukapata madhara ukawa huna fahamu,Kama ulimwambia mpezi wako utarahisisha uchunguzi.

4.Umevaaje leo honey?
Sisi wazee hutunaga hizo.
 
Kwa Usalama wa wewe na Mpenzi wako hasa unapokuwa umemuacha nyumbani peke yake au hata familia na wewe upo mbali nae,Kuna maswali ya mara kwa mara mnapaswa kuulizana ili kila mtu kujua Usalama wa mwenza wake huko Alipo;

1.Upo wapi Mpenzi-Hili swali wachepukaji hawalipendi sana,Bila kujua ni muhimu sana kwa Usalama wao.

2.Unafanya nini

3.Umekula nn leo-Labda ulikula Sumu ukapata madhara ukawa huna fahamu,Kama ulimwambia mpezi wako utarahisisha uchunguzi.

4.Umevaaje leo honey?
Ukiwa una umiza kichwa jinsi ya kupata ada shule za watoto na mahitaji mengine ya familia, huo muda wa kuuliza hayo maswali unaupata wapi?
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom