Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,674
Yapo maswali muhimu ya kuendelea kujuliza kuhusu chanjo ya kirusi cha corona.

Ieleweke kuwa jamii ya virusi vya mafua imekuwepo nchini Tanzania kwa muda mrefu.
Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kuugua mafua japo mara mbili kila mwaka.

Ni ukweli usio shaka kwamba Tanzania na dunia imekuwa ikiathiriwa na virusi mbalimbali vya mafua na pia ni ukweli kuwa kila baada ya miaka mia moja kunakuwa na mlipuko wa mafua kidunia yaani pandemic.

Mwaka 2019 umetokea mlipuko wa kidunia wa mafua aina ya covid ambao umezua taharuki duniani.Virusi wa ugonjwa huu ni jamii ya virusi ambavyo vimekuwa vikisumbua sehemu mbalimbali duniani na upo uwezekano wakati flani Tanzania iliathiriwa lakini pengine kutokana na vifaa vya kiuchunguzi kuwa duni havikutambilika,
Hapa ninamaanisha wakati wa Avian flue huko mashariki ya kati inawezekana Watanzania waliambukizwa,waafrika waliambukizwa kutokana na muingiliano wa kidunia.

Mwaka 2019 mafua yameleta taharuki duniani pengine kutokana na makosa ya WHO au washirika wengine wa maswala ya afya.Taharuki hii imepelekea reaction ya mataifa bila mpangilio na hivyo kuleta athari ya kupoteza maisha.

Wizara ya afya ikifuatilia takwimu zake kwa kina,usahihi na ukweli wa wazi itaona magonjwa au vifo vitokanavyo na mafua au pneimonia ina mfanano yaani similarity kwa miaka kadhaa,nasema hivi kwani wakati wa taharuki ya covid vifo vingi vilisingiziwa kuwa ni covid na vile vifo tulivyozoea vya pneumonia au magonjwa ya upumuaji vilipungua,Hapa naamanisha magonjwa ya njia ya upumuaji katika kipindi cha mlipuko wa covid yalishift na kubatizwa jina la covid.

Analysis ikifanyika naamini itaonesha morbidity na mortality due to respiratory illnesses remains the same let say kwa miaka 10 iliyopita.

Naendelea kusisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana tulipoteza wagonjwa hasa kabla ya mei 2020 unnecessary kutokana na taharuki.
Ukitaka kujua ukweli huu fanya analysis ya vifo vya magonjwa ya njia ya hewa kwa mwaka 2021 au baada ya mwezi mei 2020 ambapo watanzania waliondolewa hofu na wataalamu wa afya kutakiwa kuendelea kutibu corona kana mafua mengine.

Naamini pia iwapo tutaendelea na msimamo ule ule wa kuitibu corona kama other influenza like illnesses kwa mwaka ujao na zaidi tutapata matokeo yale yale sio tu hapa Tanzania bali duniani kwa ujumla.

Nikitolea mfano je takwimu za ugonjwa na vifo vya kifua kikuu ziliendaje wakati huu tulipotaharuki na corona?naamini Ugonjwa na vifo vya TB vilipungua,hii ikamaanisha zipo cases za TB zilizobandikwa jina la covid 19 na watu wakapotea.

If my theory is right basi mwaka 2020 ugonjwa wa TB na vifo vyake vilipungua...swali je vilienda wapi...Jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.

Vivyo hivyo ugonjwa au vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo/kisukari vinawezekana vilipungua pia ,vilienda wapi ...jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
wataalamu tufanye analysis zaidi je takwimu za vifo vyote kwa mwaka (hasa vya watu wazima)2016,17,18,19,20,21 viliongezeka au kupungua au vilishabihiana??
my assumption ni kuwa almost vilibaki vile vile.
Msimamo wangu kama mtaalamu ni kuwa taharuki ya kidunia ilifunika ukweli wa kisayansi na bado inataka tufanye maamuzi ya kukurupuka.

Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?

2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa si kirusi kingine cha mafua?

3-Kwa nini miaka yote hatujawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?

4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujidai tunaikinga corona kwa chanjo vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?
I we ready for the pace of preventing almost every desease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority on morbidity and mortality prevention in Tanzania?

5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??

6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataifa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??

7-Je Takwimu zinatuonesha kuwa tukiendelea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??

8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.
 
Yapo maswali muhimu ya kuendelea kukiliza kuhusu chanjo ya kirusi cha corona.

Ieleweke kuwa jamii ya virusi vya mafua imekuwepo nchini Tanzania kwa muda mrefu.
Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kuugua mafua japo mara mbili kila mwaka.
ni ukweli usio shaka kwamba Tanzania na dunia imekuwa ikiathiriwa na virusi mbalimbali vya mafua.na pia ni ukweli kuwa kila baada ya miaka mia moja kunakuwa na mlipuko wa mafua kidunia yaani pandemic.
mwaka 2019 umetokea mlipuko wa kidunia wa mafua aina ya covid ambao umezua taharuku duniani.virusi wa ugonjwa huu ni jamii ya virusi ambavyo vinekuwa vikisumbua sehemu mbalimbali duniani na upo uwezekano wakati flani Tanzania iliathiriwa pengine kutokana na vifaa vya kiuchunguzi kuwa duni havikutambilika.
Hapa ninamaanisha wakati wa Avian flue huko mashariki ya kati inawezekana Watanzania waliambukizwa,waafrika waliambukizwa kitokana na muingiliano wa kidunia.
2019 mafua yameleta taharuki duniani pengine kutokana na makosa ya WHO au washirika wengine wa maswala ya afya.Taharuki hii imepelekea reaction ya mataifa bila mpangilio na hivyo kuleta athari ya kupoteza maisha.

Wizara ya afya ikifuatilia takwimu zake kwa kina,usahihi na ukweli wa wazi itaona magonjwa au vifo vitokanavyo na mafua au pneimonia ina mfanano yaani similarity kwa miaka kadhaa.nasema hivi kwani wakati wa taharuki ya covd vifo vingi vilisingiziwa kuwa ni covid na vile vifo tulivyozoea vya pneumonia au changamoto ya upumuaji vilipungua.hapa naamanisha magonjwa ya nkia ya upumuaji katika kipindi cha mlipuko wa covid yalishift na kubatizwa jina la covid.
analysis ikifanyika naamini itaonesha morbidity na mortality due to respiratory illnesses remains the same let say kwa miaka 10 iliyopita.
Naendelea kusisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana tulipoteza wagonjwa hasa kabla ya mei 2020 unnecessary kutokana na taharuki.
Ukitaka kujua ukweli huu fanya analysis ya vifo vya magonjwa ya njia ya hewa kwa mwaka 2021 au baada ya mwezi mei 2020 ambapo watanzania waliondolewa hofu na wataalamu wa afya kutakiwa kuendelea kutibu corona kana mafua mengine.

Naamini pia iwapo tutaendelea na msimamo ule ule wa kuitibu corona kama other influenza illnesses kwa mwaka ujao na zaidi tutapata matokeo yale yale sio tu hapa Tanzania bali duniani kwa ujumla.

Nikitolea mfano je takwimu za ugonjwa na vifo vya kifua kikuu ziliendaje wakati huu tylipotaharuki na corona?naamini Ugonjwa na vifo vya TB vilipungua....hii ikamasnisha zipo cases za TB zilizobandikwa jina la covid 19 na watu wakapotea.If my theory is right basi mwaka 2020 ugonjwa wa TB na vifo vyake vilipungua...swali je vilienda wapi...Jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
Vivyo hivyo ugonjw au vifo vitikanavyo na magonjwa ya moyo/kisukari vinawezekana vilipungua pia ...vilienda wapi ...jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
wataalamu tufanye analysis zaidi je takwimu za vifo vyote kwa mwaka (hasa vya watu wazima)2016,17,18,19,20,21 viliongezeka au kupungua au vilishabihiana??
my assumption ni kuwa almost vilibaki vile vile.
Msimamo wangu kama mtaalamu ni kuwa taharuki ya kidunia ilifunika ukweli wa kisayansi na bado inataka tufanye maamuzi ya kukurupuka.

Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?
2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa no kirusi kingine cha madua?
3-Kwa nini miaka yote hatuhawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?
4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujodai tunaikinga corona kwa chanko vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?I we ready for the pace of preventing almost every diease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority of desease and mortality prevention?
5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??
6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataufa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??
7-Je Takwimu zunatuonesha kuwa tukiendekea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??
8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.
Nakubaliana nawe kuwa sijawahi sikia au kuona kirusi chenye tabia zote namna ilivyo covid yaani hadi nilikuwa nacheka.
 
Yapo maswali muhimu ya kuendelea kujuliza kuhusu chanjo ya kirusi cha corona.

Ieleweke kuwa jamii ya virusi vya mafua imekuwepo nchini Tanzania kwa muda mrefu.
Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kuugua mafua japo mara mbili kila mwaka.

Ni ukweli usio shaka kwamba Tanzania na dunia imekuwa ikiathiriwa na virusi mbalimbali vya mafua na pia ni ukweli kuwa kila baada ya miaka mia moja kunakuwa na mlipuko wa mafua kidunia yaani pandemic.

Mwaka 2019 umetokea mlipuko wa kidunia wa mafua aina ya covid ambao umezua taharuki duniani.Virusi wa ugonjwa huu ni jamii ya virusi ambavyo vimekuwa vikisumbua sehemu mbalimbali duniani na upo uwezekano wakati flani Tanzania iliathiriwa lakini pengine kutokana na vifaa vya kiuchunguzi kuwa duni havikutambilika,
Hapa ninamaanisha wakati wa Avian flue huko mashariki ya kati inawezekana Watanzania waliambukizwa,waafrika waliambukizwa kutokana na muingiliano wa kidunia.

Mwaka 2019 mafua yameleta taharuki duniani pengine kutokana na makosa ya WHO au washirika wengine wa maswala ya afya.Taharuki hii imepelekea reaction ya mataifa bila mpangilio na hivyo kuleta athari ya kupoteza maisha.

Wizara ya afya ikifuatilia takwimu zake kwa kina,usahihi na ukweli wa wazi itaona magonjwa au vifo vitokanavyo na mafua au pneimonia ina mfanano yaani similarity kwa miaka kadhaa,nasema hivi kwani wakati wa taharuki ya covid vifo vingi vilisingiziwa kuwa ni covid na vile vifo tulivyozoea vya pneumonia au magonjwa ya upumuaji vilipungua,Hapa naamanisha magonjwa ya njia ya upumuaji katika kipindi cha mlipuko wa covid yalishift na kubatizwa jina la covid.

Analysis ikifanyika naamini itaonesha morbidity na mortality due to respiratory illnesses remains the same let say kwa miaka 10 iliyopita.

Naendelea kusisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana tulipoteza wagonjwa hasa kabla ya mei 2020 unnecessary kutokana na taharuki.
Ukitaka kujua ukweli huu fanya analysis ya vifo vya magonjwa ya njia ya hewa kwa mwaka 2021 au baada ya mwezi mei 2020 ambapo watanzania waliondolewa hofu na wataalamu wa afya kutakiwa kuendelea kutibu corona kana mafua mengine.

Naamini pia iwapo tutaendelea na msimamo ule ule wa kuitibu corona kama other influenza like illnesses kwa mwaka ujao na zaidi tutapata matokeo yale yale sio tu hapa Tanzania bali duniani kwa ujumla.

Nikitolea mfano je takwimu za ugonjwa na vifo vya kifua kikuu ziliendaje wakati huu tulipotaharuki na corona?naamini Ugonjwa na vifo vya TB vilipungua,hii ikamaanisha zipo cases za TB zilizobandikwa jina la covid 19 na watu wakapotea.

If my theory is right basi mwaka 2020 ugonjwa wa TB na vifo vyake vilipungua...swali je vilienda wapi...Jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.

Vivyo hivyo ugonjwa au vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo/kisukari vinawezekana vilipungua pia ,vilienda wapi ...jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
wataalamu tufanye analysis zaidi je takwimu za vifo vyote kwa mwaka (hasa vya watu wazima)2016,17,18,19,20,21 viliongezeka au kupungua au vilishabihiana??
my assumption ni kuwa almost vilibaki vile vile.
Msimamo wangu kama mtaalamu ni kuwa taharuki ya kidunia ilifunika ukweli wa kisayansi na bado inataka tufanye maamuzi ya kukurupuka.

Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?

2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa si kirusi kingine cha mafua?

3-Kwa nini miaka yote hatujawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?

4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujidai tunaikinga corona kwa chanjo vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?
I we ready for the pace of preventing almost every desease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority on morbidity and mortality prevention in Tanzania?

5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??

6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataifa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??

7-Je Takwimu zinatuonesha kuwa tukiendelea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??

8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.
Vibaraka wa mabeberu naona wamenuna!! Utasubiri sana kuona arguments za nguvu hapa!! Kinachotafutwa si hoja bali ni kufurahisha mabeberu tu!!
 
Chanjo za Ndui, polio na nyinginezo zilikuja kipindi hata ubaguzi wa rangi ukiwa juu. Tena baada ya ukoloni, hao wabaya walikuwa na fursa kubwa ya kutumaliza.

Hizo chanjo za covid, zipo za mchina, mrusi, mjerumani, mmarekani , mwingereza. Itakua ni jambo la kistaajabisha kuamini mataifa yote hayo yenye itikadi na mitizamo tofauti ya kidini na siasa, yakawa na lengo moja la kuangamiza watu duniani.

Hadithi za 666 tumezisikia muda tu , hasa kwenye masuala ya afya. Kuanzia njia za uzazi wa mpango hadi ugonjwa wa ukimwi.

Nachoweza kuungana na wengi, ni masuala haya ya chanjo na madawa, ni biashara kubwa pia ni silaha za kisiasa. Sisi tulioachwa nyuma tujijengee uwezo wetu wa ndani wa kisayansi , sivyo tutabakia kupiga umbea na fikra potofu za majukwaa feki ya kiimani
 
Chanjo za Ndui, polio na nyinginezo zilikuja kipindi hata ubaguzi wa rangi ukiwa juu. Tena baada ya ukoloni, hao wabaya walikuwa na fursa kubwa ya kutumaliza.

Hizo chanjo za covid, zipo za mchina, mrusi, mjerumani, mmarekani , mwingereza. Itakua ni jambo la kistaajabisha kuamini mataifa yote hayo yenye itikadi na mitizamo tofauti ya kidini na siasa, yakawa na lengo moja la kuangamiza watu duniani.

Hadithi za 666 tumezisikia muda tu , hasa kwenye masuala ya afya. Kuanzia njia za uzazi wa mpango hadi ugonjwa wa ukimwi.

Nachoweza kuungana na wengi, ni masuala haya ya chanjo na madawa, ni biashara kubwa pia ni silaha za kisiasa. Sisi tulioachwa nyuma tujijengee uwezo wetu wa ndani wa kisayansi , sivyo tutabakia kupiga umbea na fikra potofu za majukwaa feki ya kiimani
Mkuu una uhakika gani kwamba hizo chanjo hazikuwa na madhara,acheni ujinga jamani.Hawa watu sio wajinga,they kill you slowly,li usistuke.Wanatumia system ya thesis synthesis antithesis in the process.Infact chanjo zilizopita ingawa zilikuwa zinaua na zilikuwa na madhara mbali mbali,lakini kwa wale walio survive the previous so called vaccines,zilikuwa zinaandaa mazingira ya hii master kill:the C-19 shot.
 
Mkuu una uhakika gani kwamba hizo chanjo hazikuwa na madhara,acheni ujinga jamani.Hawa watu sio wajinga,they kill you slowly,li usistuke.Wanatumia system ya thesis synthesis antithesis in the process.Infact chanjo zilizopita ingawa zilikuwa zinaua na zilikuwa na madhara mbali mbali,lakini kwa wale walio survive the previous so called vaccines,zilikuwa zinaandaa mazingira ya hii master kill:the C-19 shot.
Ushahidi walau wa jumla unaonesha vifo vya polio na magonjwa mengine yenye chanjo vimepungua kama sio kutokomezwa kabisa. Hii ni "fact"


Kuhusu athari ya chanjo hizo, zinaweza kuwepo ila tunahitaji taarifa na tafiti zaidi na sio hisia kuhukumu chanjo hizo na zijazo. Ujinga ni kuhukumu wakati huna taarifa za kina kuhusu athari za chanjo ukilinganisha na faida yake hapo juu.

Mjadala huu unashadadiwa kwa mtizamo wa kidini/hisia/imani zaidi . nadhani lugha za wanasayansi ni ngumu kueleweka kwa wengi. Tuwaacheni wanasayansi wafanye kazi zao na kutushauri, puuzeni wasanii wakina gwajiboy
 
Ushahidi walau wa jumla unaonesha vifo vya polio na magonjwa mengine yenye chanjo vimepungua kama sio kutokomezwa kabisa. Hii ni "fact"


Kuhusu athari ya chanjo hizo, zinaweza kuwepo ila tunahitaji taarifa na tafiti zaidi na sio hisia kuhukumu chanjo hizo na zijazo. Ujinga ni kuhukumu wakati huna taarifa za kina kuhusu athari za chanjo ukilinganisha na faida yake hapo juu.

Mjadala huu unashadadiwa kwa mtizamo wa kidini/hisia/imani zaidi . nadhani lugha za wanasayansi ni ngumu kueleweka kwa wengi. Tuwaacheni wanasayansi wafanye kazi zao na kutushauri, puuzeni wasanii wakina gwajiboy
Umevihesabu hivyo vifo wewe mwenyewe mkuu, au unategemea taarifa za WHO.Acheni kuwa parots,they cook figures to try to show us that their plans to improve our livelihoods are successiful,but the truth is always the opposite,sio katika afya tu,lakini kila mahali,that is what they have been doing for centuries.

Mkuu common sense should tell you that a person who plans to kill you cannot make plans to save your life, that is unthinkable.Au hamjui kwamba they have a depopulation plan specifically Africans,but also for humanity as a whole.Ufalme ukifitinika hauwezi kusimama,is that not straight forward enough?! Why are we cheated so easily.Tusiwaamini hawa watu kabisa,they have nothing good for us,they are always planning against us.We have to change our mindset na tuwaone in their true colours.

Look at what two of of Bilderberg Group members are saying,including Henry Kissinger👇.Hawa ni watu wa kuamini in anything they say because remember these are members of the Bildeberg Group,ambao ndio waliojipa mamlaka ya ku-decide the fate of humanity.So what they say must be true.

IMG-20210512-WA0008.jpg


IMG-20210519-WA0004.jpg
 
Ushahidi walau wa jumla unaonesha vifo vya polio na magonjwa mengine yenye chanjo vimepungua kama sio kutokomezwa kabisa. Hii ni "fact"


Kuhusu athari ya chanjo hizo, zinaweza kuwepo ila tunahitaji taarifa na tafiti zaidi na sio hisia kuhukumu chanjo hizo na zijazo. Ujinga ni kuhukumu wakati huna taarifa za kina kuhusu athari za chanjo ukilinganisha na faida yake hapo juu.

Mjadala huu unashadadiwa kwa mtizamo wa kidini/hisia/imani zaidi . nadhani lugha za wanasayansi ni ngumu kueleweka kwa wengi. Tuwaacheni wanasayansi wafanye kazi zao na kutushauri, puuzeni wasanii wakina gwajiboy
Mimi ni mwanasayansi mkuu,na ninacho ongea ndio sayansi yenyewe.Kinachoendelea kwenye C-19 kwa sasa is fake science,kwa hiyo hatuwezi kukubali ujinga huo uwe copied kwenye nchi yetu,we must raise our voices.

Mkuu siku hizi wanasayansi wengine wananunuliwa kwa fedha,sasa tukiwaachia Wanasayansi wa namna hiyo watuamulie mambo yetu, tutaingizwa mkenge sana.

Niseme pia kwamba serikali zinanunuliwa!Katika swala hili hili la C-19,serikali ya Nigeria ilikuwa offered mrungura wa US$ 10 billion na Bill Gates,kwa bahati nzuri serikali ya Nigeria ilikataa.
Labda kuna kitu ambacho watu wengi are ignorant about.Katika swala la C-19,kuna a lot of money at stake za mrungura,kwa kuwa the whole thing is fake,kwa hiyo they buy Governments, ili wakubali utapeli wao.

Furthermore,wenye agenda ya C-19,ambao ni mpango muovu kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Wanadamu,ni watu wanaochapisha fedha:US dollars, Shillingi ya Tanzania na zingine nyingi.Hawa sio wengine ila ni akina Rothschild.Hawa watu fedha sio shida kwao,they can literally offer any amount so as to advance their agenda.Infact wana own pia the US Federal Reserve,na Central Banks nyingi za dunia ni zao.Ni shareholders wa the World Bank na IMF,kama hawa-own organizations hizo.

Kwa sababu hiyo lazima tupige kelele ili mamlaka na wale wanaoitwa wanasayansi wanaotuwakilisha wajue kwamba sisi sio mbumbu,tunajua kinachoendelea.

Tabia ya kudhani kwamba serikali za dunia kila wakati zinawatakia wananchi wao mema si sahihi kabisa,kwa kuwa serikali nyingi zimewaingiza wananchi wao mkenge.So people must be vigilant.Kwa bahati mbaya wanadamu kwa ujumla wamelitambua hili when it is too late,a lot of damage has already been done and continues to be done..
 
Mimi ni mwanasayansi mkuu,na ninacho ongea ndio sayansi yenyewe.Kinachoendelea kwenye C-19 kwa sasa is fake science,kwa hiyo hatuwezi kukubali ujinga huo uwe copied kwenye nchi yetu,we must raise our voices.

Mkuu siku hizi wanasayansi wengine wananunuliwa kwa fedha,sasa tukiwaachia Wanasayansi wa namna hiyo watuamulie mambo yetu, tutaingizwa mkenge sana.

Niseme pia kwamba serikali zinanunuliwa!Katika swala hili hili la C-19,serikali ya Nigeria ilikuwa offered mrungura wa US$ 10 billion na Bill Gates,kwa bahati nzuri serikali ya Nigeria ilikataa.
Labda kuna kitu ambacho watu wengi are ignorant about.Katika swala la C-19,kuna a lot of money at stake za mrungura,kwa kuwa the whole thing is fake,kwa hiyo they buy Governments, ili wakubali utapeli wao.

Furthermore,wenye agenda ya C-19,ambao ni mpango muovu kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Wanadamu,ni watu wanaochapisha fedha:US dollars, Shillingi ya Tanzania na zingine nyingi.Hawa sio wengine ila ni akina Rothschild.Hawa watu fedha sio shida kwao,they can literally offer any amount so as to advance their agenda.Infact wana own pia the US Federal Reserve,na Central Banks nyingi za dunia ni zao.Ni shareholders wa the World Bank na IMF,kama hawa-own organizations hizo.

Kwa sababu hiyo lazima tupige kelele ili mamlaka na wale wanaoitwa wanasayansi wanaotuwakilisha wajue kwamba sisi sio mbumbu,tunajua kinachoendelea.

Tabia ya kudhani kwamba serikali za dunia kila wakati zinawatakia wananchi wao mema si sahihi kabisa,kwa kuwa serikali nyingi zimewaingiza wananchi wao mkenge.So people must be vigilant.Kwa bahati mbaya wanadamu kwa ujumla wamelitambua hili when it is too late,a lot of damage has already been done and continues to be done..
Sasa kama unachosema ndio ukweli na hauna haja ya kuamini kabisa taasisi za kidunia kama WHO, basi tukate mirija kabisa nao tuwe kama North Korea. Hizo takwimu za WHO na wengine zinatoka humuhumu kwetu kupitia NBS, kaangalie kwenye tovuti yao utaona study za mpaka miaka ya 70 zin

Moja, tafiti za kwetu ni duni hata vyanzo vyako vya taarifa ni haohao wazungu unaosema wanataka kutuua (inaweza pia ikawa wanacheza na saikolojia kututisha).

Mbili, si chanjo tu tunayopokea kutoka huko kwa wabaya unaowataja. Asilimia kubwa ya madawa, vifaa na hata silaha tunatoa kwao. Wangevitumia kutuangamiza kirahisi kabisa.

Acheni kuwapa watu vitisho visivyo na ushahidi wa kutosha.


Takwimu zinaonesha, idadi ya watu Afrika imekua na itaendelea kukua kwa kasi. Ingekuwa wametudunga sumu tungeona madhara yake waziwazi.
 
Sasa kama unachosema ndio ukweli na hauna haja ya kuamini kabisa taasisi za kidunia kama WHO, basi tukate mirija kabisa nao tuwe kama North Korea. Hizo takwimu za WHO na wengine zinatoka humuhumu kwetu kupitia NBS, kaangalie kwenye tovuti yao utaona study za mpaka miaka ya 70 zin

Moja, tafiti za kwetu ni duni hata vyanzo vyako vya taarifa ni haohao wazungu unaosema wanataka kutuua (inaweza pia ikawa wanacheza na saikolojia kututisha).

Mbili, si chanjo tu tunayopokea kutoka huko kwa wabaya unaowataja. Asilimia kubwa ya madawa, vifaa na hata silaha tunatoa kwao. Wangevitumia kutuangamiza kirahisi kabisa.

Acheni kuwapa watu vitisho visivyo na ushahidi wa kutosha.


Takwimu zinaonesha, idadi ya watu Afrika imekua na itaendelea kukua kwa kasi. Ingekuwa wametudunga sumu tungeona madhara yake waziwazi.
Pia, chaguo tunalo wanaotoa chanjo si wazungu pekee. Wapo China na Russia pia wanazitoa , labda useme nao wana ajenda moja na hao Rothschild .
 
Yapo maswali muhimu ya kuendelea kujuliza kuhusu chanjo ya kirusi cha corona.

Ieleweke kuwa jamii ya virusi vya mafua imekuwepo nchini Tanzania kwa muda mrefu.
Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kuugua mafua japo mara mbili kila mwaka.

Ni ukweli usio shaka kwamba Tanzania na dunia imekuwa ikiathiriwa na virusi mbalimbali vya mafua na pia ni ukweli kuwa kila baada ya miaka mia moja kunakuwa na mlipuko wa mafua kidunia yaani pandemic.

Mwaka 2019 umetokea mlipuko wa kidunia wa mafua aina ya covid ambao umezua taharuki duniani.Virusi wa ugonjwa huu ni jamii ya virusi ambavyo vimekuwa vikisumbua sehemu mbalimbali duniani na upo uwezekano wakati flani Tanzania iliathiriwa lakini pengine kutokana na vifaa vya kiuchunguzi kuwa duni havikutambilika,
Hapa ninamaanisha wakati wa Avian flue huko mashariki ya kati inawezekana Watanzania waliambukizwa,waafrika waliambukizwa kutokana na muingiliano wa kidunia.

Mwaka 2019 mafua yameleta taharuki duniani pengine kutokana na makosa ya WHO au washirika wengine wa maswala ya afya.Taharuki hii imepelekea reaction ya mataifa bila mpangilio na hivyo kuleta athari ya kupoteza maisha.

Wizara ya afya ikifuatilia takwimu zake kwa kina,usahihi na ukweli wa wazi itaona magonjwa au vifo vitokanavyo na mafua au pneimonia ina mfanano yaani similarity kwa miaka kadhaa,nasema hivi kwani wakati wa taharuki ya covid vifo vingi vilisingiziwa kuwa ni covid na vile vifo tulivyozoea vya pneumonia au magonjwa ya upumuaji vilipungua,Hapa naamanisha magonjwa ya njia ya upumuaji katika kipindi cha mlipuko wa covid yalishift na kubatizwa jina la covid.

Analysis ikifanyika naamini itaonesha morbidity na mortality due to respiratory illnesses remains the same let say kwa miaka 10 iliyopita.

Naendelea kusisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana tulipoteza wagonjwa hasa kabla ya mei 2020 unnecessary kutokana na taharuki.
Ukitaka kujua ukweli huu fanya analysis ya vifo vya magonjwa ya njia ya hewa kwa mwaka 2021 au baada ya mwezi mei 2020 ambapo watanzania waliondolewa hofu na wataalamu wa afya kutakiwa kuendelea kutibu corona kana mafua mengine.

Naamini pia iwapo tutaendelea na msimamo ule ule wa kuitibu corona kama other influenza like illnesses kwa mwaka ujao na zaidi tutapata matokeo yale yale sio tu hapa Tanzania bali duniani kwa ujumla.

Nikitolea mfano je takwimu za ugonjwa na vifo vya kifua kikuu ziliendaje wakati huu tulipotaharuki na corona?naamini Ugonjwa na vifo vya TB vilipungua,hii ikamaanisha zipo cases za TB zilizobandikwa jina la covid 19 na watu wakapotea.

If my theory is right basi mwaka 2020 ugonjwa wa TB na vifo vyake vilipungua...swali je vilienda wapi...Jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.

Vivyo hivyo ugonjwa au vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo/kisukari vinawezekana vilipungua pia ,vilienda wapi ...jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
wataalamu tufanye analysis zaidi je takwimu za vifo vyote kwa mwaka (hasa vya watu wazima)2016,17,18,19,20,21 viliongezeka au kupungua au vilishabihiana??
my assumption ni kuwa almost vilibaki vile vile.
Msimamo wangu kama mtaalamu ni kuwa taharuki ya kidunia ilifunika ukweli wa kisayansi na bado inataka tufanye maamuzi ya kukurupuka.

Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?

2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa si kirusi kingine cha mafua?

3-Kwa nini miaka yote hatujawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?

4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujidai tunaikinga corona kwa chanjo vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?
I we ready for the pace of preventing almost every desease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority on morbidity and mortality prevention in Tanzania?

5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??

6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataifa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??

7-Je Takwimu zinatuonesha kuwa tukiendelea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??

8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.

Ungekuwa umeonyesha mahali kwenye utangulizi wa mada yako kama hapa chini:

"Onyo: Mwandishi wa nsha hii ndefu hana utaalamu wala uzoefu wowote wa tiba, virusi, chanjo nk, wala lolote la kufanya na afya ya viumbe wowote wale."

Ungekuwa umetundea haki sana mkuu.

Hasa ikizingatiwa tuko katika kipindi hiki tunaposubiria ile ripoti ya mama ya wataalamu, aliyosema kwenye mkutano wa wazee kuwa iko kwenye hatua za mwisho mwisho.
 
Umevihesabu hivyo vifo wewe mwenyewe mkuu, au unategemea taarifa za WHO.Acheni kuwa parots,they cook figures to try to show us that their plans to improve our livelihoods are successiful,but the truth is always the opposite,sio katika afya tu,lakini kila mahali,that is what they have been doing for centuries.

Mkuu common sense should tell you that a person who plans to kill you cannot make plans to save your life, that is unthinkable.Au hamjui kwamba they have a depopulation plan specifically Africans,but also for humanity as a whole.Ufalme ukifitinika hauwezi kusimama,is that not straight forward enough?! Why are we cheated so easily.Tusiwaamini hawa watu kabisa,they have nothing good for us,they are always planning against us.We have to change our mindset na tuwaone in their true colours.

Look at what one of them is saying in one of Bilderberger Groups' confidential manuscript👇,hawa ni watu wa kuamini in anything they say kweli,surely no.And remember this is a member of the Bildeberger Group,ambao ndio waliojipa mamlaka ya ku-decide the fate of humanity.So what he is saying must be true.

View attachment 1785955
Tatizo la baadhi yenu mnachanganya tu conspiracy theories na hisia zenu mnatengeneza uhalisia wenu mnaoujua. Hapo unaandika na bonge la kovu ya chanjo ya ndui begani kutoka kwa hao hao, na haujafa na wali wa Idi umekula!
 
Yapo maswali muhimu ya kuendelea kujuliza kuhusu chanjo ya kirusi cha corona.

Ieleweke kuwa jamii ya virusi vya mafua imekuwepo nchini Tanzania kwa muda mrefu.
Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kuugua mafua japo mara mbili kila mwaka.

Ni ukweli usio shaka kwamba Tanzania na dunia imekuwa ikiathiriwa na virusi mbalimbali vya mafua na pia ni ukweli kuwa kila baada ya miaka mia moja kunakuwa na mlipuko wa mafua kidunia yaani pandemic.

Mwaka 2019 umetokea mlipuko wa kidunia wa mafua aina ya covid ambao umezua taharuki duniani.Virusi wa ugonjwa huu ni jamii ya virusi ambavyo vimekuwa vikisumbua sehemu mbalimbali duniani na upo uwezekano wakati flani Tanzania iliathiriwa lakini pengine kutokana na vifaa vya kiuchunguzi kuwa duni havikutambilika,
Hapa ninamaanisha wakati wa Avian flue huko mashariki ya kati inawezekana Watanzania waliambukizwa,waafrika waliambukizwa kutokana na muingiliano wa kidunia.

Mwaka 2019 mafua yameleta taharuki duniani pengine kutokana na makosa ya WHO au washirika wengine wa maswala ya afya.Taharuki hii imepelekea reaction ya mataifa bila mpangilio na hivyo kuleta athari ya kupoteza maisha.

Wizara ya afya ikifuatilia takwimu zake kwa kina,usahihi na ukweli wa wazi itaona magonjwa au vifo vitokanavyo na mafua au pneimonia ina mfanano yaani similarity kwa miaka kadhaa,nasema hivi kwani wakati wa taharuki ya covid vifo vingi vilisingiziwa kuwa ni covid na vile vifo tulivyozoea vya pneumonia au magonjwa ya upumuaji vilipungua,Hapa naamanisha magonjwa ya njia ya upumuaji katika kipindi cha mlipuko wa covid yalishift na kubatizwa jina la covid.

Analysis ikifanyika naamini itaonesha morbidity na mortality due to respiratory illnesses remains the same let say kwa miaka 10 iliyopita.

Naendelea kusisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana tulipoteza wagonjwa hasa kabla ya mei 2020 unnecessary kutokana na taharuki.
Ukitaka kujua ukweli huu fanya analysis ya vifo vya magonjwa ya njia ya hewa kwa mwaka 2021 au baada ya mwezi mei 2020 ambapo watanzania waliondolewa hofu na wataalamu wa afya kutakiwa kuendelea kutibu corona kana mafua mengine.

Naamini pia iwapo tutaendelea na msimamo ule ule wa kuitibu corona kama other influenza like illnesses kwa mwaka ujao na zaidi tutapata matokeo yale yale sio tu hapa Tanzania bali duniani kwa ujumla.

Nikitolea mfano je takwimu za ugonjwa na vifo vya kifua kikuu ziliendaje wakati huu tulipotaharuki na corona?naamini Ugonjwa na vifo vya TB vilipungua,hii ikamaanisha zipo cases za TB zilizobandikwa jina la covid 19 na watu wakapotea.

If my theory is right basi mwaka 2020 ugonjwa wa TB na vifo vyake vilipungua...swali je vilienda wapi...Jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.

Vivyo hivyo ugonjwa au vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo/kisukari vinawezekana vilipungua pia ,vilienda wapi ...jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
wataalamu tufanye analysis zaidi je takwimu za vifo vyote kwa mwaka (hasa vya watu wazima)2016,17,18,19,20,21 viliongezeka au kupungua au vilishabihiana??
my assumption ni kuwa almost vilibaki vile vile.
Msimamo wangu kama mtaalamu ni kuwa taharuki ya kidunia ilifunika ukweli wa kisayansi na bado inataka tufanye maamuzi ya kukurupuka.

Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?

2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa si kirusi kingine cha mafua?

3-Kwa nini miaka yote hatujawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?

4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujidai tunaikinga corona kwa chanjo vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?
I we ready for the pace of preventing almost every desease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority on morbidity and mortality prevention in Tanzania?

5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??

6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataifa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??

7-Je Takwimu zinatuonesha kuwa tukiendelea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??

8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.
Umenena kweli hivyi kweli kama kirusi kina jibadilishabadilisha chanjo ya nini? Au kuwafurahisha WHO na waliowatuma?
je iko nchi gani duniani imepunguza ama kumaliza corona baada ya kuchanjwa? Maana hata zilizochanjwa mara yanapanda mara yanashuka.
Tunaomba rais ajue Mungu amempa madaraka makubwa juu ya nchi,anauwezo wa kuamua kuliangamiza taifa kwa kutaka kuifurahishi dunia,ama kulilinda taifa letu kwa kutuacha tuendelee na maisha haya tumeyazoea maana hatutapungukiwa na kitu.
kwanini tulazimishe kuwaTanzania tuna tatizo kubwa la corona kiuhalisia si kweli?kama Mungu katupendelea tulazimishe tuwe kama wao?
kwanini vifo Afrika havifiki hata laki mbili ilihali sehemu ya dunia iliyobaki ina vifo milioni tatu?
Hivyi kweli tunatamani tuwe kama wao?
corona tulishaisahau kwanini inataka kugeuzwa ajenda ya kitaifa badala ya kuangalia magonjwa yanayomaliza wengi kama Malaria.
kwanini wao wazungu priority yao siyo kuzuia malaria jibu ni rahisi Malaria kwao haipo.
Hivyi ni kweli matatizo ya Ulaya lazima yawe matatizo ya Tanzania?
Mbinu za wazungu lazima ziapply kwetu?
kuna mtu atämpampangia Mungu cha kufanya? Si wazungu hao walitabiri kufikia may 2020 tungeokota maiti je mbona haikutokea?

Rais awe makini na makundi haya.
1. Kuna la watu ambao walikuwa hawakubaliani na mwendazake.Hili group linataka mama abadilishe kila kitu ili tu aonekane hafuati ya mwendazake hata kama yalikuwa mema.
2. Kundi jingine la watu wanaotegemea kupewa vyeo,au watu wanao tegemea kunufaika na janga la corona kwa kufanya biashara ya vifaa vya kujikinga na corrona.
3.watu waliopandikizwa na maadui wa nchi hii wanatamani nasi yatupate yanayowapata.
Makundi kama haya ni hatari sana maana yansapoti kila kitu.
Mheshima rais tumia hekima huku ukijua wewe ni rais wa Tanzania na uko kwa ajili ya watanzania na si kwa ajili ya kuwafurahisha watu ambao siyo wapiga kura wako.
 
Sasa kama unachosema ndio ukweli na hauna haja ya kuamini kabisa taasisi za kidunia kama WHO, basi tukate mirija kabisa nao tuwe kama North Korea. Hizo takwimu za WHO na wengine zinatoka humuhumu kwetu kupitia NBS, kaangalie kwenye tovuti yao utaona study za mpaka miaka ya 70 zin

Moja, tafiti za kwetu ni duni hata vyanzo vyako vya taarifa ni haohao wazungu unaosema wanataka kutuua (inaweza pia ikawa wanacheza na saikolojia kututisha).

Mbili, si chanjo tu tunayopokea kutoka huko kwa wabaya unaowataja. Asilimia kubwa ya madawa, vifaa na hata silaha tunatoa kwao. Wangevitumia kutuangamiza kirahisi kabisa.

Acheni kuwapa watu vitisho visivyo na ushahidi wa kutosha.


Takwimu zinaonesha, idadi ya watu Afrika imekua na itaendelea kukua kwa kasi. Ingekuwa wametudunga sumu tungeona madhara yake waziwazi.
Tuna ushahidi wa kutosha wa kila kitu mkuu,hatuzungumzi tu.Tuna ushahidi wa kutosha kwamba they are planning the genocide of Africans and humanity in general.Kama ushahidi huna ni wewe mkuu.Halafu mbona ushahidi upo all around us,you just need to be diagnostic.

Halafu mkuu,usinichekeshe,
wanaohusika na mipango hiyo wanakiri kwamba kweli mipango hiyo ipo,wewe ni nani hata useme haipo,ajabue....!
 
Ungekuwa umeonyesha mahali kwenye utangulizi wa mada yako kama hapa chini:

"Onyo: Mwandishi wa nsha hii ndefu hana utaalamu wala uzoefu wowote wa tiba, virusi, chanjo nk, wala lolote la kufanya na afya ya viumbe wowote wale."

Ungekuwa umetundea haki sana mkuu.

Hasa tuko katika kipindi hiki tunaposubiria ile ripoti ya mama ya wataalamu aliyosema kwenye mkutano wa wazee kuwa iko kwenye hatua za mwisho mwisho.
wewe ndo hujui lolote aliyepost ndo mtaalamu,wataalamu wanajua na wamemuelewa.
 
Back
Top Bottom