Tariqfinest
Member
- Jul 13, 2021
- 16
- 23
1, Aina ya sajiri walizofanya kikosini na muda wa maandalizi watawapa mashabiki wao kile walichokimiss kwa muda mrefu ?
2, Kuwakosa Khalid Aucho, Djuna na Mayele kunaenda kuiathiri vipi Yanga ?
3, Kupoteza mchezo wa siku ya wananchi kunaenda kuwapa maswali gani wachezaji ?
4, Uongozi tuka uhukumu kwa matokeo ya mchezo wa leo ?
5, Tabiri ?
2, Kuwakosa Khalid Aucho, Djuna na Mayele kunaenda kuiathiri vipi Yanga ?
3, Kupoteza mchezo wa siku ya wananchi kunaenda kuwapa maswali gani wachezaji ?
4, Uongozi tuka uhukumu kwa matokeo ya mchezo wa leo ?
5, Tabiri ?