Mzizi Tanzania
Member
- Mar 3, 2020
- 70
- 39
Tujadili kidogo watanzania wenzangu!
1. Hivi ni kwa asilimia ngapi mtaala wa Elimu ya Secondary hapa Tanzania umetekelezwa ?
2. Je Mtaala unafatwa kama ulivopangwa?
3. Walengwa katika mtaala huo wamewekewa mazingira bora ili kutekeleza kiufanisi mtaala huo?
4. Je sera ya Elimu ya Tanzania inafata Matakwa ya Mtaala huska?
5. Je mtaala wetu unaaksi maisha ya Karne hii?
Karibuni sana Wataalamu tujadiliane🇹🇿
1. Hivi ni kwa asilimia ngapi mtaala wa Elimu ya Secondary hapa Tanzania umetekelezwa ?
2. Je Mtaala unafatwa kama ulivopangwa?
3. Walengwa katika mtaala huo wamewekewa mazingira bora ili kutekeleza kiufanisi mtaala huo?
4. Je sera ya Elimu ya Tanzania inafata Matakwa ya Mtaala huska?
5. Je mtaala wetu unaaksi maisha ya Karne hii?
Karibuni sana Wataalamu tujadiliane🇹🇿