Maswali matatu ambayo atheist wanashindwa kuyajibu kwa usahihi

Travis Walker

JF-Expert Member
Apr 10, 2017
323
332
Habari wana wa JF
Karibu katika uzi huu.Kwasababu sisi ni werevu naomba tuoneshe heshima kwa wengine kabla hatujaenda mbele.

Kabla ya kuuliza masuali yangu naamini wazi kuwa kila kitu kimetengenezwa na kimefanisiwa vizuri, na ndio maana hata gari haikuja wenyewe isipokuwa imeundwa.

Swali no 1:
Kwanini sisi wanadamu na vyote vilivyomo duniani pamoja na dunia yenyewe tukawepo na chanzo chetu haswa ni nini?

Swali no 2:
Kama kila kitu kimekuja tu na ni asili kwanini sisi wanadamu tumekuja katika maumbile tofauti? Na hali yakuwa asili haibadiliki muundo wake,sifa zake, na wala ubora wake.

SWALI NO 3:
Kwasababu asili haibadiliki, kwa nini sisi tunakufa na wala sayansi haijagundua tiba ya hili?
 
Kama chenye mwanzo kina mwisho, siku ya mwisho wa jua itakuaje, na kama jua halina mwisho basi halina mwanzo na jua ni Mungu. Atheists mmeshindwa kuelezea mwanzo wa vitu basi kubalini jua ni Mungu.
Brother.
Kwa imani ninaamini kwamba mungu ni yule mwenye sifa ya kuumba na anafanya atakacho na watu wanapokuwa na shida humtegemea huyo kutatua shida na yeye huwa ndio tegemezi la mwisho baada ya wote kushindwa.Kama mungu wako ni jua inapofika usiku ukawa na shida jee utamtegemea nani akuokoe?Na wewe unakubali kama umeumbwa na jua?
 
Habari wana wa JF
Karibu katika uzi huu.Kwasababu sisi ni werevu naomba tuoneshe heshima kwa wengine kabla hatujaenda mbele.
Kabla ya kuuliza masuali yangu naamini wazi kuwa kila kitu kimetengenezwa na kimefanisiwa vizuri, na ndio maana hata gari haikuja wenyewe isipokuwa imeundwa.
Swali no 1:
Kwanini sisi wanadamu na vyote vilivyomo duniani pamoja na dunia yenyewe tukawepo na chanzo chetu haswa ni nini?
Swali no 2:
Kama kila kitu kimekuja tu na ni asili kwanini sisi wanadamu tumekuja katika maumbile tofauti? Na hali yakuwa asili haibadiliki muundo wake,sifa zake, na wala ubora wake.
SWALI NO 3:
Kwasababu asili haibadiliki, kwa nini sisi tunakufa na wala sayansi haijagundua tiba ya hili?
Sasa hayo maswali yako dhaifu ndio yana prove uwepo wa unayemuita Mungu?
 
Swali lenye mkanganyiko mkubwa kwao ni Atheism ni dini ama ni imani?
Shida inakuja kwamba, mnataka mdahalo na atheists, il hali hamjui hata atheism ni kitu gani, ndio maana mtu anaona uvivu hata kuwajibu, inahitaji moyo mkuu sana kujadili na mtu rocket science, ili hali mtu huyo hajui hata rocket ni kitu gani!! Mwenzio anasema eti atheism ni kuamini sayansi, hivi sayansi nayo ni kuamini? Yaani mtu huyu, hajui hata maana ya imani, au hata sayansi, inatiwa watu uvivu kujadili.
 
As far Iknow, athiesm ni watu wanao-amini sayansi na hawana dini.
Kama Mungu anasikia maombi yenu, kwa nini mnachinjana na asiwaletee imani moja tu mkaelewana? Anashindwa nini mpaka awaache waumini muuane weeee! Ye anawachora tu! Anapata faida gani pale watoto wadogo wanapouawa huko mashariki ya kati na wababe wa vita? we kwani hujui mtu akifa kama hakuzikwa ananuka na anaoza? Tatizo hayo unayouliza umeyotoa wapi?
 
Shida inakuja kwamba, mnataka mdahalo na atheists, il hali hamjui hata atheism ni kitu gani, ndio maana mtu anaona uvivu hata kuwajibu, inahitaji moyo mkuu sana kujadili na mtu rocket science, ili hali mtu huyo hajui hata rocket ni kitu gani!! Mwenzio anasema eti atheism ni kuamini sayansi, hivi sayansi nayo ni kuamini? Yaani mtu huyu, hajui hata maana ya imani, au hata sayansi, inatiwa watu uvivu kujadili.
Mkuu comment yako inaonesha wazi una udhaifu wa kuijbu masuali hayo
 
Kama chenye mwanzo kina mwisho, siku ya mwisho wa jua itakuaje, na kama jua halina mwisho basi halina mwanzo na jua ni Mungu. Atheists mmeshindwa kuelezea mwanzo wa vitu basi kubalini jua ni Mungu.
mkuu nani kazsema jua halina mwsho? kama nyota zingine huwa zinakufa jua nalo litakuja kufa tu
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom