ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Hivi kitendo cha Kikwete kuongeza ukubwa wa Baraza lake la mawaziri, ndiyo kusema kaanza kutekeleza ahadi yake ya kuongeza ajira? Tamko la Mizengo Pinda wakati akihutubia alipoteuliwa kuwa Waziri Mkuu kuwa Wabunge wataendelea kumuenzi Sitta, ni maneno yaliyotoka moyoni kwake au Kejeli? Hivi kwa nini Kikwete aliamua kutumia Familia yake wakati wa mchakato wa kutafuta uraisi kuanzia kutafuta wadhamini hadi kampeni?