mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Mwambie akuache kwanzaWatch your back young boy. Nilicho kiandika hakina maana yoyote ile uwazacho wewe. By the way, mimi sina tofauti yoyote ile na mzinga wa nyuki.
Yaani hata mimi na "MUME" wangu pia huwa tunatofautiana!! Dogo, be careful. Ok. Yaani ni sawa na kusema, mimi na mama D , ni mtu na shoga yake!! 😇 Wacha tu nikusamehe kwa leo.
Tuko kwenye maombolezo hajui??