Maswali magumu tume ya mchanga wa dhahabu

ni vyema ikapatikana nakala ya ripoti yenyewe; itakuwa na majibu ya maswali haya; halafu tuendeleze mjadala baada ya kuiona

Cha ajabu kampuni ya uchimbaji wa madini imeshaenda hewani kama mara tatu kabla ya kuipata ripot kamili, licha ya kukiri kwamba hawana ripoti bado, hawajasita kukanusha kilichopo kwenye hiyo ripoti na wameshasema ni uongo.

Mwanzoni nilisema kwamba, naomba tume iwe ilifanya kazi yake kwa weledi na utaalamu bila kuongozwa na mihemko ya kisiasa.
 
Nitakujibu maswali yako kwa ufupi ila yote kwa mapana.

Kwanza Tanzania ipo kwenye Minerals Belt kila madini yanayochimbwa hapa yanakua yameshikana na madini zaidi ya moja ila too bad kwetu sisi madini yenye thamani tunafikiri ni dhahabu pekee.

Kwanza kuhusu vifaa vya uchunguzi maabara zetu inawezekana kabisa kufanya hapo hizo kampuni za Madini wanapokua wanatest sample wanafanye kwenye maabara hapa hapa nchini na hasa wanatumia maabara ya SGS so haihiitaji mtambo mkubwa kama ulivyo uliza.

Kamati ilisema zoezi lilisimamiwa na vyombo vya ulinzi pia walichukua samples pekee hawakupima mchanga wote unapochukua sample ni kuchukua kiasi kidogo kuwakilisha namba kubwa sio rahisi kupima kiasi chote katika majaribio ni gharama na waste of resources..

Kuhusu tunaibiwa sheria/mikataba ama mchanga jibu litakuja kamati ya pili ikitoa majibu ila kwa ufupi na mtazamo inaweza kua vyote kwani sheria ya madini na kanuni zake maboresho ya 2009 inataka uchanjuzi ufanyike nchini .
Asante sana kwa majibu mubashara ila wakiamua kufungua kesi Je hoja kama hizi zitashindana na wanasheria wakorofi waliozoea kuendesha kesi ngumu?
 
Mkuu mbona maswali yako mepesi sana hata mimi pia naweza kukujibu.

Leo mshana jr kiukweli umeuliza vitu ambavyo hata havifikilishi na namashaka makubwa hukusikiliza siku ile wakati tume inasoma ripoti yake mbele ya raisi.

Pale walifanya uchunguzi kwa kuchukua sample za mchanga katika makontena machache na kwenda nayo maabala kupima.

Na kumbuka yale majibu ni makadilio kwa wastani.

Wewe Lege hebu tumalizie hadithi yetu bana kule mambo ya mchanga waachie serikali
 
OK ni makadirio ya wastani kwa kila container? Asante kwa kujibu hili moja....jamaa wakiamua kwenda mahakamani watashinda asubuhi mapema asubuhi...tuendelee na maswali mengine
LEGE kumbuka mahakamani hakuna makadirio kuna FACTS
mshana jr sijajua bado wasiwasi wako wa nini juu ya hilo au ww ulitakaje ulitaka contener zima lichukuliwe mchanga wote ifanyiwe mchakato.

Nenda pale tbs uone kama wanapangeje viwango huwa wanapeleka sample kidogo tuu.

Labda unambie mahakamani wataenda kwa kupinga lipi kuwa dhamani ya madini yaliyopo ndani ya huo mchanga sio sahihi ya ripoti ya tume.

Au wewe wapinga mchakato wa upimaji.

Harafu mbona watanzania tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu.mm ningeona busara zaidi kwa sasa wanaharakati wotee wataka mema na wanasiasa wapendao maendeleo na mema ndani ya tanzania waungane na raisi sio kwa kushabikia bali kumshauri na kumpelekea mapendekezo ya kutosha na nini kifanyike na hatua gani zaidi zichukuliwe kwa mantiki yakushinda unyonyaji wa hawa wawekezaji na ili taifa liweze kunufaika na rasilimali zake.

Maana tumepata raisi anaye dhubutu na kufanya mapungufu yake yabebwe na kuzuwiwa kabla hayajaleta adhari zaidi yawezekana anakurupuka kwa kukosa direction nzuri ana kuwa na nia ya dhati ya kufanya jambo lkn anakosa utaaramu wa kiutekelezaji so wadau wampe saport
 
Asante sana kwa majibu mubashara ila wakiamua kufungua kesi Je hoja kama hizi zitashindana na wanasheria wakorofi waliozoea kuendesha kesi ngumu?
Kuna kitu huelewi ngoja tueleweshane,
ACACIA hawawezi kufungua kesi na kama ikitokea wakafungua kesi wao wako side kubwa kupoteza, ni kwamba ambao walikosea ni watendaji wasio waaminifu wa serikali ku underinvoice kodi na kiasi ambacho kampuni walitakiwa kulipa pia kushindwa kusimamia sheria za kufanya uchanjuaji nchini.
Mkataba haujakiukwa na ndo maana kama ulimsikia JPM wakati anaunda tume alisema tujuridhishe pasipo na shaka.
Pia kwanini ACACIA wako liable kupoteza ni kua miaka yote wamekua wakitangaza hasara hvyo wamekua wakilipa kodi ya 3% ya mauzo sheria za kodi income Tax act inasema kampuni ikiwa na hasara kwa miaka mi3 mfululizo ama zaidi watalipa kodi ya 3% kwa mauzo(turnover) na sio faida kama kawaida (kodi always inakua charged kwenye faida profits) sasa iwapo ikafanyika special audit kubaini kama kweli siku zote wamekua wakipata hasara sheria za kodi duniani kote zinasema kamishina wa kodi yuko liable kudai kodi za miaka 15 iliyopita ama kuchunguza na kukutaka ulipe iwapo atarise claims.

Na ndo maana serikali ukitazama unawahukumu watu wake na sio kampuni.
 
Majibu yatakuwa katika report na si magumu. Labda ungebase kwenye kiwango cha madini tume ilichobaini na uhalisia.
 
Mkuu mbona maswali yako mepesi sana hata mimi pia naweza kukujibu.

Leo mshana jr kiukweli umeuliza vitu ambavyo hata havifikilishi na namashaka makubwa hukusikiliza siku ile wakati tume inasoma ripoti yake mbele ya raisi.

Pale walifanya uchunguzi kwa kuchukua sample za mchanga katika makontena machache na kwenda nayo maabala kupima.

Na kumbuka yale majibu ni makadilio kwa wastani.
Kama ni makadirio je walitamka "margin of error ni % ngapi?"
 
mshana jr sijajua bado wasiwasi wako wa nini juu ya hilo au ww ulitakaje ulitaka contener zima lichukuliwe mchanga wote ifanyiwe mchakato.

Nenda pale tbs uone kama wanapangeje viwango huwa wanapeleka sample kidogo tuu.

Labda unambie mahakamani wataenda kwa kupinga lipi kuwa dhamani ya madini yaliyopo ndani ya huo mchanga sio sahihi ya ripoti ya tume.

Au wewe wapinga mchakato wa upimaji.

Harafu mbona watanzania tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu.mm ningeona busara zaidi kwa sasa wanaharakati wotee wataka mema na wanasiasa wapendao maendeleo na mema ndani ya tanzania waungane na raisi sio kwa kushabikia bali kumshauri na kumpelekea mapendekezo ya kutosha na nini kifanyike na hatua gani zaidi zichukuliwe kwa mantiki yakushinda unyonyaji wa hawa wawekezaji na ili taifa liweze kunufaika na rasilimali zake.

Maana tumepata raisi anaye dhubutu na kufanya mapungufu yake yabebwe na kuzuwiwa kabla hayajaleta adhari zaidi yawezekana anakurupuka kwa kukosa direction nzuri ana kuwa na nia ya dhati ya kufanya jambo lkn anakosa utaaramu wa kiutekelezaji so wadau wampe saport
LEGE kuna mahali naona hujanipata vema na kuna maswali umekwepa kuyajibu hebu soma na tamati yangu kisha urudi tena
Kumbuka tunapohoji haya tunahoji kwa maslahi mapana ya taifa na si vinginevyo
Nina makala inayofanana na hii kwenye gazeti la mtanzania wayback 2003-2004 safu ya shusha pumzi subiri nitakupa heading.. Kwa hiyo haya tulianza kuyazungumzia haya hata kabla JF haijaanzishwa...isionekane sasa tunampinga huyo mtu wenu
 
Kuna kitu huelewi ngoja tueleweshane,
ACACIA hawawezi kufungua kesi na kama ikitokea wakafungua kesi wao wako side kubwa kupoteza, ni kwamba ambao walikosea ni watendaji wasio waaminifu wa serikali ku underinvoice kodi na kiasi ambacho kampuni walitakiwa kulipa pia kushindwa kusimamia sheria za kufanya uchanjuaji nchini.
Mkataba haujakiukwa na ndo maana kama ulimsikia JPM wakati anaunda tume alisema tujuridhishe pasipo na shaka.
Pia kwanini ACACIA wako liable kupoteza ni kua miaka yote wamekua wakitangaza hasara hvyo wamekua wakilipa kodi ya 3% ya mauzo sheria za kodi income Tax act inasema kampuni ikiwa na hasara kwa miaka mi3 mfululizo ama zaidi watalipa kodi ya 3% kwa mauzo(turnover) na sio faida kama kawaida (kodi always inakua charged kwenye faida profits) sasa iwapo ikafanyika special audit kubaini kama kweli siku zote wamekua wakipata hasara sheria za kodi duniani kote zinasema kamishina wa kodi yuko liable kudai kodi za miaka 15 iliyopita ama kuchunguza na kukutaka ulipe iwapo atarise claims.

Na ndo maana serikali ukitazama unawahukumu watu wake na sio kampuni.
Asante kwa ufafanuzi, na kunielewesha kwa weledi tusubiri mwendelezo wa hili sakata...ila kwa maelezo yako haya naona itakula kotekote
 
Kumbuka wamechukua sample za container chache tu sio zote
Daaa mkuu ww ni shidaa sana aisee..sasa wewe ulitakaje labda.wafumue makontena yote au ulitaka iweje.

Inamaana hujui hata maana ya sample.mbona ukienda kupima hospital huwa hawa nyonyi damu yote na kuipima bali huwa wanachukua kidogo tuu tena sehem moja kwa nini wasichukie shingoni,mkononi,tumboni,makalioni,kwenye mguu,kichwani,kwenye ulimi.


Huo mchanga unatoka sehemu moja hivyo unasifa moja.

Hata hao wawekezaji wanapokuja kupima huwa wanapima hivyo hivyo.juu ya upimaji shaka ondoa mkuu.
 
Ndio maana nikasema tunaweza kushindwa kirahisi mno na tukaingia kwenye kulipa mabilioni mengine ya fidia
Kilichofanyika nakiunga mkono ila kimekuwa na loose ends nyingi sana
Mshana Jr utaratibu uliotumika ni wa dunia mzima ktk kujua ukweli wa kilichopo ndani ya Kitu kingine ni kiasi gani.

Huwezi kuchukua mchanga wote ni lazima utachukua samples kwa kila kontena au kwa makontena yaliyoainishwa kuchukuliwa samples zake.

Na system hizo ndizo zinazotumika TBS na Hata TFDA kujua ukweli wa content zilizopo ndani kwa viwango na ubora na kiasi chake.

Tume wako sahihi ktk kazi waliyoifanya kwa Habibu rejea walizopewa au TOR kumbuka vile vichwa vilivyofanya ile kazi vimebobea ktk field ya madini yenyewe kwahiyo siyo maprofesa wa mambo mengine.
 
Asante kwa ufafanuzi, na kunielewesha kwa weledi tusubiri mwendelezo wa hili sakata...ila kwa maelezo yako haya naona itakula kotekote
Ndio pande zote mbili zinaweza kupoteza na ndo maana ukitazama serikali inajarbu kuwahukumu watendaji wake kwa kushindwa kusimamia sheria ,na kampuni ikirise claims kuchafuliwa jina serikali inasimamia kwenye invoices hasa ambazo wao kwa miaka yote wamekua wakilipa na ndo maana Kampuni wao wamekua wakisema tumekua tukilipa kodi siku zote sababu wamekua wakilipa wanacho ambiwa ikumbukwe wao hawahusiki na kodi ila wanaambiwa nini cha kulipa ila hata hvyo kampuni ile imekua registered kwenye masoko ya dunia ya mitaji amako inazitaka kampuni kufanyiwa auditing kwa umakini ikiwepo Compliance Audit ukaguzi kuona kama kampuni inatekeleza sheria ili kutokuathiri kampuni huko mbele hvyo kama kumekuepo na non-compliance kampuni inayofanya auditing za kampuni hyo ya mchanga pia ipo katika kashfa wao ndio walitakiwa kurise alert kua mnadanganywa na mna underinvoice pia kuforecast hatare zake.
 
Asante kwa ufafanuzi, na kunielewesha kwa weledi tusubiri mwendelezo wa hili sakata...ila kwa maelezo yako haya naona itakula kotekote
Mkuu usijidhalilishe, ukisema umemuelewa huyo "kichaa wetu" unaharibu kila kitu.
Huko "kujiridhisha" ilipaswa iwe ni order ya mahakama.

Hii order ya Magufuli ni ushahidi mchungu dhidi yetu.

Make no mistake.
 
Back
Top Bottom