Nishajibu ila unataka lunitoa kamasi na maswali yako ya nyongeza nitakupa pyu pyu sasa hivi!Inawezekana hawa jamaa hawakuwa hata na time na yeye. Kama hawaja mwambia yeye alijuaje kwa wamekuwa confused mzee? Hujajibu swalii
Igwe wanaJF!
Baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki kuvamiwa nimefuatilia maelezo kwa Nassary mwenyewe na baadhi ya wadau mtandaoni. Baada ya kuchambua nimebakiwa na maswali magumu hususani ukizingatia kwa mujibu wa Nassary na wachambuzi ulikuwa ni mpango wa mauaji, haya ndio maswali yangu:
Naomba wenye angalau majibu yenye kufikirisha wachangie bila jazba.
- Nyumba ya Nassary ina mlinzi? kama yupo je aliwaona wavamizi?
- Nassary alifanikiwa vipi kuwatoroka 'wauaji' wenye silaha ambao wameteketeza mbwa kwa risasi? Alijuaje 'wauaji' wameondoka?
- Iweje akimbilie polisi angali amekuwa akituhumu vyombo vya dola ni adui zake?
Nawaalika.
Hiki kijamaa kina penda kuvamiwa sema hakina kitu...Nishajibu ila unataka lunitoa kamasi na maswali yako ya nyongeza nitakupa pyu pyu sasa hivi!
Rudi shule ukajifunze kuuliza maswali.Igwe wanaJF!
Baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki kuvamiwa nimefuatilia maelezo kwa Nassary mwenyewe na baadhi ya wadau mtandaoni. Baada ya kuchambua nimebakiwa na maswali magumu hususani ukizingatia kwa mujibu wa Nassary na wachambuzi ulikuwa ni mpango wa mauaji, haya ndio maswali yangu:
Naomba wenye angalau majibu yenye kufikirisha wachangie bila jazba.
- Nyumba ya Nassary ina mlinzi? kama yupo je aliwaona wavamizi?
- Nassary alifanikiwa vipi kuwatoroka 'wauaji' wenye silaha ambao wameteketeza mbwa kwa risasi? Alijuaje 'wauaji' wameondoka?
- Iweje akimbilie polisi angali amekuwa akituhumu vyombo vya dola ni adui zake?
Nawaalika.
Sio mbaya kulalamikia watumishi wa chombo fulani na haikinzani iwapo utahisi maisha yako hatarini kisha ukakimbilia kwa chombo kama Polisi kwa Usalama Zaidi ,Sio kila Askari anaweza kuwa Mbaya wa Mtu anaelalamikia utendaji usio endana na maadili ya chombo husika Ndio maana kuna Ngazi tofauti tofauti Ndani ya Vyombo vyote vinavyohusika na Ulinzi pia utoaji haki ,ikiwa Habari ya shambulio hili ni ya kweli Sio ni mda wa Polisi, kudhihirisha kuwa wako kinyume na tuhuma wanazo semwa semwa kila litokeapo Tatizo kwa Wapinzaji wetuIgwe wanaJF!
Baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki kuvamiwa nimefuatilia maelezo kwa Nassary mwenyewe na baadhi ya wadau mtandaoni. Baada ya kuchambua nimebakiwa na maswali magumu hususani ukizingatia kwa mujibu wa Nassary na wachambuzi ulikuwa ni mpango wa mauaji, haya ndio maswali yangu:
Naomba wenye angalau majibu yenye kufikirisha wachangie bila jazba.
- Nyumba ya Nassary ina mlinzi? kama yupo je aliwaona wavamizi?
- Nassary alifanikiwa vipi kuwatoroka 'wauaji' wenye silaha ambao wameteketeza mbwa kwa risasi? Alijuaje 'wauaji' wameondoka?
- Iweje akimbilie polisi angali amekuwa akituhumu vyombo vya dola ni adui zake?
Nawaalika.
Khaa sasa bunduki za nini na kuua mbwa???Hizo ni kiki tu ,amna uvamizi hapo hivi Nasary wanaume wakikutaka ulivyo laini kuna haja ya watu kutumia bunduki kweli huna hadhi ya risasi nasary wee makofi tu yanakutosha
Maigizo at work, hao tumewazoeaIgwe wanaJF!
Baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki kuvamiwa nimefuatilia maelezo kwa Nassary mwenyewe na baadhi ya wadau mtandaoni. Baada ya kuchambua nimebakiwa na maswali magumu hususani ukizingatia kwa mujibu wa Nassary na wachambuzi ulikuwa ni mpango wa mauaji, haya ndio maswali yangu:
Naomba wenye angalau majibu yenye kufikirisha wachangie bila jazba.
- Nyumba ya Nassary ina mlinzi? kama yupo je aliwaona wavamizi?
- Nassary alifanikiwa vipi kuwatoroka 'wauaji' wenye silaha ambao wameteketeza mbwa kwa risasi? Alijuaje 'wauaji' wameondoka?
- Iweje akimbilie polisi angali amekuwa akituhumu vyombo vya dola ni adui zake?
Nawaalika.
Kwa mujibu wa maelezo yake hakumtaja mlinzi hivyo ninaamini hakuwepo.
Hii inatia mashaka mbunge aliyekuwa na wasiwasi wa kuuwawa kukosa armed security guard nyumbani kwake.
Asingeripoti polisi ungesema kwanini hakwenda polisi! Tulieni kwanza, ni mapema mno kuanza speculations.Igwe wanaJF!
Baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki kuvamiwa nimefuatilia maelezo kwa Nassary mwenyewe na baadhi ya wadau mtandaoni. Baada ya kuchambua nimebakiwa na maswali magumu hususani ukizingatia kwa mujibu wa Nassary na wachambuzi ulikuwa ni mpango wa mauaji, haya ndio maswali yangu:
Naomba wenye angalau majibu yenye kufikirisha wachangie bila jazba.
- Nyumba ya Nassary ina mlinzi? kama yupo je aliwaona wavamizi?
- Nassary alifanikiwa vipi kuwatoroka 'wauaji' wenye silaha ambao wameteketeza mbwa kwa risasi? Alijuaje 'wauaji' wameondoka?
- Iweje akimbilie polisi angali amekuwa akituhumu vyombo vya dola ni adui zake?
Nawaalika.
Nakumbuka hata lisu mlisema ameshambuliwa na wabaya wake kisiasa kisha mkaondosha camera pale kwa tukioIgwe wanaJF!
Baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki kuvamiwa nimefuatilia maelezo kwa Nassary mwenyewe na baadhi ya wadau mtandaoni. Baada ya kuchambua nimebakiwa na maswali magumu hususani ukizingatia kwa mujibu wa Nassary na wachambuzi ulikuwa ni mpango wa mauaji, haya ndio maswali yangu:
Naomba wenye angalau majibu yenye kufikirisha wachangie bila jazba.
- Nyumba ya Nassary ina mlinzi? kama yupo je aliwaona wavamizi?
- Nassary alifanikiwa vipi kuwatoroka 'wauaji' wenye silaha ambao wameteketeza mbwa kwa risasi? Alijuaje 'wauaji' wameondoka?
- Iweje akimbilie polisi angali amekuwa akituhumu vyombo vya dola ni adui zake?
Nawaalika.