Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Ninaomba nisieleweke vibaya jamani. Huu ni mnakasha kama minakasha mingine tu. Kuna minakasha zaidi ya milioni mbili hapa JF. Basi tuongeze na huu hapa.
Kwamba, Aga Khan Hospital, moja ya hospitali ambazo ni nadra sana Mtanzania wa daraja la chini kumudu gharama za matibabu pale, ikisifika kwa kutoa huduma bora kabisa Tanzania na duniani kwa ujumla. Ni kweli kabisa kwamba wanaweza kushindwa kupima na kugundua malaria? Mara mbili? Twice?
Mods msikwapue hii thread.
Tuacheni tujadili hadhi na ubora wa hospitali zetu.
Msukuma
a.k.a Mwana Chadema mpaka kufa!!!
Kwamba, Aga Khan Hospital, moja ya hospitali ambazo ni nadra sana Mtanzania wa daraja la chini kumudu gharama za matibabu pale, ikisifika kwa kutoa huduma bora kabisa Tanzania na duniani kwa ujumla. Ni kweli kabisa kwamba wanaweza kushindwa kupima na kugundua malaria? Mara mbili? Twice?
Mods msikwapue hii thread.
Tuacheni tujadili hadhi na ubora wa hospitali zetu.
Msukuma
a.k.a Mwana Chadema mpaka kufa!!!