Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kwema wakuu.
Fedha za dhamana ambazo hutolewa ili mtuhumiwa asikae rumande yaani apate dhamana huwa zinaelekezwa kwenye mtumizi gani Na je ni chombo gani ambacho huwa kinashughulikia matumizi ya fedha hizi? Hakunaga auditing?
Maana huwa naona watu wanadhaminiwa kwa mamilioni ya pesa pale Mahakama ya Kisutu n zingine zote nchi nzima. Unatakuta ndani ya wiki watu wanadhaminiwa kwa mamilioni ya pesa; milioni 100,200,50 nk. Kwa mwezi fedha za dhamana pale Kisutu pekee inakadiriwa kufikia Billion 5 na kuendelea.
Hali kadhalika kule barabarani kwenye faini ambazo trafiki wanakisanya barabarani nchi nzima,ni mamilioni ya shilingi. Maana sisi wabongo wagumu sana wa kufuata sheria za barabarani. Mamilioni yote haya huelekezwa kwenye matumizi gani? Chombo gani kinachoshughulikia matumizi ya fedha hizi nyingi kiasi hiki?
Ni mamilioni ya pesa aisee huko kwenye dhamana na faini barabarani.
Mwenye kujua haya mambo please.
Mimi natapa Gahawa hapa,namwona Bashite kwa mbali!
Fedha za dhamana ambazo hutolewa ili mtuhumiwa asikae rumande yaani apate dhamana huwa zinaelekezwa kwenye mtumizi gani Na je ni chombo gani ambacho huwa kinashughulikia matumizi ya fedha hizi? Hakunaga auditing?
Maana huwa naona watu wanadhaminiwa kwa mamilioni ya pesa pale Mahakama ya Kisutu n zingine zote nchi nzima. Unatakuta ndani ya wiki watu wanadhaminiwa kwa mamilioni ya pesa; milioni 100,200,50 nk. Kwa mwezi fedha za dhamana pale Kisutu pekee inakadiriwa kufikia Billion 5 na kuendelea.
Hali kadhalika kule barabarani kwenye faini ambazo trafiki wanakisanya barabarani nchi nzima,ni mamilioni ya shilingi. Maana sisi wabongo wagumu sana wa kufuata sheria za barabarani. Mamilioni yote haya huelekezwa kwenye matumizi gani? Chombo gani kinachoshughulikia matumizi ya fedha hizi nyingi kiasi hiki?
Ni mamilioni ya pesa aisee huko kwenye dhamana na faini barabarani.
Mwenye kujua haya mambo please.
Mimi natapa Gahawa hapa,namwona Bashite kwa mbali!