MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Let be the change guys. CCM will never make our life better.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli akili topetope, sisi hapa tunaongelea vitu vya msingi vya taifa wewe unaingiza upumbavu. wewe niKweli hakuna protokali. Mgombea anamsimamisha mke wa mtu na kumnadi mchumba wake!
...Mkuu, Tupe mazuri matatu tu ya JK ambayo Ngurumo hayaoni na angeweza kuyaandika. Matatu tu!
Nasikitika kwamba ulikuwa hujui unapost nini hapo juu. ila nadhani umejionea hali halisi baada ya kubinafsisha urais kwa wanafamilia.Mimi nafikiri JK ametumia wana CCM kusaka wadhamini kwa sababu mkewe ni CCM, Ridhiwan ni CCM labda tuseme ametumia wana CCM ambao ni ndugu zake wa karibu ingawaje sidhani kama mke ni ndugu wa mme au kinyume chake! Kimaadili hakutakiwa kufanya hivyo. Je, kwenye uchaguzi huu hata mawakala wa CCM watakuwa watu wa ukoo wake ambao ni wana CCM? Hivi mgombea akikataliwa na chama chake wanatafute mwingine kwenye kikao hicho hicho? Tume inasemaje kuhusu hili?
Wewe kweli akili topetope, sisi hapa tunaongelea vitu vya msingi vya taifa wewe unaingiza upumbavu. wewe ni
mshenzi
...hao wanawake wengi walipateje hayo madaraka? je walipaswa kuyapata kabla ya kupitia kwenye chujio au kwa kuwa madaraka hayo yalipaswa kupewa wanawake hivyo kila unayekutana naye unampa post? hebu nijuze zaidiAmejitahidi sana kuthamini nafasi ya mwanamke na vijana katika jamii....tumeona vijana wengi na wanawake wengi wakishika nafasi kubwa za madaraka nchini.
punguzeni matusi basi!mshenzi maana yake nani?kuna ushenzi duniani kuliko yule anayechukua wake za watu kimabavu?na kumkana mkewe hadharani?ni aibu kwa mwanamme mwenye miaka zaidi ya 55 kusema eti na mchumba...huo ndio ushenzi!
Hizo ndiyo zao hizo. Wanazungumzia protokali lakini zile za kuwatambulisha wake za watu kama wachumba zao hawaoni kama ni ushenzi.
punguzeni matusi basi!mshenzi maana yake nani?kuna ushenzi duniani kuliko yule anayechukua wake za watu kimabavu?na kumkana mkewe hadharani?ni aibu kwa mwanamme mwenye miaka zaidi ya 55 kusema eti na mchumba...huo ndio ushenzi!
Kwa heri sisiem kwa heri Iselamagazi. S iwezi tena kumkubali j.k katika maisha yangu yote, hebu mwambieni ukweli kwamba nchi imemshinda. Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamamu anayempigia kampeni kikwete. Wanaompigia kampeni ni wale wanaotegemea hisani ya kupewa vyeo. Kwa bahati mbaya wamechgua siko, kikwete hachaguliki acheni unafiki
jk anajiamini kuingia ikulu na mke wake ndo maana!! Ben vp piga tafu mbona wewe ulipigiwa na Mwalimu please Mwinyi saidia jahazi!!Ndiyo maana imependekezwa kwamba chama hiki kifutwe :https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/74269-napendekeza-ccm-ifutwe.html maana hakina tena dalili za kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi bali cha wanafamilia, na mafisadi.